Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameenda sasa Wasafi mediaaende wasafi media kwani ana kichaa??
Usishangae handle nae huyooAshasepa aisee...View attachment 1236294
Kitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.
Unaijua Wasafi au unaisikia kwenye mitandao?
Mikataba ya siku hizi imekuwa na mbwembwe kibao, ukikaa sehemu watu wanakupa tu mshahara hawana mbwembwe nyingine na siku upate kuna mtu anakupa mke, kiwanja+ gari lazima usaliti kundi na kwenda sehemu nono.
Wasafi inaweza kuleta ushindani wa masilahi kwenye media.
naomba email adress ya Musiba nimtie tiketi ya Burigi kwa niaba yako.
Hera -HelaNa umlipe kweli sio unabwabwaja tu hakuna kinachonshindikana chini ya jua hera ikiwekwa mezani
ametoka ligi kuu ameenda kucheza ndondo.Hahahaaaa! Mzee najua umeghafilika sana! For sure, nilidhani jamaa anaelekea international! Wasafi fm?
Mzee baba umejishushia heshima ulionayo humu jamiiforum na nimekudharau Sanaaende wasafi media kwani ana kichaa??
Leo katika kipindi chao cha tunanyambua na kunyumbulisha nimesikia watangazaji wenzake akina Gerald Hando na Musa Kipanya
Wakisema kuwa jana yake usiku walipewa taarifa kuwa katika kipindi cha asubuhi magazeti kinachotangazwa na huyu mtangazaji mashughuri mwenye shughuli yake kwa mbwembwe za kuvutiwa wasikilizaji bwana Maulid Kitenge kuwa hatokuwepo na mbadala wake atasoma magazeti mtangazaji mpya ambae ni Elizabeth Michael maarufu kwa jina la LULU kuwa yeye ndie amesoma siku ya leo.
Huenda huyu ndugu yetu bwana Kitenge kapata shavu sehemu au kahamishwa kitengo?
Mwenye kujua zaidi atuletee mrejesho.
Nimewasilisha.
Acha chuki mzee baba baba ingekuwa ndondo Kama unavyosema asingelipwa hela nzuri kuliko huko efmametoka ligi kuu ameenda kucheza ndondo.
sio chuki nasema ukweli tu.Acha chuki mzee baba baba ingekuwa ndondo Kama unavyosema asingelipwa hela nzuri kuliko huko efm