kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwanza tambua ni 2014anayesema MRI milion 500 ajipange kisaikolojia ama kutafuta maarifa zaidi MRI zilizofungwa na serikali ni latest version bei yake ina range kati ya bilion 3. 5-5,
Rupee 13m ni sawa na sh ngapi?
Mkuu rupee moja ni sawa na sh ngap za kibongo..anayesema MRI milion 500 ajipange kisaikolojia ama kutafuta maarifa zaidi MRI zilizofungwa na serikali ni latest version bei yake ina range kati ya bilion 3. 5-5,
Cha muhimu ujumbe umefika,yeye sio mtaalamu wa iyo mitamboKwenye picha hapo juu hicho kipimo ni CT SCAN na sio MRI.
130mil x 30, maana rupia 1=30tshsMkuu rupee moja ni sawa na sh ngap za kibongo..
Haya chukua hiyo zidisha na 1.3m rupees.