Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Ndugai afanye vita? Kutokea wapi? Ukishavuliwa ukuu wa mhimili ndiyo mwisho wakoKuna kitu kizito kinakuja, soon nitakuja na uzi wake. Vita ya Ndugai na Hangaya ni kubwa kupita maelezo. Taarifa za chini chini zinatisha balaa. Ni Do or Die.