Huenda David Zacharia Kafulila ndio mwanasiasa kijana toka CCM anayewasumbua zaidi Anti-Samia kwa hoja zenye data na misimamo thabiti isiyoyumba

Huenda David Zacharia Kafulila ndio mwanasiasa kijana toka CCM anayewasumbua zaidi Anti-Samia kwa hoja zenye data na misimamo thabiti isiyoyumba

Kwahio badala ya kutetea nchi ameshuka daraja na kuwa mteta mtu ?

Angebadilisha Profession na kuwa Mwanasheria (Personal Lawyer)
Unafahamu maana ya Uzalendo?

Uzalendo ni kusimama na Taifa na Rais pale anapofanya Vizuri,
 
Unafahamu maana ya Uzalendo?

Uzalendo ni kusimama na Taifa na Rais pale anapofanya Vizuri,
Aombe kuwa Personal Lawyer, hio ndio kazi ya kutetea na kuonyesha mazuri..., Mzalendo wa Taifa ni ku-criticize mabaya na kuonyesha makosa ili yaweze kurekebishwa; Sifa atapewa na mume wake, ndugu na jamaa zake...
 
Hoja ni kwamba jikite kwenye kilimo.
Utaimba mapambio yote hadi sauti ikauke ila nafasi ya uteuzi hupati.
Ni wapi Jamaa amesema anasaka UTEUZI?

Mwacheni mtu afanye anachokipenda nacho ni kumpigania Mama Samia Suluhu Hassan
 
Aombe kuwa Personal Lawyer, hio ndio kazi ya kutetea na kuonyesha mazuri..., Mzalendo wa Taifa ni ku-criticize mabaya na kuonyesha makosa ili yaweze kurekebishwa; Sifa atapewa na mume wake, ndugu na jamaa zake...
Hebu Tuletee hiyo tafsiri Mjomba ya Uzalendo
 
Mimi sio Kafulila Kaka, Ila Sipendi ujinga wa kuhamasisha watu kuiba wawapo na madaraka,
 
Wasalaam JF,

Hoja thabiti za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila zimeendelea kugonga Vichwa vya wale wote wanaotamani kusikia na kuona Rais Samia Suluhu Hassan kashindwa kuliongoza Taifa hili na Sasa utafutwe mbadala,

Tofauti kabisa na wanasiasa wengi hapa nchini David Zacharia Kafulila mara zote amekuwa akijenga " HOJA ZAKE KWA EVIDENCE NA DATA " jambo ambalo limekuwa likiwaumiza zaidi Wapinzani wa Chama Cha Mapinduzi na wale AntSamia wote kwani mara zote hushindwa kuzijibu na kuishia kutukana na kukejeli,

Wapo wanaosema David Kafulila alishindwa kuiba na kuwekeza kama wenzake alipokuwa madarakani ndio sababu ya yeye Leo amegeuka " Chawa wa Mama "

Record zinaonesha Mhe David Zacharia Kafulila ndio kijana anayeichukia zaidi Rushwa hapa Tanzania na huenda ndio sababu ya yeye kuendelea kuwa mtu wa Maisha ya kawaida kabisa tofauti na vijana wengi wa Kitanzania kwani wengi wao mara tu wanapoteuliwa hukimbilia kuiba Mali za UMMA na kuonekana kuwa wao ni MASHUJAA kwani huonekana wakiogelea kwenye Ukwasi ndani ya muda mfupi baada tu ya " UTEUZI "

Lakini pia, Huenda hili linachagizwa zaidi na vita ya Urais ndani ya CCM inayoonekana kukolea kila uchapo huku Upande pia wa Upinzani wakiendelea kumtupia madogo Rais Samia ili aonekane hawezi kuongoza Ila wao ili ifikapo 2025 waweze kuchukua dola na wangetamani wasiwepo watu aina ya Kafulila wanaofuta hoja zao kwa data na ushahidi anuai,

Tunaomfuatilia huyu kijana vizuri na wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na Mimi kuwa Mhe David Zacharia Kafulila tangu akiwa mbunge wa Kigoma Kaskazini baadae RAS Songwe na Juzi RC Simiyu wakati wote huu Kafulila amekuwa ni mtu wa kuiunga mkono Serikali kwa kuandika na kurekodi makala mbalimbali tofauti na mawazo ya wengi kuwa ni baada ya kufurushwa kwenye U-RC ndio ameanza kuandika haya,

Tafiti zisizo rasmi ila zinazoaminika zinaonesha kuwa Mhe David Zacharia Kafulila alimsemea zaidi Rais Samia Suluhu Hassan akiwa RC Simiyu Pengine kuliko RC yeyote hapa Tanzania kwa wakati ule na hii iwatafakarishe wale wote wanaosema anachokifanya Leo Kafulila ni kusaka UTEUZI,

Sisi kama vijana, Tunamengi ya kujifunza toka kwa Mhe David Zacharia Kafulila hasa la Kiongozi kuwa Mwadilifu na mwaminifu hasa kwa kuchukia zaidi Rushwa na Wala Rushwa hata kama kesho tutasalia masikini Ila historia itaishi na ipo siku itatoa hukumu dhidi yetu,

#TUACHE KUHIMIZA VIJANA WAIBE WAKIWA NA VYEO ILI KESHO WASICHEKWE NA KUKEJERIWA,

====
Post in thread 'Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru' Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru




====
ONA HIZI KEJELI KWA WAZALENDO
[emoji1541][emoji1541]

Thread 'Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime' Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime


Thread 'Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!' Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!
UNAJUA KILICHOMTOA UKUU WA MKOA?
 
Wasalaam JF,

Hoja thabiti za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila zimeendelea kugonga Vichwa vya wale wote wanaotamani kusikia na kuona Rais Samia Suluhu Hassan kashindwa kuliongoza Taifa hili na Sasa utafutwe mbadala,

Tofauti kabisa na wanasiasa wengi hapa nchini David Zacharia Kafulila mara zote amekuwa akijenga " HOJA ZAKE KWA EVIDENCE NA DATA " jambo ambalo limekuwa likiwaumiza zaidi Wapinzani wa Chama Cha Mapinduzi na wale AntSamia wote kwani mara zote hushindwa kuzijibu na kuishia kutukana na kukejeli,

Wapo wanaosema David Kafulila alishindwa kuiba na kuwekeza kama wenzake alipokuwa madarakani ndio sababu ya yeye Leo amegeuka " Chawa wa Mama "

Record zinaonesha Mhe David Zacharia Kafulila ndio kijana anayeichukia zaidi Rushwa hapa Tanzania na huenda ndio sababu ya yeye kuendelea kuwa mtu wa Maisha ya kawaida kabisa tofauti na vijana wengi wa Kitanzania kwani wengi wao mara tu wanapoteuliwa hukimbilia kuiba Mali za UMMA na kuonekana kuwa wao ni MASHUJAA kwani huonekana wakiogelea kwenye Ukwasi ndani ya muda mfupi baada tu ya " UTEUZI "

Lakini pia, Huenda hili linachagizwa zaidi na vita ya Urais ndani ya CCM inayoonekana kukolea kila uchapo huku Upande pia wa Upinzani wakiendelea kumtupia madogo Rais Samia ili aonekane hawezi kuongoza Ila wao ili ifikapo 2025 waweze kuchukua dola na wangetamani wasiwepo watu aina ya Kafulila wanaofuta hoja zao kwa data na ushahidi anuai,

Tunaomfuatilia huyu kijana vizuri na wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na Mimi kuwa Mhe David Zacharia Kafulila tangu akiwa mbunge wa Kigoma Kaskazini baadae RAS Songwe na Juzi RC Simiyu wakati wote huu Kafulila amekuwa ni mtu wa kuiunga mkono Serikali kwa kuandika na kurekodi makala mbalimbali tofauti na mawazo ya wengi kuwa ni baada ya kufurushwa kwenye U-RC ndio ameanza kuandika haya,

Tafiti zisizo rasmi ila zinazoaminika zinaonesha kuwa Mhe David Zacharia Kafulila alimsemea zaidi Rais Samia Suluhu Hassan akiwa RC Simiyu Pengine kuliko RC yeyote hapa Tanzania kwa wakati ule na hii iwatafakarishe wale wote wanaosema anachokifanya Leo Kafulila ni kusaka UTEUZI,

Sisi kama vijana, Tunamengi ya kujifunza toka kwa Mhe David Zacharia Kafulila hasa la Kiongozi kuwa Mwadilifu na mwaminifu hasa kwa kuchukia zaidi Rushwa na Wala Rushwa hata kama kesho tutasalia masikini Ila historia itaishi na ipo siku itatoa hukumu dhidi yetu,

#TUACHE KUHIMIZA VIJANA WAIBE WAKIWA NA VYEO ILI KESHO WASICHEKWE NA KUKEJERIWA,

====
Post in thread 'Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru' Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru




====
ONA HIZI KEJELI KWA WAZALENDO
👇🏿👇🏿

Thread 'Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime' Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime


Thread 'Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!' Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Data bila kuona mambo haina maana wala msaada wowote

Data zinasema Dar kuna maji Lita milion 7


Haya uliza watu wa dar kama wanapata maji, now wananunua dumu la Lita 20 Kwa elf 5

Achana na Makaratasi njoo site onesha hiki na hiki
 
Data bila kuona mambo haina maana wala msaada wowote

Data zinasema Dar kuna maji Lita milion 7


Haya uliza watu wa dar kama wanapata maji, now wananunua dumu la Lita 20 Kwa elf 5

Achana na Makaratasi njoo site onesha hiki na hiki
Ila hoja za namba zinauhalisia zaidi ya bra bra zile
 
Back
Top Bottom