Huenda huyu mtangazaji wa E. FM Maulid Kitenge kapata shavu sehemu nyingine

Huenda huyu mtangazaji wa E. FM Maulid Kitenge kapata shavu sehemu nyingine

Japo nilikupinga,ila nimeonafununu hii mkuu
Screenshot_20191016-232217.png
 
Huwez linganisha AzamTV na Wasafi ni ardhi na mbingu.
Haya mambo magumu huyajui tulia uone mchezo. Watu wameanza kutoka Azam kwenda Wasafi Media unadhani wanaenda kuvaa vikuku kule au ni dau limekuwa kubwa zaidi.

Usipate wenge kwa sababu iko chini ya Bhakresa ila watu wanaenda kwa sababu ya masilahi yao.
 
Back
Top Bottom