DOKEZO Huduma za Tiba Ocean Road hadi wagonjwa waandamane?

DOKEZO Huduma za Tiba Ocean Road hadi wagonjwa waandamane?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hii ya Muhimbili ndio keroo zaid, i was there, watu wa emergency wanakuja hapo mliokuwa kwenye foleni mtangojea, kuna mgonjwa wa mionzi akiingia ni 2/3 hours kungojea mind you bado wa kufanya vipimo wako msululu mrefu. Na machine ni 1

Unayosema ikija emergency. Ocean road ni routine.

Kila siku ni hivyo ila kukitupiwa rupia au wenye maelekezo kwenye ma V8 yao au wenye shungi zao, subiri hizo za kina sisi, haziwahusu?

Sisemi Muhimbili kupo bora zaidi maana si mashindano. Fika ocean road kutambua wahudumu wa roho ngumu kiasi gani.
 
Unayosema ikija emergency. Ocean road ni routine.

Kila siku ni hivyo ila kukitupiwa rupia au wenye maelekezo kwenye ma V8 yao au wenye shungi zao, subiri hizo za kina sisi, haziwahusu?

Sisemi Muhimbili kupo bora zaidi maana si mashindano. Fika ocean road kutambua wahudumu wa roho ngumu kiasi gani.
Pesa/connection mbona unapata unachotaka upesi tu.. huduma ya Afya nchi kwenye hospital e.g Taifa, Mkoa, kata ni changamoto sana
 
Hii ya Muhimbili ndio keroo zaid, i was there, watu wa emergency wanakuja hapo mliokuwa kwenye foleni mtangojea, kuna mgonjwa wa mionzi akiingia ni 2/3 hours kungojea mind you bado wa kufanya vipimo wako msululu mrefu. Na machine ni 1

Ocean road unasubiri 0700 - 2200 na hiyo ni normal. Hakuna anayejali. Unashangaa kwa nini appointment isiwe spaced mtu akaja kutibiwa ndani ya saa moja au mbili akaondoka?

Wewe unaona kukaa kusubiri bIla mrejesho (unknowingly) 0700 - 2200 ni sawa?

Kuwa hivyo ni bora zaidi? Ndiyo kauli yako hiyo ndugu?

Naona pana tatizo hapa. Kulikoni kutaka kudai utaratibu huu ni bora zaidi kuliko kusubiri 2/3 hours tu?
 
Ocean road 0700 - 2200 unashangaa kwa nini appointment isiwe spaced mtu akaja kutibiwa ndani ya saa moja au mbili akaondoka? Wewe unaona kukaa kusubiri bIla mrejesho (unknowingly) 0700 - 2200 ni sawa? Kuwa hivyo ni Bora zaidi? Ndiyo kauli yako hiyo ndugu?
Nooo mimi sijapinga, i was sick na nilisubilishwa na nilifika Muh saa 7 asubui kupata huduma saa 12 jioni hii sio sawa hata kidgo.. siwezi tetea ujinga huu hata kwenye ndoto
 
Mie wangenilaza polisi maana ningemshushia kipigo cha kufa mtu huyo nesi. Yani ningempiga haswaaa
Nilikuwa na jirani yangu mama yake alilazwa hosp wakaelekezwa dawa fulani ambayo pale hospital haikuwepo nikamwambia ngoja niende wewe baki na mama wakati huo hali yake haikuwa nzuri hata kidogo. Akaniambia mama wawili wahi kidogo nakuomba, nikaondoka nilikuwa speed kwa kweli nikasimamishwa na trafic wa kike, akanihoji kama kawaida nikamweleza kwa kifupi nikimsihi nipeleke dawa nirudi kwani ile njia napita sana akakataa. Akaanza kuandika maelezo sijui vitu gani, wakati huo gari zikipita anasimamisha tena mie niko pale pembeni namsubiria hapo na simu yangu inaita sana kutoka kwa yule jirani yangu, aisee nikaondoka pale nikafuata gari nikaondoka zangu nikasema liwalo na liwe. Nafika nakimbia wodini hata gari sijazima nakuta jirani ametolewa analia sana. Aloo nikasema ngoja nirudi nikazime gari nafika pale parking natetemeka kwa hasira nikawasha gari nikaenda kwa yule dada trafic akanisimamisha tena nikafika nikasimama nikazimtupia zile dawa usoni nilizokuwa nimemnunulia yule mgonjwa nikamwambia haya amekufa sasa, na yeye akanisukuma aloo, nilimchapa yule dada makonde ya fasta fasta mpaka tunagombelezewa na trafic mwingine wa kiume anatoka damu puani. Cha ajabu baada ya ugomvi na mie kuelezea hali halisi akakubali mambo yaishie pale pale nafikiri wale wengine walimsihi labda, sijui ilikuwaje maana aliniambia atanifunga 🙄 Kwa kweli hizi hospitali waziangalie kwa jicho la tatu maskini ndio tunaoteseka.
 
Imekuwa ni kawaida iliyozoeleka Ocean Road kwa mgonjwa kufika kwenye miadi ya tiba (kama ilivyopangwa) asubuhi saa moja na kuja kupata huduma saa nne usiku.

Hutokea wakati hata hiyo usiku anaweza bado tiba asipate. Hakuna taarifa zozote zinazotolewa kuhusiana na ucheleweshwaji huu zaidi ya kuwa subirini.

"Mazingira wezeshi kabisa ya rushwa."

Wenye pesa zao, ma V8, wenye utambulisho kutoka Zenji huko nk, hao hutibiwa tiba hizo hizo bIla usumbufu na kwa wakati kama wanavyofika na kujiondokea.

Wagonjwa hawa wengi wao ni wazee waliodhoofu sana. Kukaa hospitali bila kula kutokea asubuhi hadi usiku, ni jambo la kushangaza sana.

Kwa wiki kama tatu zilizopota hali ilionekana kutengamaa baada ya malalamiko makali. Hata hivyo hali imeanza kurejea kule kule tena.

Hali hii hadi lini? Au hadi wagonjwa waandamane kama wale wa TRL Dodoma? Hapo hadi Magogoni si ni umbali wa pua na mdomo?

Acheni kusumbua wagonjwa. Kwa nini miadi isiwekwe kumwezesha mgonjwa mmoja kutokaa zaidi ya saa moja kwenye foleni akisubiri?

Rushwa hadi kwa mgonjwa aliyetaabani?

Kwani tunakwenda misikitini au makanisani kufanya nini?

Kila mahali shida zile zile za upigaji. Tutafika tukiwa tumechoka sana.

Mola atufanyie wepesi.
Yaani Ile Siyo Hospital ni "Death Row"Unit" Kwa kuwa Wanaijua Hilo ndio kisa hawana business na Wagonjwa hasa WA Cancer. Pale hakuna Emergency. Huko Wodini full kuweka Vitu vya na Vyakula vya Wagonjwa Sakafuni. Wodi zina joto kama tanuru za mikate
 
Yaani Ile Siyo Hospital ni "Death Row"Unit" Kwa kuwa Wanaijua Hilo ndio kisa hawana business na Wagonjwa hasa WA Cancer. Pale hakuna Emergency. Huko Wodini full kuweka Vitu vya na Vyakula vya Wagonjwa Sakafuni. Wodi zina joto kama tanuru za mikate

Ni shida sana na watu wanateseka mno. Labda hadi wagonjwa wale wajikongoje kwenda Magogoni. Nani wa kuwasemea wahanga hawa wakati vijana wenyewe ndiyo hawa kina Nkanini? Utegemee nini kutoka kwao kama si dharau na kejeli, ukiziangazia hali za wagonjwa hawa wasiokuwa na pa kusemea?
 
Hakuna kitu kinanishangaza kama kutengeneza mazingira ya rushwa kwa mgonjwa. Inasikitisha sana
 
Imekuwa ni kawaida iliyozoeleka Ocean Road kwa mgonjwa kufika kwenye miadi ya tiba (kama ilivyopangwa) asubuhi saa moja na kuja kupata huduma saa nne usiku.

Hutokea wakati hata hiyo usiku anaweza bado tiba asipate. Hakuna taarifa zozote zinazotolewa kuhusiana na ucheleweshwaji huu zaidi ya kuwa subirini.

"Mazingira wezeshi kabisa ya rushwa."

Wenye pesa zao, ma V8, wenye utambulisho kutoka Zenji huko nk, hao hutibiwa tiba hizo hizo bIla usumbufu na kwa wakati kama wanavyofika na kujiondokea.

Wagonjwa hawa wengi wao ni wazee waliodhoofu sana. Kukaa hospitali bila kula kutokea asubuhi hadi usiku, ni jambo la kushangaza sana.

Kwa wiki kama tatu zilizopota hali ilionekana kutengamaa baada ya malalamiko makali. Hata hivyo hali imeanza kurejea kule kule tena.

Hali hii hadi lini? Au hadi wagonjwa waandamane kama wale wa TRL Dodoma? Hapo hadi Magogoni si ni umbali wa pua na mdomo?

Acheni kusumbua wagonjwa. Kwa nini miadi isiwekwe kumwezesha mgonjwa mmoja kutokaa zaidi ya saa moja kwenye foleni akisubiri?

Rushwa hadi kwa mgonjwa aliyetaabani?

Kwani tunakwenda misikitini au makanisani kufanya nini?

Kila mahali shida zile zile za upigaji. Tutafika tukiwa tumechoka sana.

Mola atufanyie wepesi.
mitambo ya Ocean road ni michakavu na wagonjwa ni wengi hili ndo Tatizo kubwa! Kinachotakiwa ni Serikali kununua mitambo ya Kutosha
 
Huduma za afya ni mbovu sana yaani hospitalini ni kama Jehanamu hakuna anayejali,wao wanafanya anasa tu mara kununua magoli mara safari za mchana na usiku.
 
siajabu robo za hela zilizopigwa kwenye report ya CAG zingeweza kujenga full equiped hospital ya cancer ikiwa imesheheni wabobezi, lakini ndio hivyo tena watu wanapiga na kwenda kuhonga malaya tu...
 
Wao wakipata mafua kidogo tu wanakimbilia nje ya nchi , balaa sana hii, mtafuteni ummy mwalimu labda atasaidia jambo hapo maana nchi yangu bila kuandikana magazetini, mitandaoni na kwenye Ripoti za CAG kichere hakuna kitu kinafanyika.
Huyo ummy amekua mshenzi mshenzi tu hana ufatiliaji wala nn
Lkn hiz jeuri wanazipata kwa mwenye nchi maana hasemi kituu yupoo tu ili hali kundi kubwa la watu linatesekaa

Huyu mama huyuu basi tu[emoji119]
 
Back
Top Bottom