Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
ndio nilichosema hawezi kufa na njaa na kondoo wapoWeee yule ni binadamu kama ulivo wewe kwanini aishie kuchunga tu asionješ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nilichosema hawezi kufa na njaa na kondoo wapoWeee yule ni binadamu kama ulivo wewe kwanini aishie kuchunga tu asionješ
Na siku akiwa mke wa dimond itamwitaje? Kichaa au ?Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Unaweza kutwa hata kulwalwa alishalalwa sana na ibilisi.Mwanamke alishaangushwa kitambo kule eden na anatumiwa sana na shetani, hakuna jipya leo hii.
Nakuhalikishia, shusho siku moja atakuwa mpenzi wa dimaond kama zuchuNdio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Anataka kumridhisha mondi tuu hamna kingine.Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Mi huyo malaya, kitambo sana nilimsikiaga sifa zake mbofu mbofu za uasherati kufanya na wakubwa wenye madaraka Serikalini ambao wengine tayari walishajitanguliza zao mbele ya haki.Ndio Christina Shusho analo kanisa lake (linaitwa The dreamer centre, liko Dar maeneo yq Manzese Tiptop), lina miaka zaidi ya saba sasa, wakati linaanzishwa ndio sekeseke la kuachana na mumewe lilipoanza kusemwa (maana Christina ndipo alipoanza kuonekana kutokuvaa pete ya ndoa na hakuonekana hata siku moja akihudumu na mumewe huku swaga zake zikiwa za usingle mother na sio kilokole) lakini Christina Shusho akapiga kimya. Muda umepita, kanisa halijalipa sana (waumini wachache na maokoto yakutafuta kwa tochi), sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Shusho ni jina la mumewe aliyemkimbia, tafadhari rekebisha hapo.Nakuhalikishia, shusho siku moja atakuwa mpenzi wa dimaond kama zuchu
Kama mondi atakuwa analila hilo limshangazi, basi nitaamini kabisa kuwa ni kweli hawa wanamziki wa kizazi kipya kwao maadili ni msamiati uliokosa mwalimu wa kuufasiri.Anataka kumridhisha mondi tuu hamna kingine.
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa;
1. Mungu alimpa wito maalum ambao unamtaka aachane kwanza na mumewe ili aende kuutumikia wito huo.
2. Aliamua kuachana na mumewe ili akawe huru kuanzisha kanisa lake na kuwa mchungaji.
3. Dhana ya kikristo kuwa mume na mke kuwa mwili mmoja imepitwa na wakati.
4. Yeye kuendelea kuishi pamoja na mumewe kungeendelea kumdidimiza.
5. Japokuwa yeye ameamua kuwa mchungaji lakini anachukia mnoo kuitwa mchungaji.
Watu wengi wanasema huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au kulogwa na umaarufu, tamaa ya pesa au aibu anayokumbana nayo baada ya kutoka kwenye mstari wa kiimani ya kikristo.
Mpaka uelewe maana ya dini kwanza ,untakiwa kusoma kwanza..Dini,dini,dini
Nje ya mada kidogo,.....hivi hatuwezi ku~connect na Mungu bila diniš¤š¤
Unajua kusudio la ndoa haswa kijamii kabla ya kwenda kweny dini?Kuta zinaficha mambo mengi, huwezi jua Pengine kaona asiseme mengi ilo kusitiri mwenzie,
Au mlitaka aseme kila kitu kwenye media?
Mfano iwapo kuondoka kwake ndio salama yake mnajuaje?
Au kama iwapo jamaa amekuwa impotence gafla mlitaka aseme kwenye media?
N.k
Maisha ni zaidi ya kuishi ndoani.
Kusudi la kuletwa Duniani sio ndoa pekee.
BTW Imeandikwa; ā mbinguni hakunaga kuoa wala kuolewaā
Ndoa ni mambo ya hapa Duniani tu.
Kwa ni jambo la muda mfupi la kupita tu.