kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Aende tu wanampiga zongo ki aziz ili mpemba avume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3166]Damu nzito kukiko gamso
Thumb up brother! Navutiwa sana na aina yako ya uandishi. Nadhani waweza kuwa mchambuzi bora wa soka la bongo.Mama kapigiwa sana Simu (siyo za Vitisho) na Watu anaowaheshimu na wenye Nyadhifa zao na wale waliowahi kuwa nazo nchini (wenye Mapenzi mema) na Yanga SC ili amsihi Mwanae abadili Maamuzi na hatimaye Nguvu ya Mama kwa Mtoto imefanya Kazi.
Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga SC na atawaomba Radhi pia Wanachama kisha ataelekea Kambini Avic Town kuwaomba Radhi Wachezaji wenzake rasmi kurejea Kikosini.
Matajiri wa Yanga SC wamekubali Kumpa Feitoto Mshahara wa Tsh Milioni 15 na tayari wameshamnunulia Gari (japo siyo Range kama ambavyo Azam walimnunulia) na kaambiwa aseme anataka Nyumba wapi ili GSM wamalize Shughuli mapema.
Mama wa Kihistoria Kisiwani Zanzibar kwa Heshima aliyonayo Zanzibar na kwa wana Yanga SC nchini kamaliza rasmi huu Utata wote na sasa kuna 95% za Feitoto kurejea Yanga SC na Kuendelea kufumua Mashuti yake ya Kutukuka ambalo moja wapo hata Kipa wangu Aishi Manula alipishana nalo likiwa la Moto na lenye Kasi ya Kombora Vita.
Ni swala lisilo wezekana.Mzee Bharessa anapiga simu moja kwa Mwinyi Zanzibar, Mwinyi anapiga kwa sister dom, then tamko moja tu toka ikulu linatua jangwani kwamba wacheni kumsumbua dogo ameshapata timu nyengine
A fan base uliopo kati ya Yanga na Makolokolo si wa kitoto hadi asiwatake radhi Mashabiki.Yaani aombe radhi kwa kudai maslahi yake?
Basi anaenda Azam FC, haya ridhika sasa wewe Kolowizard [emoji1787]utaratibu upi umevunjwa, kwamba FEI hana haki ya kuvunja mkataba mpaka klabu iridhike, akili ndogo inaweza kuwa hivyo
Hizi simu zote hazina maana simu 1 kutoka msoga ndo kila kitu.Mzee Bharessa anapiga simu moja kwa Mwinyi Zanzibar, Mwinyi anapiga kwa sister Dom, then tamko moja tu toka ikulu linatua jangwani kwamba wacheni kumsumbua dogo ameshapata timu nyengine
Fei katingisha kiberiti sababu ya kiwango chakeWachezaji wengine Nao waanze kud.. watingishe kiberiti.
Hii ndiyo bongoYaani aombe radhi kwa kudai maslahi yake?
Siyo mambo ya siasa mkuu, ni jambo la kisheria tu, Azam siyo wajinga kutomtangaza toka last week, wameona grounds za kisheria zipo against wao na mchezaji. Mchezaji kuondoka kwa kununua mkataba ni very complicated ,ingekuwa rahisi kihivyo wachezaji wangekuwa wananunua mikataba yao kila siku. Nashangaa watu wanasema mkataba wa Feisal unamruhusu kulipa Sh. 112 milioni na kuondoka, ni mkataba upi huo, kile kipage kimoja kinachosambaa mtandaoni ndiyo mkataba? Wakubwa walicho mwambia Feisal na mama yake ni kutulia ili kijana asije akapata matatizo ya kufungiwa na FIFA wakati yeye ndiyo sura nzuri ya soka la Zanzibar.Nchi hii kwenye muziki na mpira hakuna mwenye jeuri ya kuwavimbia wanasiasa wa chama tawala.
Mpka sasa swala la feisal kwenda azam haliwezekani labda wakati ujao.
Merry Christmas GentaMama kapigiwa sana Simu (siyo za Vitisho) na Watu anaowaheshimu na wenye Nyadhifa zao na wale waliowahi kuwa nazo nchini (wenye Mapenzi mema) na Yanga SC ili amsihi Mwanae abadili Maamuzi na hatimaye Nguvu ya Mama kwa Mtoto imefanya Kazi.
Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga SC na atawaomba Radhi pia Wanachama kisha ataelekea Kambini Avic Town kuwaomba Radhi Wachezaji wenzake rasmi kurejea Kikosini.
Matajiri wa Yanga SC wamekubali Kumpa Feitoto Mshahara wa Tsh Milioni 15 na tayari wameshamnunulia Gari (japo siyo Range kama ambavyo Azam walimnunulia) na kaambiwa aseme anataka Nyumba wapi ili GSM wamalize Shughuli mapema.
Mama wa Kihistoria Kisiwani Zanzibar kwa Heshima aliyonayo Zanzibar na kwa wana Yanga SC nchini kamaliza rasmi huu Utata wote na sasa kuna 95% za Feitoto kurejea Yanga SC na Kuendelea kufumua Mashuti yake ya Kutukuka ambalo moja wapo hata Kipa wangu Aishi Manula alipishana nalo likiwa la Moto na lenye Kasi ya Kombora Vita.
Nawe pia Kiongozi.Merry Christmas Genta
kumbe kuna wakati ana comment ki kike, basi sawa!!!kumbe kuna wakati huwa unakoment kiume