Huduma za makahaba zinasababisha vijana washindwe kuoa

Aice, mzoea wima kukaa hatoweza... Wawaache tu waendelee kuokoa vijana, hiyo mitaji haitosaidia kitu
 
Kapfo
 
Unaacha kuendesha bodaboda, unaanza kufatilia yasiyo kuhusu,,,,wewe una katatizo Kama mzee wako anavyoitwa....!!!
 
Me mwenyewe sihangaiki kabisa kumtaka mwanamke sasa hivi
 
Kama ndoa ingekuwa ni kwaajir ya sex pekee ukahaba ungekuwa ni sababu lakin kama ndoa ni zaid ya sex bas ukahaba hauwez kuwa sababu ta msingi kumzuia kijana kuoa
 
Kabisa yaani kukaa ndani na hawa wanawake ni kujipa stress za kijinga...wee tugegedane alafu mie napita hivi
 
Hahaha , nakumbuka mkuu.....
 
hahahaa! UMESAHAU MIMI SIO TU BODABODA PIA NI FUNDI MADISHI HODARI HAKUNA FUNDI ANAEFIKIA UWEZO WANGU HAPA MJINI tunanenaga MUDA UTAONGEA unaishi kwa kukariri eeehe huo ni ufinyu wa fikra PEVUKA.
Wewe sio fundi madishi ila ni mganga njaa [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…