data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Inasikitisha sana aisee!Duh kweli nchi haina watu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana aisee!Duh kweli nchi haina watu
Ova
Wewe uko upandie gani?Duh kweli nchi haina watu
Ova
12 mtakuja kunishukuruOrodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Hatuwezi kuchagua kichaa wewe!Mbona sijamuona Wacko jacko TAL
I'd za watu wa kafulila hizi.12 mtakuja kunishukuru
Nadhani shida sio kukopa ila matumizi ya hiyo mikopoYule atakopa mpaka kila sindano na dawa za mswaki.Yule anaamini sana kwenye kukopa yaaan hana uwezo wa kuleta mawazo mapya zaidi ya kukopa.
Yaani bila aibu unamuweka Mwigulu?Orodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
Huu ni UongoWote Wana sifa, Yoyote kati yao atafaa sana,
Tanzania Rais anachaguliwa na Mungu mwenyewe Wala sio mapesa
Tatizo lake nini?Mwigulu nchemba mtoe hapo, hata asilimia moja hapati
Unamfahamu vizuri huyo mtu?2030 ANTONY MTAKA atatufaa sana kiongozi mzalendo na mchapakazi.
Umemuluka Lucas MwashambwaOrodha hii ya majina imezingatia zaidi vita dhidi ya Ufisadi na Mafisadi ndani ya Tanzania.
Majina haya kwa nyakati tofauti tofauti na maeneo tofauti tofauti yamepambana na rushwa wala rushwa pamoja na Ufisadi.
1. Hamprey Herson Polepole
2. Mhe Antony Peter Mavunde
3. Mhe Juma Hamidu Aweso
4. Mhe Mohamed Mchengerwa
5. Mhe Tulia Ackson Mwansasu
6. Mhe Kitila Alexander Mkumbo
7. Mhe Mwigulu Lameck Nchemba
8. Mhe January Yusuph Makamba.
9. Mhe Luhaga Joelson Mpina
10. Mhe Jerry William Silaa
11. Mhe Emmanuel John Nchimbi
12. Mhe David Zacharia Kafulila
🤣🤣🤣Umemuluka Lucas Mwashambwa
Tatizo lake nini?