GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mama kapigiwa sana Simu (siyo za Vitisho) na Watu anaowaheshimu na wenye Nyadhifa zao na wale waliowahi kuwa nazo nchini (wenye Mapenzi mema) na Yanga SC ili amsihi Mwanae abadili Maamuzi na hatimaye Nguvu ya Mama kwa Mtoto imefanya Kazi.
Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga SC na atawaomba Radhi pia Wanachama kisha ataelekea Kambini Avic Town kuwaomba Radhi Wachezaji wenzake rasmi kurejea Kikosini.
Matajiri wa Yanga SC wamekubali Kumpa Feitoto Mshahara wa Tsh Milioni 15 na tayari wameshamnunulia Gari (japo siyo Range kama ambavyo Azam walimnunulia) na kaambiwa aseme anataka Nyumba wapi ili GSM wamalize Shughuli mapema.
Mama wa Kihistoria Kisiwani Zanzibar kwa Heshima aliyonayo Zanzibar na kwa wana Yanga SC nchini kamaliza rasmi huu Utata wote na sasa kuna 95% za Feitoto kurejea Yanga SC na Kuendelea kufumua Mashuti yake ya Kutukuka ambalo moja wapo hata Kipa wangu Aishi Manula alipishana nalo likiwa la Moto na lenye Kasi ya Kombora Vita.
Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga SC na atawaomba Radhi pia Wanachama kisha ataelekea Kambini Avic Town kuwaomba Radhi Wachezaji wenzake rasmi kurejea Kikosini.
Matajiri wa Yanga SC wamekubali Kumpa Feitoto Mshahara wa Tsh Milioni 15 na tayari wameshamnunulia Gari (japo siyo Range kama ambavyo Azam walimnunulia) na kaambiwa aseme anataka Nyumba wapi ili GSM wamalize Shughuli mapema.
Mama wa Kihistoria Kisiwani Zanzibar kwa Heshima aliyonayo Zanzibar na kwa wana Yanga SC nchini kamaliza rasmi huu Utata wote na sasa kuna 95% za Feitoto kurejea Yanga SC na Kuendelea kufumua Mashuti yake ya Kutukuka ambalo moja wapo hata Kipa wangu Aishi Manula alipishana nalo likiwa la Moto na lenye Kasi ya Kombora Vita.