Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Nimeshajua mwenye kichaa ni naniaende wasafi media kwani ana kichaa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshajua mwenye kichaa ni naniaende wasafi media kwani ana kichaa??
haya.Nimeshajua mwenye kichaa ni nani
Ulighafilika mkuu... Uache uchawihaya.
aende wasafi media kwani ana kichaa??
umepanic ehh??Ulighafilika mkuu... Uache uchawi
Acha uchawi mzee wewe kubali tu nimeteleza kuliko kujifanya mbishi ndo maana watu humu wanakushambulia.sio chuki nasema ukweli tu.
narudia tena, kitenge kwenda wasafi ni sawa na mchezaji wa ligi kuu kwenda kucheza ndondo cup.Acha uchawi mzee wewe kubali tu nimeteleza kuliko kujifanya mbishi ndo maana watu humu wanakushambulia.
[emoji23] kivipi mkuu?, huoni aibu? We m-bishi sanaumepanic ehh??
We utakuwa umekurupuka usingizini,ungesoma kwanza Uzi toka mwanzo upate mwendelezo wake,siyo unakurupuka kama umefumaniwa unaoga njeChuki mbaya sana mbona zimechapwa sasa na Kitenge kahamia Wasafi FM meza wembe sasa
Salama Salama mkuuaende wasafi media kwani ana kichaa??
Vipi mkuu air Tanzania inampeleka lini ndugu santinoKitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.
Wakati anatoka IPP anaenda E-fm mlisema hivi hiviHuwez linganisha AzamTV na Wasafi ni ardhi na mbingu.
amekataa tiketi ya kwenda Burigi amesema nimpe MusibaVipi mkuu air Tanzania inampeleka lini ndugu santino
kuhusu maulid kitenge kuachana na Efm na kujiunga wasafi nilishaandika hapa tangu tarehe 20 mwezi wa 9.
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/32892277
Utakuwa mbumbumbu fulani hivi mtaani kwakoHujielewi
Maulid anaenda kati ya sehemu hizi mbili.
Wasafi Media.
Azam Media.
Ni suala la muda ila namuona zaidi Wasafi Media