Huenda Gachagua akajiuzulu wakati wowote, maana imethibitika hakuna uwezekano wa muujiza kumnusuru kuondolewa nafasi ya unaibu rais

Huenda Gachagua akajiuzulu wakati wowote, maana imethibitika hakuna uwezekano wa muujiza kumnusuru kuondolewa nafasi ya unaibu rais

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Huenda haitazidi ijumaa ya kesho..

Akisubiri kubanduliwa na bunge bila kujiuzulu, basi atakua amejiondolea mwenyewe sifa na vigezo vya kikatiba kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa wala, kushikilia nafasi yoyote ya utumishi wa umma nchini Kenya. Kwa lugha nyingine, atakua amajifungia maisha yake yote kutokujihusisha na siasa, lakini pia utumishi wa umma. Hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Kenya.

Hata hivyo,
Kutokana na uzito wa tuhuma zilizoibua sekeseke la musuada wa kubanduliwa kwake ofisini, kuna uwezekano mkubwa sana wa muungwana Rigath Gachagua, akapelekwa mahakamani moja kwa moja, iwe amejiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe au asubiri kubanduliwa na bunge. Tuhuma zinazomkabili za kisheria, kikatiba, za kimaadili, uchochezi na zile za rushwa ni nzito mno, haziwezi kumuacha salama uraiani.

Kwa mipango ilivyo mpaka sasa, mabunge yote mawili lile la kitaifa na lile bunge la seneti wako tayari kuhakisha mwamba hachomoki kwa mujibu wa sheria na katiba ya Kenya, bali anakwenda jela 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Process bado ndefu sana 😂

Kesho Public hearing

Tuesday Rig G anajieleza mbele ya Bunge kwa saa 2 na dakika 30

Kisha Mapendekezo yanapelekwa Seneti

Seneti ikiridhika inayapeleka Supreme court

Court inaweza kuamua kulisikiliza shauri hilo Ndani ya Miaka Miwili

😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ndio maana huwa nawaambia watu hatuna cha kujifunza kutoka Kenya,Bali wao ndio wana Mengi ya kujifunza kutoka Tanzania.
For sure ujuaji wao unawavuruga na kuwagawa wenyewe kwa wenyewe kwa ubinafsi wao tu..

Katiba wameipitisha wenyewe lakini wao hao hao sasahivi inatekelezwa wanalia lia, mwishowe watapigana tena 🐒
 
Huenda haitazidi ijumaa ya kesho..

Akisubiri kubanduliwa na bunge bila kujiuzulu, basi atakua amejiondolea mwenyewe sifa na vigezo vya kikatiba kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa wala, kushikilia nafasi yoyote ya utumishi wa umma nchini Kenya. Kwa lugha nyingine, atakua amajifungia maisha yake yote kutokujihusisha na siasa, lakini pia utumishi wa umma. Hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Kenya.

Hata hivyo,
Kutokana na uzito wa tuhuma zilizoibua sekeseke la musuada wa kubanduliwa kwake ofisini, kuna uwezekano mkubwa sana wa muungwana Rigath Gachagua, akapelekwa mahakamani moja kwa moja, iwe amejiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe au asubiri kubanduliwa na bunge. Tuhuma zinazomkabili za kisheria, kikatiba, za kimaadili, uchochezi na zile za rushwa ni nzito mno, haziwezi kumuacha salama uraiani.

Kwa mipango ilivyo mpaka sasa, mabunge yote mawili lile la kitaifa na lile bunge la seneti wako tayari kuhakisha mwamba hachomoki kwa mujibu wa sheria na katiba ya Kenya, bali anakwenda jela 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ruto ni Magufuri wa Kenya maana tabia zake na Magufuri ni kitu kimoja kutengeneza majungu na uongo.
 
Process bado ndefu sana 😂

Kesho Public hearing

Tuesday Rig G anajieleza mbele ya Bunge kwa saa 2 na dakika 30

Kisha Mapendekezo yanapelekwa Seneti

Seneti ikiridhika inayapeleka Supreme court

Court inaweza kuamua kulisikiliza shauri hilo Ndani ya Miaka Miwili

😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kwani alivyoenda mahakamani kuhusu hiyo public hearing aliambiwaje na pingamizi lake likawa halina mashiko likatupiliwa mbali?🐒

Kama unaikumbuka ilivyofanyika public hearing kuhusu DP world ndivyo hivyo itafanyika kuhusu rigGy. Tayari njia za kimtandao zimeshawekwa wazi ili hilo kifanyike na halina nguvu sana ispokua ni sehemu ya mchakato tu wa kisheria na kikatiba..

vinginevyo bunge la kitaifa na la seneti, nadhani wamejipanga vizuri sana kutoa somo na fundisho kwa wengine siku zijazo.

Actually,
wanaitesti katiba yao kwa vitendo 🐒
 
kwani alivyoenda mahakamani kuhusu hiyo public hearing aliambiwaje na pingamizi lake likawa halina mashiko likatupiliwa mbali?🐒

Kama unaikumbuka ilivyofanyika public hearing kuhusu DP world ndivyo hivyo itafanyika kuhusu rigGy. Tayari njia za kimtandao zimeshawekwa wazi ili hilo kifanyike na halina nguvu sana ispokua ni sehemu ya mchakato tu wa kisheria na kikatiba..

vinginevyo bunge la kitaifa na la seneti, nadhani wamejipanga vizuri sana kutoa somo na fundisho kwa wengine siku zijazo.

Actually,
wanaitesti katiba yao kwa vitendo 🐒
Utajua Hujui 😄😄😄

ADANI
 
kwani alivyoenda mahakamani kuhusu hiyo public hearing aliambiwaje na pingamizi lake likawa halina mashiko likatupiliwa mbali?🐒

Kama unaikumbuka ilivyofanyika public hearing kuhusu DP world ndivyo hivyo itafanyika kuhusu rigGy. Tayari njia za kimtandao zimeshawekwa wazi ili hilo kifanyike na halina nguvu sana ispokua ni sehemu ya mchakato tu wa kisheria na kikatiba..

vinginevyo bunge la kitaifa na la seneti, nadhani wamejipanga vizuri sana kutoa somo na fundisho kwa wengine siku zijazo.

Actually,
wanaitesti katiba yao kwa vitendo 🐒
Nchi ya kijinga hiyo.
 
For sure ujuaji wao unawavuruga na kuwagawa wenyewe kwa wenyewe kwa ubinafsi wao tu..

Katiba wameipitisha wenyewe lakini wao hao hao sasahivi inatekelezwa wanalia lia, mwishowe watapigana tena 🐒
Halafu unakuta CHADEMA wanawasifia hao.yaani CHADEMA hawajawahi kuwa sirias wala kuonyesha usirias kwa lolote lile.
 
Tungekuwa na sisi watanzania tuna bunge lenye watu smart tungemtoa huyu bibi kizee.Maana katuharibia sana Nchi.
sasa ukiwa na viongozi wenye mihemko na chuki binafsi kama wewe kwenye hilo bunge si mtakua mnachukuana misukule na kutoana kafara tu 🐒
 
Halafu unakuta CHADEMA wanawasifia hao.yaani CHADEMA hawajawahi kuwa sirias wala kuonyesha usirias kwa lolote lile.
Mzee jikite kwenye MADA iliyopo mbele yetu Sasa mfano hapa chadema inaingiaje??! 😊

Wakati mwingine UMASKINI, DHIKI, NJAA, SHIDA zinaweza kumpa mtu UPOFU WA FIKRA unajikuta unaanza kuchanganya madesa.
 
Process bado ndefu sana [emoji23]

Kesho Public hearing

Tuesday Rig G anajieleza mbele ya Bunge kwa saa 2 na dakika 30

Kisha Mapendekezo yanapelekwa Seneti

Seneti ikiridhika inayapeleka Supreme court

Court inaweza kuamua kulisikiliza shauri hilo Ndani ya Miaka Miwili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umechambua vyema , naona wengine ikwemo na mtoa mada wako kimhemko tu hawaelewi chochote.
 
Back
Top Bottom