atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Yaani nyie praise team mmeshindwa kuficha kabisa mahaba yenu kwa gwajiboy ?!![emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064],kwa mahaba mnayoyaonesha hapa hata akiwaZitto yupi unayemsemea wewe? Acha akili mgando kabisa na ujue kuna watu wanakutegemea utoe mawazo yenye maana
Ngoja nikwambie kitu ndg gwajima huwezi sema ni kiongozi wa kiroho,wale ni wajasiriadini so hata huko kwenye siasa anapoenda ni kwa maslahi yakeNaomba Gwajima achaguliwe, halafu tukaone namna imani yake inavyoliwa na nguvu za kishetani za siasa za uchama na ubaguzi wa ubinaadamu unaodumishwa Bungeni.
Ukiwa muumini huwezi kugawanya uadilifu wako mara tu unapojikuta upo kwenye siasa na unahitajika kufuata misimamo na maamuzi ya mrengo uliokupa jukwaa la kuwa mkuu na mheshimiwa.
SIASA NI SAWA NA TEKNOLOJIA YA UCHAWI, UKIIJUA KUITUMIA HUTAACHA KUKUFURU KWA KUITUMIA VIBAYA.
Huo uaskofu sijui hata alitunikiwa wap na nani?Askofu mmoja mwenye kanisa moja lisilo na mfumo!!
Hahahahah akawa amekosa jibu anajifuta jasho tuu na kumtumbulia macho yule mzeeAlipigwa maswali na mzee mmoja akalowa, Huyo mpelekee mkeo
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Huyo ni muumini smart kama hujuiMkuu unajua hata wewe unafaa kuwa muumini wa Gwajboy kama bado hujawa muumini wake
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ndio maana yakeKaka Gwajima hajawahi kuwa kiongozi wa dini ila ni tapeli
Viongozi wote wa dini type ya gwajima ni matapeli isipokuwa yule Mwl Christopher Mwakasege,yule amejitanabaisha wazi kabisa ni Mwl wa biblia,anakufundisha Neno la Mungu basi ndio maana anazunguka Tz nzimaKaka Gwajima hajawahi kuwa kiongozi wa dini ila ni tapeli
Hahahahhahah amewaacha waumini wapweke[emoji23][emoji23]
Ndio maana yakewajameni hebu atuambie zile digrii alizipata kwenye vyuo gani kwanza halafu baada ya hapo tunamkabidhi jimbo, au siyo wajumbe?
Waambie hao praise teamAcha kutudhalilisha wakristo wewe, sisi hatuna kiongozi wa hivyo. Sema kiongozi wa kikundi kinachojiita ufufuo wa wafu(Ingawa hajawahi kufufua mfu hata mmoja) Kwanza askofu ni cheo kikubwa sana katika kanisa. Huyu wa kulala na kuamka anajiita askofu wala hana hadhi hiyo.
Nyie wote walewale tuu Praise team,tumeamua kuwapuuza tuuMkuu Moto Ulao , naunga mkono hoja, ila hiyo kauli ya "kama Askofu Gwajima atashinda ubunge", iondoe, hii ni kauli ya probability kuwa anaweza akashinda au asishinde!, Mimi ni mwana Kawe, hakuna probability ya CCM kushindwa, Askofu Gwajima ni Mbunge wa Kawe anayesubiri kuthibitishwa tuu hiyo tarehe 28 October, kwasababu Mhe. Halima Mdee, hakuna lolote alilofanya Kawe kipindi chake chote cha miaka 10, hivyo wana Kawe katika Umoja wetu, tumeamua this time tunataka maendeleo, chama pekee kinacholeta maendeleo ni chama kimoja tuu, the one and only CCM!.
Uchaguzi 2020 - Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi
P
Umeongea vizur kabisa kamanda [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122],watu kama unaowaona hapa jf kumfagilia huyo gwajiboy walikuwepo hata vipindi vya manabiUdini ,idini idini,idini,
Ukabils ukabila ukabila,.
Kuchanganya dini na siasa ndiko huku .
Ni wazi kabisa kuwa Gwajima bado ni askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Wakati huo huo anagombea kupitia Chama cha Maponduzi.
Ama kwa hakika kama kuna watu wa vyama vingine ndani ya kanisa lake hawana tena askofu bali wao ni wapinzani wa askofu huyo mzinzi na mnafiki.
Alipaswa kuachana na uaskofu kama alivyofanya Dr. Slaa na kuingia kwenye siasa.
Endapo nchi yetu ingekua na mgombea Huru au mgombea binafsi basi angeweza kugombea. Lakini kugombea kupitia Chama wakati Chama hicho kiko wazi kabisa kuwa kina uadui mkubwa na chuki kubwa kwa wapinzani au watu wa vyama vingine kufikia hatua ya kutoa wito Mara kwa Mara bungeni na nje ya bunge kuwa wapinzani wauawe basi hakika Gwajima ni mchungaji aliyekimbia kondoo wake baada ya kuona mbwa mwitu au serikali imewasakama kondoo wake.
Akina Sylvester Gwamanya ni watu wa TISS miaka mingi ndio maana hatuwashangai.
Matapeli wote wamekimbilia CCM baada ya kuwadanganya watu na kujipatia fedha kama walivyo wasanii wengi waliojihusisha na biashara za madawa na Leo ndio wapiga debe wa CCM.
Nchi imevamiwa na wahuni na wananufaika mana watu wema wengi ni waoga sana. Waovu wengi wanajiunga na wakubwa ili mambo yao yaende kimya kimya.
Mtumishi wa Mungu wa kweli kama amebarikiwa kupata Mali na uwezo wa kuisaidia jamii sio lazima jamii imbebe kwa kutumia kodi zake kama ilivyombeba kwenye sadaka. Mbunge kwa mwezi mmoja analipwa zaidi ya mil. 12. Kwa wakati huu wa awamu hii yenye mateso makubwa kwa wafanyakazi ,hizo ni fedha nyingi sana. Na ni fedha zinazoweza kumbeba akakopa zaidi ya mil. 700 mpaka bil. 1.
Sasa tujiulize ni mtumishi gani wa Mungu anayeshindwa kujitolea kuwatumikia wananchi bila kutegemea fadhila kutoka kwa maskini.?
Hawa ndio kama kunawale waliokaa karne zilizopita na kubadili vifungu vya biblia ili waitumie kuwatawala watu na kuwafanya watumwa wao.
Ninapootafakari mambo kama haya naamini kuwa Uislam umefanikiwa sana kwa kulinda Dini ya haki isichafuliwe na watu wanaotaka kuweka maslahi yao binafsi.
Eti kamati ya kuhamasisha Amani iwepo kwa wezi wa CCM na dhulma itendeke ili CCM ishinde hawaoni kuwa Gwajima anachanganya dini na siasa. Hawaoni kabisa !
Eti kuna watu wanahamasisha amani utafikiri Tanzania hakuna amani. Hizo kamati zinatakiwa huko Congo sio hapa . Hapa sisi tuna amani Tangu mkoloni alipoitawala Tanzania na kuweka mipaka hatujawahi kupigana wenyewe kwa wenyewe. Amkeni acheni kupumbazwa na waroho na walafi waliolewa pesa sasa wamatafuta kuitwa waheshimiwa.
Wanajua wazi kuwa roho za watanzania hazina amani kwa sababu hawatendewi haki.
Tatizo la watanzania ni dhulma tupu.
Amani tunayo!!
Mkuu unaonekana kama ndiye Gwajima og..!muuza madawa Alkuuzia eee acha ufala wewe
Kutusaidia kufundisha kukata mauno????Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Nilichokiangalia kwa Watanzania tulio wengi bado hatujawa serious sana na mambo yetu, lakini pia nimegundua kwamba waTanzania sisi sote hatujui tunataka nini na tunaelekea wapi.Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Ila hawa wa makanisa ya maturubai sitakaa niwaaminiViongozi wote wa dini type ya gwajima ni matapeli isipokuwa yule Mwl Christopher Mwakasege,yule amejitanabaisha wazi kabisa ni Mwl wa biblia,anakufundisha Neno la Mungu basi ndio maana anazunguka Tz nzima
Kuna watu akili wamezikalia kabisa, huwezi kabisa kuwa na akili iko kichwani ukawaza kumchagua mtu tofauti na Gwajima kwa Kawe.