Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
sijui wanamvumiliaje?Hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui wanamvumiliaje?Hovyo sana
Kweli kabisa na sababu hii inafanya watu wengi waaache kufuatilia baadhi ya vitu hapa bongo na wengine kupita shortcut sababu kuu ni usumbufu ,foleni za kijinga ,nyodo na milolongo mirefu.Walikosea jina la mwanangu Sina haja hata kurudi Tena nikifikiria usumbufu hi nchi ya kipumbavu sana
Sheria za rushwa zingeboreshwa ili hata kuchelewesha huduma isomeke ni rushwa ya usumbufuKweli kabisa na sababu hii inafanya watu wengi waaache kufuatilia baadhi ya vitu hapa bongo na wengine kupita shortcut sababu kuu ni usumbufu ,foleni za kijinga ,nyodo na milolongo mirefu.
Alafu akirudi home anakuambia nimechoka kweli today I was very beausy beausy [emoji38]Na sana sana ni wadada ndio wenye changamoto kubwa ukimkuta asubuhi ofisini kachoka hata kabla ya kuanza kazi mara kuchat mara kubinua midomo yani tabu tupu na anajua Huna cha kumfanya kama ajila keshapata tena Serikalini
Kama kadada ungekatongozaKuna kaukweli niliwahi kumsindikiza jirani yangu, aisee alizungushwa hadi sio poa na kuna muhudumu mmoja hivi ana majibu ya nyodo
Lazima vikoseweKila mtu akague Vyeti vyake kwa makini majina ya mama na baba na tarehe kama viko sahihi shukuru Mungu
Nahisi labda wanakosea kusudi ili ulipie marekebishoHawa jamaa ni janga, nilienda kuandikisha kupata cheti cha kuzaliwa cha mwanangu, walichanganya tarehe ya kuandikisha wao wakaiweka ndio tarehe ya kuzaliwa. Ikichukua mwez zaidi kupata cheti kilicho na taarifa sahihi
Nilikua mkali, sikulipia marekebishoNahisi labda wanakosea kusudi ili ulipie marekebisho
DaahS
Nilikua mkali, sikulipia marekebisho
We kweli?Mimi juzi nimetoka badili cheti Cha kuzaliwa jina nilimpa 30 nikamwambie jioni nataka cheti wakati kuna watu wanasota karibu mwaka
We nenda halmashauri kuna ofice za Rita
Sent using Jamii Forums mobile app
UlifanikiwaWe kweli?
Maana cha dogo jina la kati waliweka silo kabisa la mzee..
Ngoja nitafute namna ya kupata muhusika
Na hawashituki Hata kidogoHhaaha! RITA Kiboko cheti cha kuzaliwa "ME"wao wanaweka "KE"
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Kufanyaje? BadoUlifanikiwa
Kubadilisha, je walikuchaji malipo kwa uzembe wao?Kufanyaje? Bado
Kwanza ukienda walivyokaa kama makarani wa kupiga kura very poor managementwatumishi wenyewe ndiyo hawa tulionao mitaani... Wanaandika "Xaxa Selikali Chakura... Mimi nikiona Mtanzania anashindwa kuandika Kiswahili fasaha, najua hata uwezo wa akili ni mdogo sana hata kama anamiliki "Elimu ya juu