Billy Kimber
Member
- May 20, 2022
- 89
- 207
Kwa wakazi wa Dar ambao wanahitaji huduma zinazohusu ardhi au ushauri kuhusiana na maswala ya ardhi/majengo msisite kunitafuta.
Ninatoa huduma zifuatazo:
- Kufatilia zoezi la utoaji wa hatimiliki mpaka inapotoka.
- Kufanya uthamini (Valuation), hii ni kwa wale wanaotaka kuhamisha umiliki wa ardhi,kukopa bank kwa kutumia dhamana ya nyumba na mengineyo
- Kupima viwanja (Survey)
- Ushauri wa masuala ardhi
Tuwasiliane PM
Ninatoa huduma zifuatazo:
- Kufatilia zoezi la utoaji wa hatimiliki mpaka inapotoka.
- Kufanya uthamini (Valuation), hii ni kwa wale wanaotaka kuhamisha umiliki wa ardhi,kukopa bank kwa kutumia dhamana ya nyumba na mengineyo
- Kupima viwanja (Survey)
- Ushauri wa masuala ardhi
Tuwasiliane PM