Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

kaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.

Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
kuchunga kanisa si lelemama, kanisani unalea huduma na vipawa vyote walivyo navyo waumini unaowachunga. Sasa kama mizozo ya ndoa ikitokea miongoni mwa waumini wake atawezaje kusuluhisha ikiwa yeye mwenyewe ana ushuhuda mbaya kwa ndoa yake aliyoiacha? Hatakuwa mwalimu mzuri kwa wanandoa wapya
 
Miaka ya mwanzo wakati anavuma na albam yake ya kwanza 'utukumbuke' niliona picha yake kwenye cover la jarida moja la mastaa nikashanga nguo alizokuwa amevaa kwa mujibu wa imani ya maadili ya kikristo hazikuwa sahihi kuvaliwa naye
 
Miaka ya 90 mwishoni Anko wangu alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe baada ya mkewe kubadili dini toka RC kwenda SDA. Siku moja mida ya mchana akapata ugeni kutoka SDA church.. anko aliwapokea vizuri na kuwakaribisha sebuleni. Walikuwepo watu wa makamo kadhaa na jamaa mwingine ambaye alikuwa kijana kama wa early 30s. Yule kijana ndo alikuwa mzungumzaji mkuu kumshauri anko kuhusu mambo ya ndoa na mambo mengine ya kiimani. Mwisho wa mazungumzo Anko akamuuliza kijana kama ameoa... akajibu HAJAOA na bado yupo chuo anasomea uchungaji. Anko alipandwa na hasira na kuanza kutembeza mkong'oto kwa huyo dogo na waliokuwepo. Walifanikiwa kukimbia ila hawakuwahi kurudi tena kwa ishu ya ushauri.

KIMSINGI Christina akiwa kama malaya wa karne amekengeuka kabisa. Hafai kusikilizwa na mstaarabu yeyote. Hao waumini wa kanisa lake ni misukule kama ilivyo misukule mingine.
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom