Huenda Gachagua akajiuzulu wakati wowote, maana imethibitika hakuna uwezekano wa muujiza kumnusuru kuondolewa nafasi ya unaibu rais

Ndio maana huwa nawaambia watu hatuna cha kujifunza kutoka Kenya,Bali wao ndio wana Mengi ya kujifunza kutoka Tanzania.
Pesa inatembea hapo Bungeni na seneti. Gachagua aendelee kuibba kupitia cheo chake kufidia pesa aliyohonga maseneta na wabunge.
 
Alikuwa anaomba msamaha wa nini? Weak creature..

Na asipojiuzulu Kwa sheria zao ni kwamba atafukuzwa na hatoruhusiwa tena kushiriki kwenye siasa.

Na akijiuzulu Sasa ataona moto wa kunyanyaswa Hadi akili imkae sawa.

Yaani ukigeuka nchale ukikaa nchale.
 
Gachagua hawezi toka kwa mashinikizo ya vibaraka wa Ruto.
 
kukwepa hilo la kutoruhusiwa kushiriki kwenye utumishi wa umma na siasa, anaweza kujiuzulu kabla ya kura ya kumbandua kesho..

Na kukwepa huo moto na usumbufu, kuna uwezekano akakimbilia uhamishoni..

Na kwasababu mashtaka yake ni mazito mno, kivyovyote atakabiliwa na kesi nzito mno ambazo hazita muacha uaraiani bali jela...

msamaha wa kuanza na, If ni unafiki ambao Ruto hawezi kuukubali hata kidogo
 
Gachagua hawezi toka kwa mashinikizo ya vibaraka wa Ruto.
atatoka tu kwa mujibu wa katiba mbovu ya kenya ya 2010, alayoapa kuilinda na vile vile aliyoikiua na kuinajisi...

hana wa kumlaumu, anafaa kujilaumu mwenywe ndio maana hata wabunge wengi wa Mount Kenya wanamuuliza, tuhuma zote9 zinazomkabili zina manufaa, uhusiano au umuhimu gani kwa watu wa mount Kenya? Mbona ni mambo yake binafsi tu πŸ’
 
Aanze kwanza Ruto aliyekuwa anainajisi katiba yao pindi akiwa Makamu wa Rais.
 
Aanze kwanza Ruto aliyekuwa anainajisi katiba yao pindi akiwa Makamu wa Rais.
anaanzaje sasa?

ajitokeze mtu sasa mwenye hoja na ushahidi makini wa kulianziasha..

Uhuru Kenyata alitamani kulianzisha, lakina hakua na numbers za kumuhakikishia hilo kutokea kwa uhakika kwenye bunge la kitaifa na lile la seneti, kwasabab, ilisemekana na kuonekana wazi kwamba, Ruto alikua na ushawishi mkubwa zaidi kwenye mabunge yote mawili, na kwahivyo, mpango wowote ule wa kumbandua Ruto, haungefaulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…