bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mungu kampiga kwenye muziki na atapigwa kwenye uchungaji pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah..umeongea kweli,walioitwa na Mungu hawajaitika ila walijiita ndo wako frontHalafu watumishi wa kweli wapo tu mitaani wanapitia rumba kali kila wanalofanya haliendi kwa kua tu hawatumikii wito wao
halafu kuna hawa walanguzi motivational speakers na influencers wanaotumia vipaji vyao vyakupangilia pamba kali na maneno mazuri yasiyokuwepo kwenye biblia ili kupiga miamala
Rwakatare si alikuwa mjane yule au?Marehemu mch,mb, Dr rwakatare alikuwa anawafungisha ndoa mbona? Bulldozer anafungisha ndoa afu yeye hana
Mi najua basi? Nkajua alikuwa hajaolewaRwakatare si alikuwa mjane yule au?
Tumegee na sisiKwani ile picha nimeona ikitrend yuko na mumewe kumbe sio mumewe ni boyfriend?
Siyo kwamba amempata Katibu kweli!?Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
inawezekana, wewe ni hekalu la roho mtakatifu, mtafute Mungu individual dini zinapoteza watuDini,dini,dini
Nje ya mada kidogo,.....hivi hatuwezi ku~connect na Mungu bila dini🤔🤔
😂😂😂😂😂Hivi Bulldozer hana ndoa?Marehemu mch,mb, Dr rwakatare alikuwa anawafungisha ndoa mbona? Bulldozer anafungisha ndoa afu yeye hana
Inatoka wapi sjawahi sikia madhabahuni wakisema mama apostle, ma mchungaji, mama bulldozer😂😂😂😂😂Hivi Bulldozer hana ndoa?
Tusiende kwa makuhani na mitume?inawezekana, wewe ni hekalu la roho mtakatifu, mtafute Mungu individual dini zinapoteza watu
hii hatariInatoka wapi sjawahi sikia madhabahuni wakisema mama apostle, ma mchungaji, mama bulldozer
ukienda umetaka mwenyewe, huko hawafundishi ufalme wa Mungu, wanakomaa na mafanikio ambayo hata ukifanikiwa kuna kufa, hawaamini watu kuacha dhambi, ndio maana si ajabu dada poa ukamkuta na mafuta ya upakoTusiende kwa makuhani na mitume?
Ila mi nabarikiwa na napokea uponyaji na sjawahi enda Kawehii hatari
Mimi nampenda pamoja na makandokando yake Ila ni Mwanamke mmoja kila Mwanaume ana-wish kua nae oh men mumewe alikua anafaidi sio mchezo yaan with that big asset ma-men Mange Kimambi wa kuvujisha takataka chafu za hapa Mjini naomba asimfikie
View attachment 2960530Endelea kudanganywa na hizo camera zenye filter siku ukikutana nae live hutakaa uamini ndio huyo wa kwenye TV
Atakuwa anakula kondoo, na hivi wanaenda waliononaInatoka wapi sjawahi sikia madhabahuni wakisema mama apostle, ma mchungaji, mama bulldozer
Weee yule ni binadamu kama ulivo wewe kwanini aishie kuchunga tu asionje😃Atakuwa anakula kondoo, na hivi wanaenda walionona
kila mtu, ni mtu wa Mungu shetani hana watu, ila kuwa kwamba ni mtumishi wa Mungu hilo ndio sina uhakika naloIla mi nabarikiwa na napokea uponyaji na sjawahi enda Kawe
Ni mtu wa Mungu mi nahisi hivyo
Namuombea maisha marefu