Huenda bahasha ndizo zinawapa Simba ushindi na siyo kocha, mechi ya Simba na Fountain Gate imenipa wasi wasi juu ya hilo

Huenda bahasha ndizo zinawapa Simba ushindi na siyo kocha, mechi ya Simba na Fountain Gate imenipa wasi wasi juu ya hilo

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Hii ni aibu kwa marefarii wa nchi hii unaruhusu goli la offside dhidi ya fountain gate unaita Mpira kati,,najiuliza endapo fountain gate ndio wangefunga goli la namna Ile je refa angeita kati?

Lakini waswahili usema ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga yule yule aliyekuwa ameotea akatoa assist ya goli ndio uyo uyo kajifunga!

Aikutosha mwamuzi akaona nyie mnanitania kama nishavuta advance kwanini nisifanye juu chini awa watu wapate ushindi ngoja niongeze dk 5 kipindi cha kwanza Ngoma ikagoma

Kipindi cha pili ngoja niongeze dk 9, zikachezwa zikaisha Ngoma ikagoma, akaona hapana watoto wanadaiwa karo ya shule lazima Salio lililobaki nilichukue akaongeza za kwake nyingine na Mpira ukawa umechezwa dk 108!!!!!!

Hii sio kwa bahati mbaya ni kwamba alidhamilia Simba washinde kwa namna yoyote Ile maana ata kama fountain gate walipoteza muda aikuwa kwa kiwango icho na vipi kama Simba ndio ingekuwa inaongoza je angeongeza hizo dk zote?

Tumeshuhudia Simba akipata ushindi wa mauza uza Kila mara kwa kuwatumia marefa sasa hii ya jana ni kiboko!

Marefa wamekuwa majanga na bahasha za Simba zimekuwa ndio zinawabeba na sio kingine!
 
Hii ni aibu kwa marefarii wa nchi hii unaruhusu goli la offside dhidi ya fountain gate unaita Mpira kati,,najiuliza endapo fountain gate ndio wangefunga goli la namna Ile je refa angeita kati?

Lakini waswahili usema ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga yule yule aliyekuwa ameotea akatoa assist ya goli ndio uyo uyo kajifunga!

Aikutosha mwamuzi akaona nyie mnanitania kama nishavuta advance kwanini nisifanye juu chini awa watu wapate ushindi ngoja niongeze dk 5 kipindi cha kwanza Ngoma ikagoma

Kipindi cha pili ngoja niongeze dk 9, zikachezwa zikaisha Ngoma ikagoma, akaona hapana watoto wanadaiwa karo ya shule lazima Salio lililobaki nilichukue akaongeza za kwake nyingine na Mpira ukawa umechezwa dk 108!!!!!!

Hii sio kwa bahati mbaya ni kwamba alidhamilia Simba washinde kwa namna yoyote Ile maana ata kama fountain gate walipoteza muda aikuwa kwa kiwango icho na vipi kama Simba ndio ingekuwa inaongoza je angeongeza hizo dk zote?

Tumeshuhudia Simba akipata ushindi wa mauza uza Kila mara kwa kuwatumia marefa sasa hii ya jana ni kiboko!

Marefa wamekuwa majanga na bahasha za Simba zimekuwa ndio zinawabeba na sio kingine!
Kwamba simba inakamati mazubuti ku-deal na lefa...
 
Hv kumbe refa wa ndani ndiye anayeamua n dkk ngapi za nyongeza ziwepo eee au n mtoa mada shabiki wa Yanga/Simba amechanganyikiwa?

Anyway, kwahy hamtaki sasambi aonyeshe utaalamu wake wa kufunga goli zuri kiasi kile?
 
Refa anaweza kuendelea kuchezesha hata dk zilizotolewa ni sita yeye anaweza kwenda hata tisa angalia mechi ya mbumbumbu na wale waarabu Kibu anafunga dk ya tisa wakati ziliongezwa sita..
 
Kwan humo ndani mpira ulikuwa unachezwa na Simba tu what kama hao Fountain Gate wangefunga ktk hizo dk?
 
Kwa situation ya jana kuanzia goli la Simba na goli walilojifunga Simba nimekuja kugundua watanzania wengi ni mashabiki wa mpira ila hawaujui mpira.

Sheria za soka inabidi watu mjifunze angalau ukizijua kwa uchache kuna muda unaweza kuepuka aibu kwa kuibua mjadala ambao unaonyesha kabisa huyu mtu ni kiazi hajui chochote.
 
Hv kumbe refa wa ndani ndiye anayeamua n dkk ngapi za nyongeza ziwepo eee au n mtoa mada shabiki wa Yanga/Simba amechanganyikiwa?

Anyway, kwahy hamtaki sasambi aonyeshe utaalamu wake wa kufunga goli zuri kiasi kile?
Anayeamua ni refa wa ndani, mtoa mada yuko sawa. Refa wa akiba yeye ni kuonesha dakika tu.
 
Kwa situation ya jana kuanzia goli la Simba na goli walilojifunga Simba nimekuja kugundua watanzania wengi ni mashabiki wa mpira ila hawaujui mpira.

Sheria za soka inabidi watu mjifunze angalau ukizijua kwa uchache kuna muda unaweza kuepuka aibu kwa kuibua mjadala ambao unaonyesha kabisa huyu mtu ni kiazi hajui chochote.
Wewe ndio kiazi kwanini dk ziongezwe mechi za Simba tu Kuna nini hapo? Ina maana Sheria za soka ziko sawa kwa Simba tu but kwingine azitumiki? Usitufanye wote atujui hii michezo labda kamdanganye asiyejua,,nimekuuliza kama Simba angekuwa anaongoza angeongeza hizo dk?
 
Ni kweli wanatumia bahasha ndio maana kwenye mashindano ya Afrika wanaendekea wakati utopolo wametoleaa.
Acheni kugawa bahasha kwa waamuzi wetu ndugu zangu! Oneni kwenye mashindano ya Kimataifa ni Arajiga pekee ndiye anayetambulika! Waamuzi wengine hawaaminiki kwa sababu tu ya hizo bahasha zenu.
 
Madogo fg walikabia juu mwanzo mwisho mbumbumbu fc maji ya shingo wakapiga staili yao ya kuiba goli , hii ya kuanzisha mpira haraka washawahi pia kuifanya kwenye dabi wakianzisha kona bila ruhusa ya refa, yule mkongo inonga akafunga goli. Simba akizidiwa anakula nyasi!!

Bahasha jana imebuma refa alikuwa hataki mpira uishe ila fg walikuwa na Mungu pamoja , hawa marefa wanafaa kuchezesha ligi ya wamama ni janga la taifa, wanashusha thamani ya ligi yetu maana Azam tv inaonekana dunia nzima
 
Hii ni aibu kwa marefarii wa nchi hii unaruhusu goli la offside dhidi ya fountain gate unaita Mpira kati,,najiuliza endapo fountain gate ndio wangefunga goli la namna Ile je refa angeita kati?

Lakini waswahili usema ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga yule yule aliyekuwa ameotea akatoa assist ya goli ndio uyo uyo kajifunga!

Aikutosha mwamuzi akaona nyie mnanitania kama nishavuta advance kwanini nisifanye juu chini awa watu wapate ushindi ngoja niongeze dk 5 kipindi cha kwanza Ngoma ikagoma

Kipindi cha pili ngoja niongeze dk 9, zikachezwa zikaisha Ngoma ikagoma, akaona hapana watoto wanadaiwa karo ya shule lazima Salio lililobaki nilichukue akaongeza za kwake nyingine na Mpira ukawa umechezwa dk 108!!!!!!

Hii sio kwa bahati mbaya ni kwamba alidhamilia Simba washinde kwa namna yoyote Ile maana ata kama fountain gate walipoteza muda aikuwa kwa kiwango icho na vipi kama Simba ndio ingekuwa inaongoza je angeongeza hizo dk zote?

Tumeshuhudia Simba akipata ushindi wa mauza uza Kila mara kwa kuwatumia marefa sasa hii ya jana ni kiboko!

Marefa wamekuwa majanga na bahasha za Simba zimekuwa ndio zinawabeba na sio kingine!
😂😂😂😂Yanga bingwa
 
Goli la Simba sina hakika na uhalali wake, reaction ya Refa ilikua ni kama anataka kutoa kadi hali iliyofanya wachezaji wa Fountain Gate kulirelax.

Kuhusu ile ni Offside au sio Offside bado kuna ukizingatia picha za marejeo hazikuonesha inavyotakiwa wakati mpira unatoka mguuni.

Ukichana na hivyo Refa alikua sahihi katika matukio mengi sana na alichelewa sana kumpa kadi nyekundu yule kipa.

Kuna jamaa nilikaa nae karibu nikamwambia mapema tu huyu kipa anamtafuta lawama kipa na kweli yakatokea. Kipa alifanya utoto na wangepoteza ule mchezo ilitakiwa alaumiwe yeye.

Kuhusu dakika 9 za nyongeza zilikua nyingi sana japo refarii kucheza hadi dakika ya 104 alikua sahihi pia.Tujiulize kipa alipoteza dakika ngapi hadi kutoka nje baada ya kupewa kadi nyekundu na zilitumika dakika ngapi hadi kufanyika replacement ya kipa.

Mimi sio muumini wa kutoa accusation zisizo na ushahidi. Naamini aina hii ya ushabiki ni ya kizamani na zama zimebadilika.
 
Back
Top Bottom