OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuna hii huduma ya ku trace simu hutolewa na polisi wapelelezi. Kama umepoteza simu au unamtafuta mtu fulani namba yake inakiwa traced kujua yupo wapi.
Utaratibu wa utoaji wa hii huduma umekaa kiwizi wizi sana. Hakuna utaratibu rasmi wa kiserikali. Ni kama mradi wa mtu binafsi au wa serikali iliyoparanganyika.
Yaani mnamalizana wewe na askari, hakuna invoice/bill wala EFD. Bei maelewano.
Nawataka jeshi la polisi na wizara ya mapolisi wanijibu kupitia vyombo mbalimbali vya habari;
1. Hii huduma ni bure? Kutokana na kwamba victim amepeleka jambo polisi apate msaada.
2. Hii huduma ni utashi wa polisi mpelelezi? Mnaelewana tu bei na kupeana pesa vichochoroni?
3. Wekeni wazi taratibu wa kupata hii huduma.
Haya maswali yajibiwe ndani ya masaa 72
Utaratibu wa utoaji wa hii huduma umekaa kiwizi wizi sana. Hakuna utaratibu rasmi wa kiserikali. Ni kama mradi wa mtu binafsi au wa serikali iliyoparanganyika.
Yaani mnamalizana wewe na askari, hakuna invoice/bill wala EFD. Bei maelewano.
Nawataka jeshi la polisi na wizara ya mapolisi wanijibu kupitia vyombo mbalimbali vya habari;
1. Hii huduma ni bure? Kutokana na kwamba victim amepeleka jambo polisi apate msaada.
2. Hii huduma ni utashi wa polisi mpelelezi? Mnaelewana tu bei na kupeana pesa vichochoroni?
3. Wekeni wazi taratibu wa kupata hii huduma.
Haya maswali yajibiwe ndani ya masaa 72