Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Ndio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Alfu kuna mijitu jpili wako sitti za mbele wakisubiria neno la mchungaji malaya
 
Hili hitimisho lako linakufaa zaidi wewe.


Hii statement yako yote imetokana na hisia binafsi plus story za vijiweni.

Otherwise, provide one scientific fact inayothibitisha haya madai yako kwamba binaadam wote ambao walishawahi kuwa sexually active hawana maamuzi ya kuacha kushiriki sex mpaka umauti wao, Please.

Eti waliowahi kushiriki “LAZIMA waendelee kushiriki! Una fikra za ajabu sana zinazoendeshwa na hisia za mwili zaidi ya uhalisia.

You’re overrating Sex while minimizing the human capacity to take control of their emotions & body reactions. And that’s lame of you.
Unasemaje [emoji848]


View: https://www.reddit.com/r/todayilearned/comments/2btglr/til_there_only_three_species_in_the_animal/
Screenshot_2024-04-13-15-10-59-11_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Hili hitimisho lako linakufaa zaidi wewe.


Hii statement yako yote imetokana na hisia binafsi plus story za vijiweni.

Otherwise, provide one scientific fact inayothibitisha haya madai yako kwamba binaadam wote ambao walishawahi kuwa sexually active hawana maamuzi ya kuacha kushiriki sex mpaka umauti wao, Please.

Eti waliowahi kushiriki “LAZIMA waendelee kushiriki! Una fikra za ajabu sana zinazoendeshwa na hisia za mwili zaidi ya uhalisia.

You’re overrating Sex while minimizing the human capacity to take control of their emotions & body reactions. And that’s lame of you.
Unasemaje [emoji848]


View: https://www.reddit.com/r/todayilearned/comments/2btglr/til_there_only_three_species_in_the_animal/View attachment 2962318
 
Hili hitimisho lako linakufaa zaidi wewe.


Hii statement yako yote imetokana na hisia binafsi plus story za vijiweni.

Otherwise, provide one scientific fact inayothibitisha haya madai yako kwamba binaadam wote ambao walishawahi kuwa sexually active hawana maamuzi ya kuacha kushiriki sex mpaka umauti wao, Please.

Eti waliowahi kushiriki “LAZIMA waendelee kushiriki! Una fikra za ajabu sana zinazoendeshwa na hisia za mwili zaidi ya uhalisia.

You’re overrating Sex while minimizing the human capacity to take control of their emotions & body reactions. And that’s lame of you.
Unasemaje [emoji848]View attachment 2962318
 
Sasa Mondi alioweza kumla Zari hadi

kumzalisha watoto wawili atashindwa vipi kwa Christine. Wewe unadhani shusho ana uspesho gani wa kukataa kuliwa na kijana aliefanikiwa na maarufu kuliko 90% ya vijana wa hovyo hapa mjini. Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa na hela na fame. Hayupooo nchini!!!
Yupo Ke mmoja Kenya ni msanii kwao kuna mawe sana alishawahi kumtolea nnje huyo Jamaa.
 

Hii ni nini?
Nobody asked you which animal exercises sexual acts for pleasure.

Mjadala ni kwamba wapi science imethibitisha pasipo shaka ya kwamba once ukishakua sexually active basi mpaka unaingia kaburini wewe utaendelea kuhitaji “kuingiliwa sexually hata Kama ukiamua mwenyewe kuacha.

Kwamba ni lazima Christina aendelee kukaa kwenye ndoa na mumewe ambaye yeye hamtaki tena Kisa tu tayari alishakua sexually active so anamhitaji Jamaa specifically for that.

Comprende?
 
Kasome production ,sex ina addiction kuzidi hata pombd na sigara
Unatambua ya kwamba addiction yoyote ambayo ni human inflicted inatibika?

Na ni wapi katika topic ya “production panazungumzia sex addiction?

And how does being sexually active turn into addiction for a human being?

Do you have any idea of how a woman’s body operate?

All facts considered, sex is way different for a woman compared to a man.

Kamsome kwanza kiumbe mwanamke na mwili wake vizuri then urudi hapa kumlazimisha Christina aendelee kukaa kwenye Ndoa eti Kisa anahitaji sex.
 
Anyway
Kwanza lazima tukubali katika vitu wanawake wengi hawawezi kuvihandle pamoja na ndoa basi ni hivi

1-Welth/pesa/utajiri mpaka kwenye level ya kujitosheleza.aisee mwanamke/mke akifikia hiyo level basi mwanaume anabakia kuwa sex object ambaye anatakiwa kuja na kuondoka na sio wa kudumu.Tafuta wanawake 10 wenye pesa kwa level niliyoitaja na bado wako kwenye ndoa.

2-power/madaraka/cheo-hapa ndo balaa zaidi.hawa viumbe akifikia ile level ya kukaa mbele haswa halafu kuna watu wanainama mbele yake,akikohoa mtu anaitika ,akisema njoo watu wanakuja.ndoa haiwezi kuwepo.angalia wabunge,mawaziri,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya wakike wenye ndoa na ulete takwimu.

3-umaarufu.hapa ndo balaa,the more she grow higher as a celebrity the more she loose her concern kwenye ndoa.pitia majina ya wanawake maarufu tanzania halafu leta takwimu ya wenye ndoa.

Mwisho wa siku mwanaume ili kuishi na mwanamke mwenye pesa,madaraka na umaarufu inahitaji akili na sio moyo.
 
Imepita kama miaka kumi nilipata kumuuliza bimkubwa wangu namna ambavyo wasanii wa gospel especially wanawake wanavyovurugikiwa wakiwa katika peak..alikuwepo jennifer mgendi, beatrice muhone, nikaona upendo nkone anatumia mikorogo, rose muhando ilisemekana hadi madawa ya kulevya, bahati bukuku ndio ilikuwa haeleweki tena..
Katika kipindi hicho alibakia martha mwaipaja na huyu Shusho..

Bi mkubwa akanipa story kama hadithi ili nimuelewe vizuri..akaniambia hapo kale shetani lucifer alikuwa mkuu wa malaika. Alikuwa anamuimbia Mungu hadi kiti kinatikisika. Ila sifa zilipozidi akataka ukuu wa Mungu, ndipo Mungu akamtupilia mbali. Kwa hiyo yeyote anayemuimbia Mungu kwa kiwango cha juu basi Lucifer anamuwinda ili amvuruge na kumuondoa kwenye uwepo wa Mungu.

NIlianza kuangalia mwenendo wa Christina nikakumbuka hii hadithi. Alianza kuipenda dunia zaidi na kujiona mzuri na ana sauti nzuri na kusahau kazi kuu..huyu mama kajaliwa sana kuijua biblia na nyimbo zake 90% ni maandiko. Ila zamu yake kwa lucifer imefika. Anahitaji kurudi njia kuu mapema iwezekanavyo..mavazi ya kubana stejini ili kuvutia halaiki hayatamuacha salama kama beatrice muhone.
Hivi Beatrice Muhone alisharudiana na mume wake?
 
Kila nikiskia wimbo wake ule "shusha nyavu"

Akili inawaza kitu
 
Shusho ni Malaya kama Malaya wengine sema tofauti yake yeye anaimba nyimbo za injili sijui nani aliwambia kwamba mtu akiimba nyimbo za ijili basi ni mtu wa Mungu huyo ni muhuni tu amabe yuko uko
 
Kwani na wewe ni malaya!?

Unajua kwa mwenye akili kubwa huwa haulizi vyovyote?
Huwa kunakuwa na namna inayompelekea hadi kuuliza swali kwa kuzingatia flow of facts.
Kuna swali ukiuliza tu werevu wanajua Huyu huenda hamnazo 😛😛
Halafu ukute anaeuliza Eti Mwalimu 🤔🤔 unajiuliza watoto huko shuleni anawajaza vitu gani vichwani mwao ?
Nikimnukuu bwana Mpwayungu village. 😆😆
 
Dini Biashara kama biashara zingine kinachotakiwa ni kuwavuta watu Kwa hali na mali
Screenshot_20240905-070437.jpg
 
Back
Top Bottom