Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Unajua kusudio la ndoa haswa kijamii kabla ya kwenda kweny dini?

Mtu ukiwa sexually active either uliwahi kudate huko nyuma huwezi kuacha hata uwe na miaka 60 ...Labda upotezo uwezo wa kihisia wa hamu ya tendo la ndoa .

Huyo alishakuwa mtu wa kufanya hayo mambo sio rahisi kuacha ,ndio maana ndoa inazuia kabisa huo uasherati lazima apate hamu na ndio atatembea na mtu yoyote yule
Mwenzetu wewe umefika lini huko 60 na kurudi kutupa story za kutokuweza acha?

Na kwanini unahakika sana kwamba Sex ni kipengele muhimu kwa Christina Kama ilivyo kwako?

Kwamba catholic sisters wote ni Virgins kwa asilimia 100?

Sex was not meant for enjoyment rather for “re-creation. Read it again.
 
Yupi aliyetambaa hapo sasa, Harmonizer au huyo queen sheba?
Nataka nifahamu sawa sawa ili niongeze credit za kupondea.
Imagine you are also just a mere creature Kama huyo Christina…. Hivi ungepewa power ya kuwa supervisor wa hata ushuzi tu ingekuwaje?!
 
Bora alipoulizwa angenyamaza tu aseme hapendi kuongelea mambo yake publicy,
Why kumfunga mtu mzima mdomo?!

Amesema Ukweli wake, kwanini watu wanachukia?

Suddenly watu wote humu wamegeuka Malaikah watakatifu huku Christina akiwa shetani kwa kunena yaliyo moyoni mwake?!

I’m sure the hypocrisy of us two legged creatures amazes even Lucifer!
 
Mwisho wake mmbaya..!
Hongereni watenda mema wenye mwisho mzuri.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Yapo mambo ni magumu kuyaelewa kwa sasa
 
Mwenzetu wewe umefika lini huko 60 na kurudi kutupa story za kutokuweza acha?

Na kwanini unahakika sana kwamba Sex ni kipengele muhimu kwa Christina Kama ilivyo kwako?

Kwamba catholic sisters wote ni Virgins kwa asilimia 100?

Sex was not meant for enjoyment rather for “re-creation. Read it again.
Hujielewi yule kashakuwa sexually active, huwezi kuacha ng'o usidanganywe hata watawa wasioa ni wale ambao hawana historia kabisa ya ndoa wala kushiriki ngono.

Waliowahi kushiriki lazima waendelee kuna siri kubwa hata za kibailojia, wanasayansi wakubwa hawakushiriki ngono kabisa ,ukijaribu basi kuacha sio rahisi.

Catholic sisters ambao walishawahi kushiriki ngono ,basi wanaendelea kimya kimya fuatilia ujue tetesi zao ..

Single parents wote hata awe tajiri kiwango cha Musk ,wanaendelea kushiriki ngono ..


Usidanganywe na ujinga wa watu wachache.
 
Sasa Mondi alioweza kumla Zari hadi
Kama mondi atakuwa analila hilo limshangazi, basi nitaamini kabisa kuwa ni kweli hawa wanamziki wa kizazi kipya kwao maadili ni msamiati uliokosa mwalimu wa kuufasiri.
Ni samaki wasiopisha chambo. 🤭🤭
kumzalisha watoto wawili atashindwa vipi kwa Christine. Wewe unadhani shusho ana uspesho gani wa kukataa kuliwa na kijana aliefanikiwa na maarufu kuliko 90% ya vijana wa hovyo hapa mjini. Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa na hela na fame. Hayupooo nchini!!!
 
Sasa Mondi alioweza kumla Zari hadi

kumzalisha watoto wawili atashindwa vipi kwa Christine. Wewe unadhani shusho ana uspesho gani wa kukataa kuliwa na kijana aliefanikiwa na maarufu kuliko 90% ya vijana wa hovyo hapa mjini. Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa na hela na fame. Hayupooo nchini!!!
Ujue nini?
Hayo unayoyasema ni sawa, mwenzako nilistick kwenye age!
Lakini napo umepagusa.
 
Hujielewi yule kashakuwa sexually active, huwezi kuacha ng'o usidanganywe hata watawa wasioa ni wale ambao hawana historia kabisa ya ndoa wala kushiriki ngono.

Waliowahi kushiriki lazima waendelee kuna siri kubwa hata za kibailojia, wanasayansi wakubwa hawakushiriki ngono kabisa ,ukijaribu basi kuacha sio rahisi.

Catholic sisters ambao walishawahi kushiriki ngono ,basi wanaendelea kimya kimya fuatilia ujue tetesi zao ..

Single parents wote hata awe tajiri kiwango cha Musk ,wanaendelea kushiriki ngono ..


Usidanganywe na ujinga wa watu wachache.
Hili hitimisho lako linakufaa zaidi wewe.


Hii statement yako yote imetokana na hisia binafsi plus story za vijiweni.

Otherwise, provide one scientific fact inayothibitisha haya madai yako kwamba binaadam wote ambao walishawahi kuwa sexually active hawana maamuzi ya kuacha kushiriki sex mpaka umauti wao, Please.

Eti waliowahi kushiriki “LAZIMA waendelee kushiriki! Una fikra za ajabu sana zinazoendeshwa na hisia za mwili zaidi ya uhalisia.

You’re overrating Sex while minimizing the human capacity to take control of their emotions & body reactions. And that’s lame of you.
 
Hili hitimisho lako linakufaa zaidi wewe.


Hii statement yako yote imetokana na hisia binafsi plus story za vijiweni.

Otherwise, provide one scientific fact inayothibitisha haya madai yako kwamba binaadam wote ambao walishawahi kuwa sexually active hawana maamuzi ya kuacha kushiriki sex mpaka umauti wao, Please.

Eti waliowahi kushiriki “LAZIMA waendelee kushiriki! Una fikra za ajabu sana zinazoendeshwa na hisia za mwili zaidi ya uhalisia.

You’re overrating Sex while minimizing the human capacity to take control of their emotions & body reactions. And that’s lame of you.
Kasome production ,sex ina addiction kuzidi hata pombd na sigara
 
Back
Top Bottom