Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
 
IMG_20240216_142745.jpg


KaziKwelikweli/JobTrueTrue
 
kaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.

Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Malaya tu kama Malaya wengine aliona atabanwa katika kudanga kwake
 
Halafu watumishi wa kweli wapo tu mitaani wanapitia rumba kali kila wanalofanya haliendi kwa kua tu hawatumikii wito wao
halafu kuna hawa walanguzi motivational speakers na influencers wanaotumia vipaji vyao vyakupangilia pamba kali na maneno mazuri yasiyokuwepo kwenye biblia ili kupiga miamala
 
kaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.

Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
Ndio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Amechanganyikiwa kwa sababu anawaza tofauti na watu wengine? Au kwa sababu anawaza tofauti na wewe?
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Ubinafsi unawamaliza wanawake wengi sana.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Limalaya hilo
 
Amechanganyikiwa kwa sababu anawaza tofauti na watu wengine? Au kwa sababu anawaza tofauti na wewe?
Amechanganyikiwa 7bu anaenda tofauti na UCHRISTO unavyotaka

We unadhani kama angekuwa JACK WOLPER au AUNT EZEKIEL ama IRENE UWOYA watu wangeoji

Yeye alikuwa KIOO katika jamii ya wachristo
Mimi ni muislam lkn nilikuwa napenda sana tungo zake haswa wimbo wa ADAM
Tungo zake zilikuwa zinabeba kile haswa JAMII inatakiwa nini ifanye na vile alikuwa sambamba na mumewe kujiheshimu kwake mavazi yake nilikuwa moja kati ya FAN wake
 
Back
Top Bottom