Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Hizi mambo za kushabikia mapenzi sijui kufikishwa kileleni ndizo zinazospoil ajili za Binti zetu wa siku hizi.
Binti hafahamu chochote kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kukaa mkao wa kusubiri kukojoleshwa! Vijana wenyewe watarajiwa wa kazi hiyo wanajipigia visungura vilivyochanganywa na energy ***mbaf kabisa
 
Correction: squirting ni mkojo pure. Kuna makabila wanakuwa trained tangu wadogo. Wakati wa sex, kibofu saa nyingine kinahisika ndio feeling ya kutaka kukojoa inakuja, sasa wengi wanajibana wakiogopa, ila akijiachia ndio squirt. Ni MKOJO. Nothing else. Nyingine ni kudanganyana tu. Trust me.
Mkojo gani una uteute na utelezi?
 
Si kweli. Kama hajawahi kufikishwa kileleni, au ulimuoa akiwa bikira, na sasa ndio mke wako, hawezi kutamani jambo asilolijua. Utasemaje natamani kula numbu za Kigoma wakati numbu hujui zina radha gani?

Sasa mnaelewa kwa nini mababu zetu walisema ni muhimu sana mwanamke aolewe akiwa bikira!

Shauri yenu mliooa watu wamefikishwa kila kilele, Kibo, Mawenzi, Everest, Mount Kenya, etc, halafu nyie mnawapandisha Kilimani tu hapo UD!
Umenikumbusha nilioa single maza moja hivi nikaishi nayo miaka saba mpaka kuja kuifikisha kileleni..
Nakumbuka kuna style niliijaribu tu nikashangaa mtu anaweweseka na kukakamaa nikawa nasikilizia kucha zilivyozama shingoni..

Baada ya ile hali nikaulizwa, "Umefanyaje kwani?"
Nikasema sikumbuki..
Sasa si ikawa ni vurugu kila mara nategewa mbunye ili nifanye kile kile ikafika ikawa kero kwangu maana kuna muda nilikuwa nachubuka lakini yeye hajali anataka kukakamaa..

AKaniambia kuwa alikuwaga akisikia kwa wanawake wengine wakizungumzia kuhusu kufikishwa kileleni lakini wakisema tu kuwa na wao wanasikiaga kuwa mtu akifika anakakamaa lakini hawajawahi kufika zaidi ya kubaki kusikia kama hadithi za kusadikika..
Akasema anatamani aende awaambie kuwa ameonja kufika kilele na anatamani watambue hali anayoipitia wakati wa kufika kileleni.
Nikamuambia aache upumbavu,, lakini kwakuwa hata wakati wanajadili sikujua mpaka yeye mwenyewe aliponiambia basi naamini hata hili aliwafikishia lazima..
Maana baada ya muda kuna jirani yangu alianza kuamka mida nayoamka mimi na kunitengea maji bafuni..
Kitendo ambacho mke wangu alikuwa hafanyi either kutokana na kuizoea ndoa..

Mimi nilibaki kusema ahsante na kuingia bafuni kuoga..bila kuonyesha kuelewa nia ya matendo ya jirani yangu..
Yaani akisikia mlango wangu unafunguliwa atatoka kajifunga taulo ambayo itaanzia kifuani hivyo kuishia katikati ya mapaja..
Na alijijua jinsi alivyo umbika alijua sitaweza kupindua..
Lakini Mungu wangu alisimama nami nikavuka salama bila kumuonyesha matamanio yoyote..

Sio kwamba sikuwa namtamani hapana..
Nilikuwa namtamani na kutokana na mzigo ulivyo ukianza kusimama tu lazima boxa na taulo vinyanyuliwe pamoja.
So kabla kitu haijakaza nawahi bafuni ili asione..
Ila kiukweli yule mama alikuwa ananipa shida sana..
Baadae nikabadili ratiba za kuamka badala ya saa kumi na mbili kasoro nikaanza kuamka saa moja na nusu..
Maana mimi ndie bosi mwenyewe.

So utagundua kuwa mimi pamoja na kumuoa mke kwa miaka mingi but ilinichukua miaka mingi kuja kujua kumfikisha kileleni huyu mwanamke na akakiri..
Nikamuuliza kwani siku zote ulikuwa hupizi?
Akasema alikuwa anapizi lakini sio kwa utamu uliopitiliza kama huu..
Ndio nikaelewa
Na hii nililiendeleza hadi kwa mshangazi mmoja hivi kwa umri wake sikutarajia kama angekiri yale aliyoyakiri..
Kibaya zaidi kuhusu hii ya kumfikisha mwanamke kileleni ni kwamba mwanamke hukuganda na kuanza kukuonea wivu uliopitiliza kiasi unaweza hata kuchomwa kisu au kumwagiwa mafuta ya moto hata kwa tetesi tu za kuwa unatoka na fulani..
Na chuki ya mpenzi wako inakuwa kali pale anaposalitiwa..
Kwa michepuko hii hupelekea wao kupoteza uwezo wao wa kufikiri na kujikuta wanafanya mambo ya ajabu hata kama atavunja ndoa yako yeye huwa hajali kikubwa ni kukuandama kwa gharama yoyote ile hata kama itakuletea umauti huwa hawajali maana ile kufikishwa kileleni huwarun crazy na kuwafanya kujitoa muhanga
Mchepuko alichangia pakubwa sana kuivunja ndoa yangu
Baada ya kumtafuta wife na kumuomba wazi wazi bila kificho akimtaka wife amkubalie waolewe wote wawili..
Hapa ndipo nilifika nikaona ile hali huwachanganya hawa wanawake na kuwatoa akili kabisa..
Yaani mchepuko hakujali ukubwa wake kiumri kwa mke wangu ila alijiweka level moja na wife..

Wife aliniwashia moto ambao tangu nimeanza mapenzi na wanawake sijawahi kuona ugomvi mkubwa kama ule
Swali kubwa lililokuwa halikauki mdomoni ni hili..
Ina maana baba fulani na yule malaya ulimfanyia kitu X?
Nabaki kimya tu.. Linaanza seleka upya yaani..

Kiukweli ilifika hatua mwanamke akawa anatamka wazi wazi kuwa natamani sana nikuache lakini nabaki mdhaifu kwaajili ya huu mchezo na sijui ni vipi nitajinasua kwako..
Nilikuwa naiona ndoa ikifa hivi japo sikujua ni lini lakini nilijua ipo siku itakuja tutaachana tu maana kisaikolojia ilikwisha anza kutuathiri sana..

Hatimae mwaka huu mwanzoni mwenzangu aliamua kuondoka kwangu..
Hatimae nimepata Mtutsi mwingine ambae alisema tufanye tu lakini akilini nisimuweke maana hana nia ya kudumu na mimi kwenye mahusiano nikasema sawa.
Kwakuwa na mimi nilikuwa nimekaa muda mrefu bila kuwa na mwanamke baada ya mke kuondoka..
Nikamridhia tupige gemu ya kishikaji tu!!
Ila yaliyotokea baada ya pale,, Nilishangaa binti ananiambia kuwa mama yake anahitaji kuongea na mimi.
Nikamuuliza mama yako kanijulia wapi?
Alichonijibu ndicho kiliniacha mdomo wazi.
Alisema baada ya lile tendo kesho yake asubuhi alimpigia mama yake na kumtaarifu kuwa keshapata mchumba tayari.. Nilimaindi kidogo maana binti alichukua ile hatua bila kunishirikisha japo nilijua kuwa ni ile silaha ndio ilimtoa kwenye reli aliyokuwepo mwanzo kabla ya kufanya chochote.
Kwakuwa mpaka leo sijapata mtu ambae namkonsida kama mtu serious nadunda na mtutsi wangu tu sijui hata maisha yanataka kunipeleka wapi na huyu Mnyarwanda..
Japo yeye ananiimbia nyimbo za ndoa but mimi sina time kabisa niko njia panda
Maana huyu nae ni singo maza pia na mtoto yupo kwa mama yake..
Sitaki kuoa singo maza tena maana itakuwa ni kama nina nyota ya Yesu, yaan niwe muokozi wa masingo maza..
Wakati nakutana nae sikujua kama ni singo maza baada ya kuona ananiimbia nyimbo za ndoa ndio nikaamua kumchukua maelezo ndio akaamua kuniambia ukweli kuwa ana mtoto mmoja.
Nikakaa kimya kwanza kisha kichwani nikawaza huyu nae ni singo maza tena " pepo toka"
But na mimi nina watoto wawili tayari sasa nawaza inakuwaje hapa..
Namuambia mshikaji wangu ananiuliza napowabagua singo maza nasahau na mimi kama nina watoto??
Sasa nani ambae hajazaa atakubali kuishi na watoto wangu wawili wakati yeye ndio kwanza anaanza kuzaa kwa mara ya kwanza??
Hivyo ambae hajazaa atalazimika kunizalia watoto watatu au wanne ili kuwaoutnumber wale wawili wa kwangu ambao sio wakwake ili kujihakikishia masuala ya urithi kitu ambacho kiuchumi kitanikwamisha maana ataniongezea idadi ya watoto na kunitwisha majukumu mazito hivyo nitajikuta natumia nguvu kubwa kutunza watoto which equals to poverty.
Jamaa akanishauri nimchukue huyu huyu Singo maza ili tulee watoto wetu kwa pamoja ila tuzae mtoto mmoja tu ambae ni kiunganishi chetu maana wote tayari kila mtu ana mtoto..
Ushauri please..
 
Mkojo gani una uteute na utelezi?
NI MKOJO. KISA UMECHANGANYWA WAKATI WA KUPITA NA UTE WAKE AMBAO WEWE KWENYE DUDU YAKO UNAO NDIO UKAJUA NI SPECIAL THING? nyie ndio mnaibiwa na kupigiwa wanawake maana mnadhani mnajua sana , mmewafikisha paleee. ...were shauri lenu.
 
Kufika kileleni kwa baadh ya wanawake huambatana na kurushwa kwa maji maji ukeni yakiruka kama bomba kupitia njia ya uke lakini si haja ndogo.Majimaji hutoka karibu na uke, kwenye tezi inayoitwa "skene".

Kwa wanaume wakifika kileleni hukakamaa, hutoa mlio kama simba, kumkumbatia mwenza na kupata usinizi mzito sana.
Wapo wanaume wachache wanaweza kuunganisha bao la kwanza la la pili, wachache sana na wengi ni wa Mikoa ya Kaskazini kwa tafiti zinaonyesha Arusha na Kilimanjaro.

Tatizo kubwa katika hili ni kwamba ukienda kwenye tendo la ndoa kwa ajili ya kujifurahisha na kuishia kughushi, unachopata ni kuchanganyikiwa na kupungua kwa hamu.

Wakati mwingine kufika kileleni haionekani, kwa sababu tuna wasiwasi, tumechoka, kwenye lishe, na kazi nyingi ... Lakini hii lazima iwe kitu maalum. Ikiwa hufikii mara saba kati ya 10, nenda moja kwa moja kwenye mtaalam wa ngono.

Wanandoa wengi , yaani wanaume na wanawake wana tabia ya kuighushi ikiwa wanapoteza ugumu wa uume au wanapata shida kuitunza, ama kwa sababu ya wasiwasi au kwa sababu wanatumia dawa za mfadhaiko (dawa hizi hupunguza kasi ya kufika kileleni).

Kuna mtu ana ndoa ya miaka 30 na hajawahi kufikishwa kileleni.

SWALI KWA WANAWAKE: Je, Mama mwenzangu , kuwa mkweli, umewahi kufikishwa kileleni? Umewahi kurusha maji? Squitting?

SWALI KWA WANAUME: Mkeo/mchumba kama hujawahi kumfikisha kileleni, au kama hujawahi kumtoa hayo maji siku ikitokea akakutana na dereva boda-boda akamfikisha kileleni basi ndoa imekufa.!

GEN -Z na WANAUME: Mkiona mwanaume mwenye ndoa anakula chips au ice cream au kuku wa kisasa mwambie atasaidiwa kazi na dereva bodaboda.

NOTE: Wanawake wengi wanaofungua talaka pale Mahakama ya Temeke-kituo jumuishi , wanaleta visingizio vingi ila kikubwa ni kutofikishwa kilwlwni na wao wakiona uzi kama hu ndio hasira kabisa.
Kwani dar kuna mlima?
 
Back
Top Bottom