Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #161
Ndiyo, mingi tu, inategemea na definition yako ya mlima ni upi!Kwani dar kuna mlima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, mingi tu, inategemea na definition yako ya mlima ni upi!Kwani dar kuna mlima?
Kuwa na mmoja wa kumfikisha, usiwe na tamaa na wenzako unataka wakose?Mapenzi ni starehe, ni chakula cha mwili watu wanawake wanatakiwa kufikishwa kileleni, Mimi nimejitolea kuwafikisha ambao bado hawajafika
Kwamba katiba mpya aliyevuruga mchakato, yule mstaafu ndio kaleta huu uzi kwahiyo katakataa?Kwa Hali hii hatuwezi pata katiba mpya
Kaka kipo, kwani ninyi wanaume wa siku hizi kutufikisha kileleni ni mpaka mtumie K-vant, energy, kifurushi, karanga, mihogo mibichi, supu ya pweza?Hizi mambo za kushabikia mapenzi sijui kufikishwa kileleni ndizo zinazospoil ajili za Binti zetu wa siku hizi.
Binti hafahamu chochote kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kukaa mkao wa kusubiri kukojoleshwa! Vijana wenyewe watarajiwa wa kazi hiyo wanajipigia visungura vilivyochanganywa na energy ***mbaf kabisa
Tell them aiseeKwani unadhani wanawake wote wanafika kilele kwa kusquit/kumwaga maji!!?.Wengine wanafika bila hayo maji unayosema kumwagika