Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Na siku akiwa mke wa dimond itamwitaje? Kichaa au ?
 
Mi sijaona shida hapo, labda hilo la kuchukia kuitwa mchungaji wakati ni mchungaji....

Mengine hamna shida kaongea uhalisia wa maisha yake, sio maisha ya watu wengine.

Kuna watu ndoa zinawarudisha nyuma kimaendeleleo (sitatoa ufafanuzi)
 
Ndio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Nakuhalikishia, shusho siku moja atakuwa mpenzi wa dimaond kama zuchu
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Anataka kumridhisha mondi tuu hamna kingine.
 
Shusho ni Malaya wimbaji na kanisa ni ngao

Sasa mlitaka aanzishe kanisa harafu abaki na mumewe wake , sisi mashababi kanisani pake angeishije nasi, harafu hatumpigi mizinga sisi showshow

Waterbreak/cooling break haipo kwetu
 
Ndio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Mi huyo malaya, kitambo sana nilimsikiaga sifa zake mbofu mbofu za uasherati kufanya na wakubwa wenye madaraka Serikalini ambao wengine tayari walishajitanguliza zao mbele ya haki.

Kukaa kwake kimya kulikuwa kunamjengea heshima.

Lakini kalikoroga kwa uroporopo wake huo, umemdhalilisha na ataendelea kudhalilika sana.

Maana kwa ujumbe wake huo, kaiudhi hadhira yote mpaka ma single moms yamekasirika, si unajua tena mwizi huwa hapendi kumuona mwizi mwingine akiiba?

Hivi kujishebedua kote huko alikula maharage ya wapi?
 
Huyo niqueen Sheba reincranation..
Ana nguvu kubwa sanaa karibia nyimbo zake zote zina melody tamuuu sana hizo melody anapozichukua na anayempa ndio siri yake.

Kama harmonizer alivyokutana naye airport pasipo kutarajia alitambaa na tumbo mpaka kwenye miguu yake

Inatisha sana
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.


Mnamtukana kuwa Eti ni malaya nawauliza je mmeshamkuta wapi akiwa na Mwanaume ?
Mmeshamkuta wapi akiwa na mabwana tofauti tofauti ?
Malaya ni mtu mwenye Mpenzi zaidi ya mmoja,
Je nyie mmeshamkuta na wanaume wangapi hadi mumwite malaya?

Acheni mambo yenu.

Mnamhukumu Mtumishi wa Mungu kiasi hicho. ?!
Haifai. Nyie wenyewe mna yenu chungu nzima ambayo Pengine yeye hawafikii hata robo ya maovu yenu.
 
Kuta zinaficha mambo mengi, huwezi jua Pengine kaona asiseme mengi ilo kusitiri mwenzie,
Au mlitaka aseme kila kitu kwenye media?
Mfano iwapo kuondoka kwake ndio salama yake mnajuaje?
Au kama iwapo jamaa amekuwa impotence gafla mlitaka aseme kwenye media?
N.k

Maisha ni zaidi ya kuishi ndoani.

Kusudi la kuletwa Duniani sio ndoa pekee.

BTW Imeandikwa; ā€œ mbinguni hakunaga kuoa wala kuolewaā€
Ndoa ni mambo ya hapa Duniani tu.
Kwa ni jambo la muda mfupi la kupita tu.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.


If you can’t change it accept it.

Yatupasa kuheshimu maamuzi yake.

Tusimnenee Mtumishi wa Mungu Maneno yasiyofaa ambayo hata tukiambiwa tuyathibitishe hatutaweza.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.


She is 100% responsible for her life.

She is the CEO of her life.

She can hire , fire , promote or demote any person in her life.

Asomaye na afahamu.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.


Kumbe ndio maana wanawake wengi wanang’ang’ania kuishi kwenye ndoa kiasi cha kuhatarisha uhai wao, wengine kutesa kwa vipigo , ngeu, ulemavu n.k kwa kuogopa wakiachika watadhalilika kama hivi mnavyomsakama mwanamke wa watu.
Imagine!
Kama jamii tubadilishe mitazamo yetu juu ya jambo hili.
 
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;

1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.

2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.

3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.

4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.

5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.

Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.


Ni kweli Imeandikwa kuwa Mungu anachukia kuachana lakini hajakataza kuachana.
Kuchukia kuachana haina maana kuwa amekataza kuachana.

Maisha ya wanawake wengi yangeweza kuokolewa wasiuliwe na wenza wao iwapo jamii tutabadili mitazamo yetu na kuangalia usalama kwanza, uhai kwanza.
 
Kuta zinaficha mambo mengi, huwezi jua Pengine kaona asiseme mengi ilo kusitiri mwenzie,
Au mlitaka aseme kila kitu kwenye media?
Mfano iwapo kuondoka kwake ndio salama yake mnajuaje?
Au kama iwapo jamaa amekuwa impotence gafla mlitaka aseme kwenye media?
N.k

Maisha ni zaidi ya kuishi ndoani.

Kusudi la kuletwa Duniani sio ndoa pekee.

BTW Imeandikwa; ā€œ mbinguni hakunaga kuoa wala kuolewaā€
Ndoa ni mambo ya hapa Duniani tu.
Kwa ni jambo la muda mfupi la kupita tu.
Unajua kusudio la ndoa haswa kijamii kabla ya kwenda kweny dini?

Mtu ukiwa sexually active either uliwahi kudate huko nyuma huwezi kuacha hata uwe na miaka 60 ...Labda upotezo uwezo wa kihisia wa hamu ya tendo la ndoa .

Huyo alishakuwa mtu wa kufanya hayo mambo sio rahisi kuacha ,ndio maana ndoa inazuia kabisa huo uasherati lazima apate hamu na ndio atatembea na mtu yoyote yule
 
Back
Top Bottom