Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe maliza tembea mbeleNimeipenda hii
Yaani hela umpe,umuhudumie,na gharama nyingine utoe pia na bado umpandishe huko kilimanjaro khaaa!!
mbona kasema mwenyewe kuwa ni mwanamke soma vizuriMwandishi ni mwanamke,watu wanahisi ni mwanaume. Hilo jina jaji halijazoeleka kikike
Madame sorry hapa ulikuwa unamaanisha Nini?🤔Tatizo kubwa katika hili ni kwamba ukienda kwenye tendo la ndoa kwa ajili ya kujifurahisha na kuishia kughushi, unachopata ni kuchanganyikiwa na kupungua kwa hamu.
Kubali tatizo, then tafuta suluhisho.Ndoa nyingi tuu zinadumu bila kutoa maji kwahyo huna hoja ya msingi kiukweli,na kama kunawanawake wanawaacha wanaume kwa sabab hii💀
kwamba inatakiwa siku ya tendo I have to make sure anafika kileleni mara 7?Lakini hii lazima iwe kitu maalum. Ikiwa hufikii mara saba kati ya 10, nenda moja kwa moja kwenye mtaalam wa ngono.
Ku- fake , unajifanya umefika kilelelni lakini si kweli, maanaMadame sorry hapa ulikuwa unamaanisha Nini?🤔
Hongera uncle, wafunze vijana wenzako wala chips wanaokuja na visingizo kibao.Kwa uzoefu wangu mpaka hapa nilipofika kuna wanawake nimekutana nao wakasquit/kumwaga maji na wengine hawakufnya hivy😵ndoa shaka tunawafikisha sana tu ila na wao wapunguze stress za vicoba
Kuna mambo mengi ya msingi ya kutaftia solution siyo hili broo huyo mwanamke ambaye anaona hafikishwi huyo ni KAHABA mzoefuKubali tatizo, then tafuta suluhisho.
Ulikuwa na hali gani?Bro namie jina langu liweke kwa waliofika kileleni.....
Huyo ni demu sio bradha.Brother maisha sio kutoana maji tu. Kuna mengi nje ya maji
Heshima kwakoHuku kwetu usukumani
Sio wanawake wote wanatoka nje ya ndoa na pia sio wanawake wote ni malaya kama huko daslam. Acha kufanya GENERALIZATION
Dream on 😁😁😁Brother maisha sio kutoana maji tu. Kuna mengi nje ya maji
Nilihisi kama napigwa shoti kuanzia kwenye unyayo inapanda juu....kufika kifuani nikataka kuzimiaUlikuwa na hali gani?
Usiache mbachao....................!Kuna mambo mengi ya msingi ya kutaftia solution siyo hili broo huyo mwanamke ambaye anaona hafikishwi huyo ni KAHABA mzoefu