Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wazee mmekula migomba sana enzi zenu[emoji23][emoji23][emoji23] naomba Mungu aendelee kuniweka nishuhudie shuhuda nyingiEnzi zetu tuko vijana huko Moshi ndani ndani (mwika) kumtongoza mwanamke ilikuwa mtihani sn .Kijana wa miaka 25 hamjui kbs mwanamke,mtu anakuwa na ugumu Hadi anajitengenezea papuchi kwenye shina la mgomba[emoji1787]..akisikia zimepanda anaparamia mgomba anamaliza kila kitu
Vijana wa siku hizi mambo tofauti sn,wadada wanajiuza Hadi vijijini
Yah enzi hizo binti anafikisha hadi miaka 20 nakuendlea hamjui mwanaume na ukimtongoza mkali balaa ila kwa sasa mtoto anaanza mapnz akiwa namiaka 8 sasa umzuie asifanye tabia hiyo, kwanza hawez napili Tayar amesha athirika kisaikolojia.Hata watoto kwa watoto at age of 12-18 hawabaniani kama zamani...enzi zile ilikua shughuli aseee
Siyo Kutongoza Tu Hadi Kuzaa nao kwa mkataba kbsa!Sio kuoa tu hata kutongoza siku ni shida, huwez vutana na mwanamke wakt unajua ukienda pale unapata service unasepa , ukitongoza Mara vocha,Mara nywele,Mara naumwa hayo yote ya nini, nifuge ng'ombe, Mara chanjo, Mara malisho n.k wakati nikitaka maziwa yapo pale tena bei affordable, nikitaka nyama mabucha yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke anaumuhim wake kunamuda utahitaji wakukushaur ukiwa na matatizo, kuna utahitaji faraja ukiwa hauko vzr, kunamuda utahitaji wakukuuguza walau kukupikia uji utakapougua, nakuna muda utahitaj mlezi mzur wa wanao ili uitwe baba. Sasa hivi vyote kahaba atakupatia?Kabisa yaani kukaa ndani na hawa wanawake ni kujipa stress za kijinga...wee tugegedane alafu mie napita hivi
Ukiliangalia kwa makini utagundua tu kuwa ili wanaume kuishi vizuri utahitaji wote mke na kahaba.Mke anaumuhim wake kunamuda utahitaji wakukushaur ukiwa na matatizo, kuna utahitaji faraja ukiwa hauko vzr, kunamuda utahitaji wakukuuguza walau kukupikia uji utakapougua, nakuna muda utahitaj mlezi mzur wa wanao ili uitwe baba. Sasa hivi vyote kahaba atakupatia?
Kahaba anauwezo wakukupa sex ila hatokupa furah yyt nazaid yakuanza kujutia baadae
Mke wa nani aliwahi kujiuza kwa bei hiyo ya 5,000/=???.Ref: Rahabu kahaba aliyeandikwa kwenye bible, ukishaona hili utagundua hakuna siku hii biashara itakufa, siku hizi hadi wake za watu wanajiuza ata kwa 5000 tsh so sad
Kwani anachokitafuta ni nn? Bila shaka pesa!Aice, mzoea wima kukaa hatoweza... Wawaache tu waendelee kuokoa vijana, hiyo mitaji haitosaidia kitu
Bila shaka ni pesa, kwenye hayo makundi kuna baadh yao wanazaidi ya miaka 15 kwenye game, hawajapata tu pesa za mitaji ili waachane na hizo mambo!!Kwani anachokitafuta ni nn? Bila shaka pesa!
Kuna dada namjua kanunua iphone macho ma,3 kwa kuuza papuchi na mpalangeMtu anaweza kuingia hadi 30k kwa siku piga hesabu kwa mwezi ana sh ngap? Pia utampatia mtaji wa kiasi gani na pia biashara gani ataifanya simple apate 30k kwa siku? Maaan ukahaba unahusiana na tabia pia
HahahajaSio kuoa tu hata kutongoza siku ni shida, huwez vutana na mwanamke wakt unajua ukienda pale unapata service unasepa , ukitongoza Mara vocha,Mara nywele,Mara naumwa hayo yote ya nini, nifuge ng'ombe, Mara chanjo, Mara malisho n.k wakati nikitaka maziwa yapo pale tena bei affordable, nikitaka nyama mabucha yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mpalange kama kachokonoa tutakutana leba ashindwe sasa kupush kisu kileee kinamsubiriKuna dada namjua kanunua iphone macho ma,3 kwa kuuza papuchi na mpalange
Mimi hua nahakikisha at any time t nna michepuko yangu angalau miwili ya maana, lasivyo hawa wanawake wanaweza kukutia wazimu hivihivi..Ukiliangalia kwa makini utagundua tu kuwa ili wanaume kuishi vizuri utahitaji wote mke na kahaba.
Reason behind mke mmoja hatoshi, atakukera na ratiba za kutoa papuchi...Otherwise uwe na mke zaidi ya mmoja ama uwe na mchepuko.
karibu mkoani hukuMke wa nani aliwahi kujiuza kwa bei hiyo ya 5,000/=???.
Amini mkuu asilimia kubwa wana mashine si zakitoto yaani wanamzidi Hadi mwalimu wa dgreeKuna dada namjua kanunua iphone macho ma,3 kwa kuuza papuchi na mpalange
Hilo nafaham kama mke hawez kutoa unyumba vzr hasa baada ya kujifungua unabid umuache mume aendlee kutembeza dose kitaa ila asilete mtoto na ukimwi bac naikiwezekan amnunulie box la condom mumewUkiliangalia kwa makini utagundua tu kuwa ili wanaume kuishi vizuri utahitaji wote mke na kahaba.
Reason behind mke mmoja hatoshi, atakukera na ratiba za kutoa papuchi...Otherwise uwe na mke zaidi ya mmoja ama uwe na mchepuko.
Sio kisu tu anaathari ya kupata kansa ya utumbo na bawasir ya ndani isiyopona napia kupata maradh ya ngonoKwa mpalange kama kachokonoa tutakutana leba ashindwe sasa kupush kisu kileee kinamsubiri
Unatumia nguvu kubwa kupinga changizo langu kwenye mada ya ukahaba, dah pole sana kama una H.I.V kufa taratibu tu , sikukutuma ukanunue MAKAHABA hapo mabenga, vatcan,nk nk nk nk nkWewe sio fundi madishi ila ni mganga njaa [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]