Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Wewe ilitakiwa ujikite katika hilo unaloona mimi sijajikita.sasa wewe umeandika nini na inahusiana vipi na andiko la mleta mada?Mzee jikite kwenye MADA iliyopo mbele yetu Sasa mfano hapa chadema inaingiaje??!
Wakati mwingine UMASKINI, DHIKI, NJAA, SHIDA zinaweza kukupa UPOFU WA FIKRA unajikuta unaanza kuchanganya madesa.
Safi sana.Huenda haitazidi ijumaa ya kesho..
Akisubiri kubanduliwa na bunge bila kujiuzulu, basi atakua amejiondolea mwenyewe sifa na vigezo vya kikatiba kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa wala, kushikilia nafasi yoyote ya utumishi wa umma nchini Kenya. Kwa lugha nyingine, atakua amajifungia maisha yake yote kutokujihusisha na siasa, lakini pia utumishi wa umma. Hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Kenya.
Hata hivyo,
Kutokana na uzito wa tuhuma zilizoibua sekeseke la musuada wa kubanduliwa kwake ofisini, kuna uwezekano mkubwa sana wa muungwana Rigath Gachagua, akapelekwa mahakamani moja kwa moja, iwe amejiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe au asubiri kubanduliwa na bunge. Tuhuma zinazomkabili za kisheria, kikatiba, za kimaadili, uchochezi na zile za rushwa ni nzito mno, haziwezi kumuacha salama uraiani.
Kwa mipango ilivyo mpaka sasa, mabunge yote mawili lile la kitaifa na lile bunge la seneti wako tayari kuhakisha mwamba hachomoki kwa mujibu wa sheria na katiba ya Kenya, bali anakwenda jela π
Mungu Ibariki Tanzania
Mimi nimetoa angalizo TU kua tujikite kwenye mada iliyopo mbele yetu Sasa wewe ukawa umetoka nje ya MADA na kutaja chadema ambapo hakukua na logic Wala mantiki kuhusiana na mada hii.Wewe ilitakiwa ujikite katika hilo unaloona mimi sijajikita.sasa wewe umeandika nini na inahusiana vipi na andiko la mleta mada?
msubirie mahakama zipi tena, wakati muungwana alienda mahakamani kudai kwamba lazima publics iulizwe ikiwa inafaa abanduliwe unaibu Rais ama laa ?Tusubirie mahakama za kenya
Je, maandamano ni haramu?inavunjwa upande gani gentleman? π
Kabisa gentleman,Je, maandamano ni haramu?
Je, kutishia watu, kuteka, kutesa na kuua watu ni ruksa?
Je, kuminya uhuru wa maoni ni ruksa?
Je, wizi na ufisadi serikalini ni ruksa?
Okmsubirie mahakama zipi tena, wakati muungwana alienda mahakamani kudai kwamba lazima publics iulizwe ikiwa inafaa abanduliwe unaibu Rais ama laa ?
na akaambiwa public figures ambao ni wabunge ndio wawakilishi wa maoni ya wananchi na kwahivyo wanatosha kuwakilisha publis π
The citizen lockdown!Kabisa gentleman,
maandamno haramu ya Samia must go hayataruhusiwa kamwe ni sio haki wala uhuru wa yeyote Tanzania kwa mujibu wa katiba π
uhuru na maoni ya nani yamefinywa gentleman? Yaani hadi wanaporomosha matusi mazito mazito humu jukwaani unasema uhuru umeminywa?
acheni kushiriki mambo ya kiganga, ushirikina, ramli chonganishi, kutoana kafara na kuchukuana misukule halafu mnasingizia sijui nini huko...
mengineyo ni story na porojo tu za kupoteza muda π
hizo ni mistakes za kawaida tu ambazo ni sawa na alizofanya Rigathi Gachagua kubanduliwa unaibu Rais..The citizen lockdown!
Ney wa Mitego na wenye maoni sawa na yake hawatakiwi!
Hivi hamjui kwamba kama viongozi nyie mna haki ya kuongoza LAKINI wananchi wana wajibu wa kuwakosoa??
unamzungumzia kalonzo au Gachagua?Mtu alikuwa Makamu wa Rais muhula wao unaisha anaruhusiwa tena kugombea cheo kile kile ambacho alikitumikia kwa muda wa miaka kumi.
Jambo liko wazi na bayana kabisa una hemkaje kwa mfano gentleman?πMkuu umechambua vyema , naona wengine ikwemo na mtoa mada wako kimhemko tu hawaelewi chochote.
Wabunge wa chama tawala mapuppet wa Ruto wanashinikiza Gachagua aondolewe kwenye nafasi ya Umakamu Rais ili waweze kutekeleza Sukuma gang yao nchini KENYAHivi alifanyaje huyu Mwamba !?
Acha Masihara Mzehh!Wabunge wa chama tawala mapuppet wa Ruto wanashinikiza Gachagua aondolewe kwenye nafasi ya Umakamu Rais ili waweze kutekeleza Sukuma gang yao nchini KENYA
Ndiyo hivyo mkuuAcha Masihara Mzehh!