Huenda David Zacharia Kafulila ndio mwanasiasa kijana toka CCM anayewasumbua zaidi Anti-Samia kwa hoja zenye data na misimamo thabiti isiyoyumba


Sawa kafulila, tafuta kazi ya kufanya. Uchawa sio mzuri.
 
Ni wapi Jamaa amesema anasaka UTEUZI?

Mwacheni mtu afanye anachokipenda nacho ni kumpigania Mama Samia Suluhu Hassan

Anakipigania cheo Wala sio Rais. Kumbuka maneno ya Rais wakati anamtumbua. Tena alitumbuliwa akiwa safarini Dodoma.
 
Mimi sio Kafulila Kaka, Ila Sipendi ujinga wa kuhamasisha watu kuiba wawapo na madaraka,

Kafulila imejishusha Sana. Kutoka mpinga ufisadi mpaka kuwa chawa wa RAIS. Pole Sana angalia ulipojikwaa. Unatetea mfumuko wa Bei na mikopo halafu unajiona upo sawa?. Endelea na uchawa.
 
Ila hoja za namba zinauhalisia zaidi ya bra bra zile

Tofautisha namba za makarasi na namba za uhalisia. Kuna data zingine za kupika. Juzi tu hapo bungeni kumetokea mabishano Kati ya Waziri wa Fedha na Spika wa Bunge kuhusu data. Kuna mbunge alipinga kuonesha data zinavyosema ni tofauti na jimboni kwake kulivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…