The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Mie nimekaa nasubiria jibu pamoja na bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHili mbona tatizo dogo linatatuliwa kwa chakula tu . Nitafute
Unaweza uliza NAIROBI maana Wakenya wako mbali kidogo hasa katika hopistali ya Aga Khan[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Ndege zinaanza safari kuanzia tarehe 1/8/2020Mie nimekaa nasubiria jibu pamoja na bei
Lady in action, ni lazima iwe Muhimbili?,nafahamu Kuna hospitali ipo Arusha,Ina itwa Avinta Care, wapo Poa,pia gharama zipo poa, Kama utahitaji nitakupatia noAsante Sana
Mbna umewaza mbali sana!? kwani natural imeshndkana?Wapendwa poleni na majukumu.
Naomba kuuliza kwa anaefahamu kama Muhimbili wameshaanza huduma ya kupandikiza mimba na gharama.
Naomben kufahamu.
Wewe ni mpumbavu, siyo lazima ujibu kila kitu.Acha mambo ya Ulaya mimba zinatungishwa bureee kwa dushe tu
Jamani muwe na akili basi angalau kidogo. Mtu anaweza kuwa na mume lakini hawapati mtoto kwa njia ya kawaida. Wakaenda hospitali mume akatoa mbegu zake zikapandikizwa kwa mkeweMwambie, tambua ipo siku mtoto atakuuliza baba ake yupo wap utamwambiaje? Baba ako anaitwa muhimbili ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umepitia vizur uzi wake ukauelewa uka- relate na mda wa hyo comment?Jamani muwe na akili basi angalau kidogo. Mtu anaweza kuwa na mume lakini hawapati mtoto kwa njia ya kawaida. Wakaenda hospitali mume akatoa mbegu zake zikapandikizwa kwa mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe kwa nini ulimjibu kama kasuku? Kulikuwa na haja gani ya kujibu comment ambayo huna hata solution bali kebehi? Kwani lazima kila comment uwe wa mwanzo - mwanzo kujibu kama vile kuna mashindano?Umepitia vizur uzi wake ukauelewa uka- relate na mda wa hyo comment?
Mda nina sema hvyo alikuwa ajaweka bayana tatizo lake bali alisema anaitaji kupandikiziwa tu, baadae ndio akaja kufafanua tatizo lake na kwann anaitaji kufanya hvyo.
Ebu pitia comments no #21 na #24 wenda utapata mwanga wa nn nilikuwa nimelengaSasa wewe kwa nini ulimjibu kama kasuku? Kulikuwa na haja gani ya kujibu comment ambayo huna hata solution bali kebehi? Kwani lazima kila comment uwe wa mwanzo - mwanzo kujibu kama vile kuna mashindano?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha kumwambia kuwa mtoto atakapomwuliza baba yuko wapi na endapo kama atamjibu mtoto kuwa baba yake 'anaitwa Muhimbili' na ukaweka emoji za kicheko, ni cha kizandiki na kinaonyesha aina ya elimu, uelewa na maadili uliyonayo.Ebu pitia comments no #21 na #24 wenda utapata mwanga wa nn nilikuwa nimelenga
Aya sawaKitendo cha kumwambia kuwa mtoto atakapomwuliza baba yuko wapi na endapo kama atamjibu mtoto kuwa baba yake 'anaitwa Muhimbili' na ukaweka emoji za kicheko, ni cha kizandiki na kinaonyesha aina ya elimu, uelewa na maadili uliyonayo.
Nadhani umenielewa, huu ni muda wa kazi tuendelee kulijenga Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akili.umekurupuka unajua namaanisha nini?
Jaman mume ninae na imeshindikana kwa njia ya kawaida sababu mirija yangu ya uzazi imeharibika