Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama ya kupima mkuu haiko fixed..Inategemeana na baadhi ya mambo.Nitumie PM kiwanja kilipo na ukubwa wake then ntakupa makadirio ya bajeti ya kupimaMkuu,hujanambia gharama ya kupima
Wewe mleta mada taaluma yetu yas Ardhi na Uthamini huruhusiwi kujitangaza hivi. Unaonekana kanjanja au hujui ninni maana ya taaluma yetu na miiko yake. Ni unprofessional so futa huu ujinga. Uzuri umeweka namba yako ntakufuatilia VRB nikuone na nikufunze maana ya taaluma yetu. Pole
PM ndio wapi mkuu?Kwa wakazi wa Dar ambao wanahitaji huduma zinazohusu ardhi au ushauri kuhusiana na maswala ya ardhi/majengo msisite kunitafuta.
Ninatoa huduma zifuatazo
-Kufatilia zoezi la utoaji wa hatimiliki mpaka inapotoka.
-Kufanya uthamini (Valuation),hii ni kwa wale wanaotaka kuhamisha umiliki wa ardhi,kukopa bank kwa kutumia dhamana ya nyumba na mengineyo
-Kupima viwanja (Survey)
-Ushauri wa masuala ardhi
Tuwasiliane PM
Ubarikiwe mkuu kwa kuliona hilo na kulifafanua vyemaHasira za nini ndugu?
Kujitangaza katika misingi ipi?
Makampuni mbalimbali yanayofanya kazi za kupima na kupanga miji yanajitangaza.
Andika kwenye Google search kampuni za kupima ardhi Tanzania au Dar es salaam. Je walioko kwenye mtandao si matangazo hayo? Wamemwandikia nani huko?
Chuo cha ardhi Morogoro kipo kwenye mtandao na moja ya kazi kinachoonyesha kufanya ni kupima ardhi na mipango miji. Je hao hawajatangaza?
Kama mnang'ang'ana na sheria na policy kandamizi/kama zipo, ndo maana kazi hizi zinashindwa kufanikishwa.
Uhitaji wa watu kufanya matumizi kwenye ardhi uko juu sana. Nyinyi mmejifungia kwenye maofisi bila kuwafikia wananchi kutatua matatizo yao na kuwapa elimu ya jinsi ya kufanikisha matumuzi sahihi ya ardhi.
Hapa tu umeona uhitaji wa watu na shida zilivyo, ingekuwa vyema kuwa na ushauri chanya wa jinsi ya kulifanya kuliko kuwa just negative. Suggest: wananchi wafikiweje? Au tahadhali ya utambuzi wa watendaji wanaofanya hii kazi watambuliweje/hakiki kabla ya kuwapa kazi?
Hakuna field ambayo ilikuwa ina msimamo mkali kuhusu kujitangaza kama afya, lakini juzi operation imefanyika na matangazo kedekede. Hospitali zinajitangaza na huduma wanazotoa.
Kuna ya kubaki nayo ofisini kwenu lakini ni vyema mtambuliwe uwepo wenu na mnayoyafanya. Mambo hubadilika, badilikeni mwendane na hali ya ulimwengu kwa vitu chanya.
Pia, hata kama mwenzako kuna vitu hajavizingatia, ni bora kuwa na lugha rafiki ya jinsi ya kurekebisha mambo au mfuate binafsi. Tuwe kwenye maadili hata unapomrekebisha mwenzako professionalism izingatiwe.View attachment 2279816
Private Message mkuuPM ndio wapi mkuu?
Taaluma yako wewe na nani, acha kunyanyua mabega weweWewe mleta mada taaluma yetu yas Ardhi na Uthamini huruhusiwi kujitangaza hivi. Unaonekana kanjanja au hujui ninni maana ya taaluma yetu na miiko yake. Ni unprofessional so futa huu ujinga. Uzuri umeweka namba yako ntakufuatilia VRB nikuone na nikufunze maana ya taaluma yetu. Pole
ACHA vitisho, kama lengo ni kumshauri ungemfuata inbox 📥 ukamshauriWewe mleta mada taaluma yetu yas Ardhi na Uthamini huruhusiwi kujitangaza hivi. Unaonekana kanjanja au hujui ninni maana ya taaluma yetu na miiko yake. Ni unprofessional so futa huu ujinga. Uzuri umeweka namba yako ntakufuatilia VRB nikuone na nikufunze maana ya taaluma yetu. Pole
Kwanza niwapongeze kwa kitu huduma mnayofanya. Mna nafasi kubwa sana ya kufanikiwa na kujitanua iwapo mtazingatia huduma bora na za uhakika. Kwa exeperience yangu ya Tanzania ni kwamba sehemu/kampuni/watu wote wanaohusika na kutoa huduma wamejijengea utamaduni wa kutanguliza tamaa mbele na kutokuwa waaminifu. Naomba niwape ushauri ufuatao:Kwa wakazi wa Dar ambao wanahitaji huduma zinazohusu ardhi au ushauri kuhusiana na maswala ya ardhi/majengo msisite kunitafuta.
Ninatoa huduma zifuatazo
-Kufatilia zoezi la utoaji wa hatimiliki mpaka inapotoka.
-Kufanya uthamini (Valuation),hii ni kwa wale wanaotaka kuhamisha umiliki wa ardhi,kukopa bank kwa kutumia dhamana ya nyumba na mengineyo
-Kupima viwanja (Survey)
-Ushauri wa masuala ardhi
Tuwasiliane PM au 0765 49 45 48
Shukrani sana mkuu kwa kongole ulizotupatia na pia kwa ushauri wako safi.Tutazingatia yoteKwanza niwapongeze kwa kitu huduma mnayofanya. Mna nafasi kubwa sana ya kufanikiwa na kujitanua iwapo mtazingatia huduma bora na za uhakika. Kwa exeperience yangu ya Tanzania ni kwamba sehemu/kampuni/watu wote wanaohusika na kutoa huduma wamejijengea utamaduni wa kutanguliza tamaa mbele na kutokuwa waaminifu. Naomba niwape ushauri ufuatao:
1: Ongezeni (hama hamna) huduma ya kusaidia wateja kuhakiki viwanja wanavyotaka kununua kama ni halali au vina mgogoro. Hili ni jambo gumu kidogo lakini mkitengeneza network nzuri na mamlaka husika mnaweza kuwa na taarifa sahihi, hivyo kwa mfano mtu anapotaka kununua kiwanja, atumie huduma yenu ya kitengo cha upelelezi kujua kama kiwanja husika kina uhalali.
2. Pamoja na hili nawashauri pia jaribu kufanya huduma zenu ziwa za kuaminika na customer care iwe nzuri. Tanzania sehemu nyingi za huduma wanatoa kauli mbovu na wanatanguliza tamaa mbele.
Hawa ndio hawapendi raia wajue taratibu za maswala tofauti tofauti ili wawapige hela. Sasa ukiuliza hata shida ipo wapi haeleweki amekuja tu kung'aka.This is nothing but an act of selfishness and greed. Hakuna ubaya wow one wa mtu mwingine kutuelimisha na huenda siku za usoni tukafanya biashara, hiyo VRB unategemea tungeijua vipi?
Na pia sasa tupo kwenye uchumi wa huduma kuwafuata wateja hivyo so dhambi akifanya hivyo.
Kabisa mkuuHawa ndio hawapendi raia wajue taratibu za maswala tofauti tofauti ili wawapige hela. Sasa ukiuliza hata shida ipo wapi haeleweki amekuja tu kung'aka.
Ndio mkuu,kwa maeneo uliyoyataja utapata huduma.TuwasilianeJe kwa mkoani kama pwani (Bagamoyo)mmeanza kutoa huduma? Na Dodoma?
Okay sawa,hilo shamba lako limepimwa?Mkuu naomba utupe process zako zote kuanzia mwanzo hadi mwisho ili mtu akikufuata awe anajua procedure zote.Mfano mm kuna shamba langu nataka nilitafutie hati km heka kadhaa na nimeona eneo lipo humu kwenye hyo attachment yako.Ninaanzia au ww utaanzia wapi had kuishia wapi mpaka nipate hati yangu na gharama zinaweza kuwa kias gani?Nenda kwa mfano tu ili niweze kujua naimudu au vp?