Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

Kusoma hamjui, lakini hata picha pia....!!

Hamjiulizi kama Yanga walikuwa na nguvu kisheria, kwanini wakalazimisha kukutana na Fei ili wamtongoze?!

Nyie ni kubisha tuuu...!!
We ni bwege??? Nani kasema Yanga imeomba kukutana na Feitoto? Official statement ya Yanga umeisoma inasemaje kuhusu hii saga? Hebu nitajie kiongozi yupi wa Yanga ameomba kukutana na Feitoto
 
Pumba tupu, hizo forgery kama zilifanywa na TFF mlivyokwenda kushtaki CAS mlishinda?!

Mna vichwa empty sana.
Punguani wewe.. CAS wanapitia kile kile ambacho tayari kilishapitiwa na vyombo vingine vya maamuzi na hampeleki documents mpya, TFF tayari walikuwa wameshachezea mkataba in favour Kwa Simba.Yanga walikua kwenye losing side

Ila hayo ni mambo ya past wakati Yanga ikitembeza bakuli.. Kwa sasa jeuri yenu kwisha tunawatesa ndani na nje ya uwanja...
Mtatufanya nini kwa sasa bakieni kulialia mbwa nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee Bharessa anapiga simu moja kwa Mwinyi Zanzibar, Mwinyi anapiga kwa sister Dom, then tamko moja tu toka ikulu linatua jangwani kwamba wacheni kumsumbua dogo ameshapata timu nyengine
Bado Mwinyi na Sister watarudi kwa Master Jk na kumpigia simu anasemaje ,,Jk bila hiyana Avic town anahitajika
 
Mkataba huu mpya utakuwa unaisha lini?
Signing fee kachukua sh ngapi?

Kwa kiwango ambacho anacheza fei toto sa hivi alistahili kulipwa 20m kama mshahara kwa mwezi, signing fee 400m. Na hapo angetakiwa kuongeza miaka miwili tuu kwenye mkataba ambao unaisha hiyo may 30 2024.

Na bado gari zero km na nyumba juu(japo ni vizuri zaidi gharama za nyumba na gari zingekuwa zinajumuishwa kwenye signing fee au mshahara) mchezaji apewe pesa yake ye mwenyewe ajinunulie gar anayotaka na kutafuta nyumba anayotaka.
Signing fees wakati ana mkataba mpaka 2024?
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Umeandika kisheria
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Umeandika kisheria Feisal yupo sahihi, tuwekee hiyo sheria ila tu usiweke ile mistari minne inayodaiwa ipo kwenye mkataba wa Feisal maana ni kishekesho kuweka ile mistari kama utetezi. Mkuu ITR suala Morisson tuliposikia tu yule mwanasheria wa Yanga anasema walikata maandishi ya awali kwa peni na kusaini juu tulijua ni uhuni wa viongozi wa Yanga, hili ni tofauti kabisa. Mikataba ingekuwa inavunjwa hovyo hovyo hivyo bila upande wa pili kuridhia kusingekuwa na umuhimu wa kusaini mkataba na kungekuwa vurugu kubwa kwenye uhamisho wa wachezaji. Hivi wewe hujiulizi kwa nini Azam wanakana kuhusishwa huku Feisal akiwa ameingiza fedha acount ya Yanga toka tarehe 23? Feisal ameshaaga Yanga lakini Azam hawajathubutu siyo tu kumtangaza hata kukiri kumtaka tu.
 
Kama wanasiasa wanafanya maamuzi kwenye mambo haya basi hatufiki popote kwenye lolote.
 
Mkuu unabwabwaja tu. Huna unachokijua kwa sababu kiutarabu amekosea na imeshaelezwa. Hebu acheni kukaza fuvu mnajiabisha tu
Mkuu sibwabwaji bali ninacho ongea ndo ukweli mwenyewe sema ww unalijadili hili jambo kishabiki zaidi.
Nirudie tena Fei amerudi yanga kwa shinikizo la watu fulani wenye nguvu ndani ya nchi hii na sio kisheria.

Sema mmekutana na Azam wanyonge ingekuwa simba fei toto alikuwa anaondoka na msinge fanya kitu.
 
Vita ya Fei ilikuwa ni maslahi wala hakuwa na chuki na klabu yake ya Yanga sasa kama ni kweli Yanga wamemboreshea maslahi kwa kiasi hicho yaani mara 4 ya mshahara wa sasa sidhani kama kuna hata haja ya Yanga kutumia hao wastaafu na waheshimiwa wengne maana nafaham Fei mwenyewe atakuwa wa kwanza kwenda kumwaga wino akiwa na furaha sana ukizingatia mchezaji anaipenda timu yake
Kwa vita hii Fei ni mshindi arudi sasa uwanjani kuendelea kutupa kile kilicho bora
 
Mkuu sibwabwaji bali ninacho ongea ndo ukweli mwenyewe sema ww unalijadili hili jambo kishabiki zaidi.
Nirudie tena Fei amerudi yanga kwa shinikizo la watu fulani wenye nguvu ndani ya nchi hii na sio kisheria.

Sema mmekutana na Azam wanyonge ingekuwa simba fei toto alikuwa anaondoka na msinge fanya kitu.
Kwaiyo hayo yote aliyoyafanya ya kutaka kuondoka yeye hakujua kama kutakuwa na ilo shinikizo la watu fulani la kumlazimisha asiondoke? na yeye alitaka kuondoka kwa sababu ya maslahi na kwaiyo sasa ivi yeye atabaki kwa sababu ya shinikizo na sio tena maslahi?
 
Umeandika kisheria

Umeandika kisheria Feisal yupo sahihi, tuwekee hiyo sheria ila tu usiweke ile mistari minne inayodaiwa ipo kwenye mkataba wa Feisal maana ni kishekesho kuweka ile mistari kama utetezi. Mkuu ITR suala Morisson tuliposikia tu yule mwanasheria wa Yanga anasema walikata maandishi ya awali kwa peni na kusaini juu tulijua ni uhuni wa viongozi wa Yanga, hili ni tofauti kabisa. Mikataba ingekuwa inavunjwa hovyo hovyo hivyo bila upande wa pili kuridhia kusingekuwa na umuhimu wa kusaini mkataba na kungekuwa vurugu kubwa kwenye uhamisho wa wachezaji. Hivi wewe hujiulizi kwa nini Azam wanakana kuhusishwa huku Feisal akiwa ameingiza fedha acount ya Yanga toka tarehe 23? Feisal ameshaaga Yanga lakini Azam hawajathubutu siyo tu kumtangaza hata kukiri kumtaka tu.
Mkuu unaoneka uwelewa wako kuhusu mambo ya kisheria ni mdogo sana.

Hakuwezi kuwa na vurugu kwa sababu mikataba huwa haifanani ,ww usidhani vipengere vya mkataba wa chama ni sawa na vipengere vilivyoko kwenye mkaba shabalala au Inonga,kila mkataba una vipengere vyake kutokana na muajiliwa na muajiri walivyo kubaliana.

Mkubali mkatae yanga upande wenu wa sheria mmejaza vilaza mnatakiwa kupanyia marekebisho.
 
Kwaiyo hayo yote aliyoyafanya ya kutaka kuondoka yeye hakujua kama kutakuwa na ilo shinikizo la watu fulani la kumlazimisha asiondoke? na yeye alitaka kuondoka kwa sababu ya maslahi na kwaiyo sasa ivi yeye atabaki kwa sababu ya shinikizo na sio tena maslahi?
Vyote vimefanya kazi ,kuboreshewa maslahi na shinikizo pia maana wasinge mboreshea maslahi yake shinikizo lao lisinge kuwa na nguvu.
 
Vita ya Fei ilikuwa ni maslahi wala hakuwa na chuki na klabu yake ya Yanga sasa kama ni kweli Yanga wamemboreshea maslahi kwa kiasi hicho yaani mara 4 ya mshahara wa sasa sidhani kama kuna hata haja ya Yanga kutumia hao wastaafu na waheshimiwa wengne maana nafaham Fei mwenyewe atakuwa wa kwanza kwenda kumwaga wino akiwa na furaha sana ukizingatia mchezaji anaipenda timu yake
Kwa vita hii Fei ni mshindi arudi sasa uwanjani kuendelea kutupa kile kilicho bora
Na ndio maana wachezaji wengi wa kitanzania hawatoki kwenda kucheza soka la kupwa kwenye nchi ziliendelea kwa sabab mambo yao wanayaendesha kisela sana ila wao wamebaki na nongwa tu kuwaona Wachezaji wa kigeni wanapata pesa nyingi kuliko wao bila kujali wenzao wapita zipi kupata izo pesa
 
Vyote vimefanya kazi ,kuboreshewa maslahi na shinikizo pia maana wasinge mboreshea maslahi yake shinikizo lao lisinge kuwa na nguvu.
Hakuna shinikizo lolote ila itakuwa wamepata muafaka wa hayo maslahi aliyoyataka tu
 
Simba wataumizwa sana na andiko hili

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Simba hawawezi kuumizwa ja hili labda wale vichwa maji wa Yanga waliohamasishana upuuzi kuimba kuwa hatumtaki Fei kisa mchezaji kupambania maslahi haya ona sasa uongozi umeamua kuboresha maslahi yake na anarudi tena kuitumikia klabu wao wabaki na ushabiki wao maandazi
 
Mzee Bharessa anapiga simu moja kwa Mwinyi Zanzibar, Mwinyi anapiga kwa sister Dom, then tamko moja tu toka ikulu linatua jangwani kwamba wacheni kumsumbua dogo ameshapata timu nyengine
Daaah aisee hii connection imeniuma sn
 
Mama kapigiwa sana Simu (siyo za Vitisho) na Watu anaowaheshimu na wenye Nyadhifa zao na wale waliowahi kuwa nazo nchini (wenye Mapenzi mema) na Yanga SC ili amsihi Mwanae abadili Maamuzi na hatimaye Nguvu ya Mama kwa Mtoto imefanya Kazi.

Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga SC na atawaomba Radhi pia Wanachama kisha ataelekea Kambini Avic Town kuwaomba Radhi Wachezaji wenzake rasmi kurejea Kikosini.

Matajiri wa Yanga SC wamekubali Kumpa Feitoto Mshahara wa Tsh Milioni 15 na tayari wameshamnunulia Gari (japo siyo Range kama ambavyo Azam walimnunulia) na kaambiwa aseme anataka Nyumba wapi ili GSM wamalize Shughuli mapema.

Mama wa Kihistoria Kisiwani Zanzibar kwa Heshima aliyonayo Zanzibar na kwa wana Yanga SC nchini kamaliza rasmi huu Utata wote na sasa kuna 95% za Feitoto kurejea Yanga SC na Kuendelea kufumua Mashuti yake ya Kutukuka ambalo moja wapo hata Kipa wangu Aishi Manula alipishana nalo likiwa la Moto na lenye Kasi ya Kombora Vita.
Haaahaaa,

#genta_kasema


Mzee wa fujo zisizoumiza.


Vipi lile bandiko lako ulotunga kuhusu fei kuwananga viongozi wa yanga?
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Wajuaji at work
 
Back
Top Bottom