Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

Amevunja mkataba,kununua ni Jambo lingine. Acha kukariri kuvunja mkataba ni haki ya pande zote mbili,Ila Kwa mchezaji kuvunja mkataba imeonekana ni ajabu
Hajavunja mkataba ila amenunua mkataba wake 😀😀
 
FB_IMG_16721281928863164.jpg
 
Siyo mambo ya siasa mkuu, ni jambo la kisheria tu, Azam siyo wajinga kutomtangaza toka last week, wameona grounds za kisheria zipo against wao na mchezaji. Mchezaji kuondoka kwa kununua mkataba ni very complicated ,ingekuwa rahisi kihivyo wachezaji wangekuwa wananunua mikataba yao kila siku. Nashangaa watu wanasema mkataba wa Feisal unamruhusu kulipa Sh. 112 milioni na kuondoka, ni mkataba upi huo, kile kipage kimoja kinachosambaa mtandaoni ndiyo mkataba? Wakubwa walicho mwambia Feisal na mama yake ni kutulia ili kijana asije akapata matatizo ya kufungiwa na FIFA wakati yeye ndiyo sura nzuri ya soka la Zanzibar.
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Hivo vipengele vya mkataba wa Feisal ni vipi vilivyomfanya awe sahihi?

Ishu ya Morrison ulikua unaijua vizuri? Maana haifanani hata kidogo na hii ya Feisal
 
Baada ya kuona hali inaenda kuwa mbaya kisheria kwa upande wao, wakaona bora wamtafute wakae nae chini wayamalize, wangethubutu kumshtaki Fei wangefundishwa adabu.

Sababu ya Yanga kulazimisha kukutana na Fei ilikuwa ni ili wamtongoze asiondoke, lakini hawakuwa na sababu yoyote ya maana kisheria ikiwa Fei alishatimiza masharti ya mkataba kwa ku activate clause iliyomtaka alipe mil 112 ili aondoke.
Fk7QhAwWAAAPpLY.jpeg.jpg
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Uko sahihi kabisa.
 
Hivo vipengele vya mkataba wa Feisal ni vipi vilivyomfanya awe sahihi?

Ishu ya Morrison ulikua unaijua vizuri? Maana haifanani hata kidogo na hii ya Feisal
Tatizo lenu mnapenda ubishi sana kwa mambo msiyoyajua.
 
Baada ya kuona hali inaenda kuwa mbaya kisheria kwa upande wao, wakaona bora wamtafute wakae nae chini wayamalize, wangethubutu kumshtaki Fei wangefundishwa adabu.

Sababu ya Yanga kulazimisha kukutana na Fei ilikuwa ni ili wamtongoze asiondoke, lakini hawakuwa na sababu yoyote ya maana kisheria ikiwa Fei alishatimiza masharti ya mkataba kwa ku activate clause iliyomtaka alipe mil 112 ili aondoke.View attachment 2459626
Pole sana we kolo. Yale Mashuti ya Feisal bado yataendelea kuwaumiza sana
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Mkuu unabwabwaja tu. Huna unachokijua kwa sababu kiutarabu amekosea na imeshaelezwa. Hebu acheni kukaza fuvu mnajiabisha tu
 
We unayeyajua basi tuletee mkataba full hapa wa Feisal tuona ujuaji wako.
Kusoma hamjui, lakini hata picha pia....!!

Hamjiulizi kama Yanga walikuwa na nguvu kisheria, kwanini wakalazimisha kukutana na Fei ili wamtongoze?!

Nyie ni kubisha tuuu...!!
 
Kama Fei Toto kwa yote yaliyo tokea akiamua kurudi / Kubaki Yanga basi atakuwa amethibitisha kuwa kweli yeye ni MTOTO.

Simba na Yanga ni vilabu ambavyo HAVINA shukrani, Watakuja Kumuacha Kipindi ambacho hakuna Atakaye kuwa anamuhitaji. Huu ni wakati sahihi wa Fei Toto kufanya Movement bila kuangalia Nyuma.

Mashabiki wameshajiandaa kisaikolojia kuwa Hawakutaki, Viongozi na Timu nzima Imesha jiandaa kisaikolojia kuwa wewe ni Msaliti na Huna mapenzi na Timu. Ukibaki utakuwa Mtoto yatima.

Fei Toto nakusihi acha kuthibitisha kuwa Kweli wewe ni MTOTO……Hakuna Mapenzi bila Pesa.
 
Hakuna cha fifa wala mdogo wake na fifa, iwapo fei akirudi yanga basi atakuwa amerudi kwa shinikizo kutoka kwa watu wenye nguvu ndani ya nchi hii ambao ni mashabiki wa yanga na wala sio kisheria.

Kisheria Fei yuko sawa na vipengere vya mkataba wake na yanga vinampa uhalali wote wa kufanya alicho kifanya.

Mbona Morrison alifanya alicho kifanya Fei na hakuna mlilo mfanya mkaishia kubwabwaja tu?

Sheria nyingi za fifa huwa zinampa kipaumbele na kumlinda mchezaji na maslahi yake kwa namna yeyote.

Fei toto akiamuwa kuondoka Yanga ataondoka na hamta mfanya chochote na mkithubutu kwenda fifa atawagaragaza vibaya hamtaamini.
Hata Morison hakuishinda Yanga sema Kuna forgery zilifanywa na Tff kushirikiana na Simba ili kumhalalisha Morison Simba na kipindi hicho Yanga ilikuwa zoofu kifedha hawakuweza fanya kitu..

Kwa Sasa mambo ni tofauti kabisa Yanga ipo very stable kifedha ndio maana hata huyo Morison yupo Yanga na Feitoto bado ataendelea kuichezea yanga na nyie wenye roho mbaya (Mikia fc) mnazidi kupata maumivu.. Tutazidi kuwanyanyasa ndani na nje ya uwanja paka shume nyie
 
Hata Morison hakuishinda Yanga sema Kuna forgery zilifanywa na Tff kushirikiana na Simba ili kumhalalisha Morison Simba na kipindi hicho Yanga ilikuwa zoofu kifedha hawakuweza fanya kitu..

Kwa Sasa mambo ni tofauti kabisa Yanga ipo very stable kifedha ndio maana hata huyo Morison yupo Yanga na Feitoto bado ataendelea kuichezea yanga na nyie wenye roho mbaya (Mikia fc) mnazidi kupata maumivu.. Tutazidi kuwanyanyasa ndani na nje ya uwanja paka shume nyie
Pumba tupu, hizo forgery kama zilifanywa na TFF mlivyokwenda kushtaki CAS mlishinda?!

Mna vichwa empty sana.
 
Back
Top Bottom