Ndugai afanye vita? Kutokea wapi? Ukishavuliwa ukuu wa mhimili ndiyo mwisho wakoKuna kitu kizito kinakuja, soon nitakuja na uzi wake. Vita ya Ndugai na Hangaya ni kubwa kupita maelezo. Taarifa za chini chini zinatisha balaa. Ni Do or Die.
Wakizuia tu asipate ARVs basi Ndugai anakuwa marehemuKuna kitu kizito kinakuja, soon nitakuja na uzi wake. Vita ya Ndugai na Hangaya ni kubwa kupita maelezo. Taarifa za chini chini zinatisha balaa. Ni Do or Die.
Kama unatumia ARVs lazima upoe tu, ukifurukuta tunakuzika tu chini ya futi 6. Muache Ndugai aendeleze doziAmepoa sana Ndugai ipo siku atasema......ana wazee washauri wengi ...msikivu mgogo wa watu ila nae kuna wakati alijisahau madaraka matamu banaa
Ila mkuu ogopa sana watu ambao hawana cha kupoteza.Wakizuia tu asipate ARVs basi Ndugai anakuwa marehemu
Acheni kumpa nguvu kubwa asiyokuwa nayo bwana huyo. Nguvu hizo angehusishwa nazo Bashiru Ally, kidogo ningeliafiki. Hakuna kundi lililopo nyuma ya mtu mwoga kama NdugaiIla mkuu ogopa sana watu ambao hawana cha kupoteza.
Mara nyingi vita hizi za kisiasa huwa sio individuals, maana hufiki popote bali waweza kuwa kwenye kundi kubwa ila wewe ukawekwa mbele tuu na lazima uwe umejitoa kweli kweli kwa lolote
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wtz ni wapumbavu sana!Hi thread ni kama umeiba mawazo yangu. Nilikuwa niandike kwa title tofauti kidogo lakini mpaka sasa ninaona tatizo ni Ndugai tu. Mahakama ni kama vile imebadilika haraka. Jaji Kiongozi Feleshi tayari alishaongelea kuhusu Mahakama kugoma kunyongea watuhumiwa haki zao. Ndugai ndiyo anaendelea kubakia na mawenge ya Mwendazake - anakosea sana sana!
Yap!...Kama unatumia ARVs lazima upoe tu, ukifurukuta tunakuzika tu chini ya futi 6. Muache Ndugai aendeleze dozi
Hata Bashiru hakuwa wala hana nguvu yoyote, ingekuwa hivyo JK asingemfukuza kwenye kikao pale Lumumba siku zile wanajadili way forward ndani ya chama baada ya mwendazake...!Acheni kumpa nguvu kubwa asiyokuwa nayo bwana huyo. Nguvu hizo angehusishwa nazo Bashiru Ally, kidogo ningeliafiki. Hakuna kundi lililopo nyuma ya mtu mwoga kama Ndugai
Huwa na shangaa sana eti mtu aahubiria umma kuwa mtu fulani ananguvu kumliko rais,urais ni taasisi,sio mtu mmoja,wenye uwezo wa kumtetemesha rais kwa Africa ni wanajeshi tu,sio mtu ndani ya chama au nje ya chamaHata Bashiru hakuwa wala hana nguvu yoyote, ingekuwa hivyo JK asingemfukuza kwenye kikao pale Lumumba siku zile wanajadili way forward ndani ya chama baada ya mwendazake...!
Nguvu alikuwa nayo mzee Mamvi na bado alikatwa kwenye ugombea...hakuna mwenye nguvu ndani ya CCM kumzidi mwenyekiti, watu waache uongo!
Sidhani kama jamaa bado yupo kwenye level ya kushindwa kusimamia afya yake bila msaada.Wakizuia tu asipate ARVs basi Ndugai anakuwa marehemu
Unajidanganya. Bila mafao ya Serikali na ARVs za bure hatoboiSidhani kama jamaa bado yupo kwenye level ya kushindwa kusimamia afya yake bila msaada.
Matumaini yapi hayo?Wtz ni wapumbavu sana!
Ona haya matumaini hewa waliyoletewa watz
Sqwa lini sasa??!!Kuna kitu kizito kinakuja, soon nitakuja na uzi wake. Vita ya Ndugai na Hangaya ni kubwa kupita maelezo. Taarifa za chini chini zinatisha balaa. Ni Do or Die.
Huku kusini hatuna hamu na huyu samia kwakweliNdugai ni mmoja wapo tu.
Wafaidika wote wa awamu ya 5 waliopigwa chini au kupunguziwa mirija, ni maadui wa awamu ya 6.
Kusini kawajengea hospitali mpya za rufaa, hakuna mwanafunzi anaekosa jwenda shule, kawafungulia masoko ya korosho, mbaazi na ufuta au upo Afrika Kusini?Huku kusini hatuna hamu na huyu samia kwakweli