Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
Jamaa umeweka na masaa.Tusaidiane kujuwa mawili matatu,mimi si askari ni mwananchi ila kuna jamaa yangu alipotelewa na cmu akaenda kituoni akaambiwa tutaitrace lakini cku2 hakuna kuanza hatua wakat huo cm inazid kusonga mbele.Hatimaye jamaa akaamuwa kumchek jamaa kitaa akaitrace ikajulikana maeneo ilipo.Ishu kubwa kitengo kama kimekuwa chanzo cha mapato cha watu fulani.Umeibiwa cmu ili uipate uwe na hela na aliyeiba anaambiwa toa hela msala usiwe mkubwa mnajikuta wote mwizi na muibiwa mumempa askari hela.Ushaur jeshi la polisi liboreshe kitengo na kukisimamia kimaadili.Kuna hii huduma ya ku trace simu hutolewa na polisi wapelelezi. Kama umepoteza simu au unamtafuta mtu fulani namba yake inakiwa traced kujua yupo wapi.
Utaratibu wa utoaji wa hii huduma umekaa kiwizi wizi sana. Hakuna utaratibu rasmi wa kiserikali. Ni kama mradi wa mtu binafsi au wa serikali iliyoparanganyika.
Yaani mnamalizana wewe na askari, hakuna invoice/bill wala EFD. Bei maelewano.
Nawataka jeshi la polisi na wizara ya mapolisi wanijibu kupitia vyombo mbalimbali vya habari;
1. Hii huduma ni bure? Kutokana na kwamba victim amepeleka jambo polisi apate msaada.
2. Hii huduma ni utashi wa polisi mpelelezi? Mnaelewana tu bei na kupeana pesa vichochoroni?
3. Wekeni wazi taratibu wa kupata hii huduma.
Haya maswali yajibiwe ndani ya masaa 72