Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kufika kileleni kwa baadhi ya wanawake huambatana na kurushwa kwa maji-maji ukeni yakiruka kama bomba kupitia njia ya uke lakini si haja ndogo.Majimaji hutoka karibu na uke, kwenye tezi inayoitwa "skene".

Kwa wanaume wakifika kileleni hukakamaa, hutoa mlio kama simba, kumkumbatia mwenza na kupata usinizi mzito sana.
Wapo wanaume wachache wanaweza kuunganisha bao la kwanza la la pili, wachache sana na wengi ni wa Mikoa ya Kaskazini kwa tafiti zinaonyesha Arusha na Kilimanjaro.

Tatizo kubwa katika hili ni kwamba ukienda kwenye tendo la ndoa kwa ajili ya kujifurahisha na kuishia kughushi, unachopata ni kuchanganyikiwa na kupungua kwa hamu.

Wakati mwingine kufika kileleni haionekani, kwa sababu tuna wasiwasi, tumechoka, kwenye lishe, na kazi nyingi ... Lakini hii lazima iwe kitu maalum. Ikiwa hufikii mara saba kati ya 10, nenda moja kwa moja kwenye mtaalam wa ngono.

Wanandoa wengi , yaani wanaume na wanawake wana tabia ya kuighushi ikiwa wanapoteza ugumu wa uume au wanapata shida kuitunza, ama kwa sababu ya wasiwasi au kwa sababu wanatumia dawa za mfadhaiko (dawa hizi hupunguza kasi ya kufika kileleni).

Kuna mtu ana ndoa ya miaka 30 na hajawahi kufikishwa kileleni.

SWALI KWA WANAWAKE: Je, Mama mwenzangu , kuwa mkweli, umewahi kufikishwa kileleni? Umewahi kurusha maji? Squitting?

SWALI KWA WANAUME: Mkeo/mchumba kama hujawahi kumfikisha kileleni, au kama hujawahi kumtoa hayo maji siku ikitokea akakutana na dereva boda-boda akamfikisha kileleni basi ndoa imekufa.!

GEN -Z na WANAUME: Mkiona mwanaume mwenye ndoa anakula chips au ice cream au kuku wa kisasa mwambie atasaidiwa kazi na dereva bodaboda.

NOTE: Wanawake wengi wanaofungua talaka pale Mahakama ya Temeke-kituo jumuishi , wanaleta visingizio vingi ila kikubwa ni kutofikishwa kilwlwni na wao wakiona uzi kama hu ndio hasira kabisa.
 
Kwa akili hizi hata ukisema binadamu wakwanza alikuwa kuku nisawa tu.
Mitano tena kwa mama.
Tunasaidia kuokoa ndoa zenu, wazazi tunawaza wanetu wataolewa na kina nani, kama vijana wenyewe ndio hawa navaaa mibano kama dada zao na chips huku wakilamba midogo, wengine tulio wategemea kidogo ndio hao wametoka kwenye private Jet ya P Diddy wanatembea upande upande.
 
Huku kwetu usukumani
Hayo mengine mwanamke hataki, nyumba Masaki, Gari , Vaccation Dubai na credit card utampa ila kama humfikishi siku akipata hata mkata majani hapo kwako atagongwa kwenye banda la ngombe.
Sio wanawake wote wanatoka nje ya ndoa na pia sio wanawake wote ni malaya kama huko daslam. Acha kufanya GENERALIZATION
 
Kufika kileleni kwa baadh ya wanawake huambatana na kurushwa kwa maji maji ukeni yakiruka kama bomba kupitia njia ya uke lakini si haja ndogo.Majimaji hutoka karibu na uke, kwenye tezi inayoitwa "skene".
Kwa wanaume wakifika kileleni hukakamaa , hutoa mlio kama simba, kumkumbatia mwenza na kupata usinizi mzito sana.
Wapo wanaume wachache wanaweza kuunganisha bao la kwanza la la pili, wachache sana na wengi ni wa Mikoa ya Kaskazini kwa tafiti zinaonyesha Arusha na Kilimanjaro.

Tatizo kubwa katika hili ni kwamba ukienda kwenye tendo la ndoa kwa ajili ya kujifurahisha na kuishia kughushi, unachopata ni kuchanganyikiwa na kupungua kwa hamu.

Wakati mwingine kufika kileleni haionekani, kwa sababu tuna wasiwasi, tumechoka, kwenye lishe, na kazi nyingi ... Lakini hii lazima iwe kitu maalum. Ikiwa hufikii mara saba kati ya 10, nenda moja kwa moja kwenye mtaalam wa ngono.

Wanandoa wengi , yaani wanaume na wanawake wana tabia ya kuighushi ikiwa wanapoteza ugumu wa uume au wanapata shida kuitunza, ama kwa sababu ya wasiwasi au kwa sababu wanatumia dawa za mfadhaiko (dawa hizi hupunguza kasi ya kufika kileleni).
Kuna mtu ana ndoa ya miaka 30 na hajawahi kufikishwa kileleni.

SWALI KWA WANAWAKE: Je, Mama mwenzangu , kuwa mkweli, umewahi kufikishwa kileleni ?
Umewahi kurusha maji? Squitting?


SWALI KWA WANAUME: Mkeo/mchumba kama hujawahi kumfikisha kileleni, au kama hujawahi kumtoa hayo maji siku ikitokea akakutana na dereva boda-boda akamfikisha kileleni basi ndoa imekufa.!

GEN -Z na WANAUME: Mkiona mwanaume mwenye ndoa anakula chips au ice cream au kuku wa kisasa mwambie atasaidiwa kazi na dereva bodaboda.
NOTE: Wanawake wengi wanaofungua talaka pale Mahakama ya Temeke-kituo jumuishi , wanaleta visingizio vingi ila kikubwa ni kutofikishwa kilwlwni na wao wakiona uzi kama hu ndio hasira kabisa.


View attachment 3121791
CORRECTION:
skene gland inahusika na normal female ejaculation na sio squrting .squrting ni kitendo cha maji yasiyo na rangi kutoka katika njia ya mkojo ya mwanamke pindi anapofika kileleni na maji hayo huwa yanajikusanya kwenye kibofu cha mkojo , hayana harufu, rangi wala ladha na yanatoka kwa kuruka kwa kasi.
 
Back
Top Bottom