cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bora uulize hili swali, woiiiihDini,dini,dini
Nje ya mada kidogo,.....hivi hatuwezi ku~connect na Mungu bila dini[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uulize hili swali, woiiiihDini,dini,dini
Nje ya mada kidogo,.....hivi hatuwezi ku~connect na Mungu bila dini[emoji848][emoji848]
Kama kufungua duka tukaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.
Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
Nahisi ni watu walikaa karibu ktk ile event, ila sio mume wake.Kwani ile picha nimeona ikitrend yuko na mumewe kumbe sio mumewe ni boyfriend?
Wacha wee, Wimbo upi huo?She is a BTCH ila anajifichia kwenye dini, Samwel Sitta alikula sana mpaka akatungiwa na wimbo
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Mchungaji nasibu 😂 😂Acha amchezee Simba kama hajachezea bakora!
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Dada mtamu yule, i missed those daysNdio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Yupi aliyetambaa hapo sasa, Harmonizer au huyo queen sheba?Huyo niqueen Sheba reincranation..
Ana nguvu kubwa sanaa karibia nyimbo zake zote zina melody tamuuu sana hizo melody anapozichukua na anayempa ndio siri yake.
Kama harmonizer alivyokutana naye airport pasipo kutarajia alitambaa na tumbo mpaka kwenye miguu yake
Inatisha sana
Huyu ndiye toyeye ninae mfaham, mkuu vipi walihack account yako nini? Maana kunapost nilikuwasizielewiMwanamke akiwa kwenye ndoa lakini bado anajiremba kwa ajili ya kuonekana na vijana...hiyo ndoa haitoboi
🤣🤣🤣nikivurugwa nakuwa mwingine kabisa🥴Huyu ndiye toyeye ninae mfaham, mkuu vipi walihack account yako nini? Maana kunapost nilikuwasizielewi
Aisee nomaa sana 😂 😂 😂🤣🤣🤣nikivurugwa nakuwa mwingine kabisa🥴
🤣🤣🥴Aisee nomaa sana 😂 😂 😂
Uko poa lakini?
Yeah nipo mkuu...waendeleaje mwenyewe?Uko poa lakini?
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Nijambo jema kama uko poa! , na mi pia niko vizuri nashukuru Mungu. Asante kwa kunijulia khali.Yeah nipo mkuu...waendeleaje mwenyewe?
🤣🤣
Wala hauko mbali,MUNGU anatakaga ujinga Toka lini?Mwisho wake sio mwema.