Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi ni starehe, ni chakula cha mwili watu wanawake wanatakiwa kufikishwa kileleni, Mimi nimejitolea kuwafikisha ambao bado hawajafikadah, wewe kaka mkorofi wewe!
Mkojo gani una uteute na utelezi?Correction: squirting ni mkojo pure. Kuna makabila wanakuwa trained tangu wadogo. Wakati wa sex, kibofu saa nyingine kinahisika ndio feeling ya kutaka kukojoa inakuja, sasa wengi wanajibana wakiogopa, ila akijiachia ndio squirt. Ni MKOJO. Nothing else. Nyingine ni kudanganyana tu. Trust me.
Umenikumbusha nilioa single maza moja hivi nikaishi nayo miaka saba mpaka kuja kuifikisha kileleni..Si kweli. Kama hajawahi kufikishwa kileleni, au ulimuoa akiwa bikira, na sasa ndio mke wako, hawezi kutamani jambo asilolijua. Utasemaje natamani kula numbu za Kigoma wakati numbu hujui zina radha gani?
Sasa mnaelewa kwa nini mababu zetu walisema ni muhimu sana mwanamke aolewe akiwa bikira!
Shauri yenu mliooa watu wamefikishwa kila kilele, Kibo, Mawenzi, Everest, Mount Kenya, etc, halafu nyie mnawapandisha Kilimani tu hapo UD!
Kumbe! Kwahiyo kwa sasaivi unapatikana wapi ? Yani namaanisha Uko wapi ?Nilihisi kama napigwa shoti kuanzia kwenye unyayo inapanda juu....kufika kifuani nikataka kuzimia
NI MKOJO. KISA UMECHANGANYWA WAKATI WA KUPITA NA UTE WAKE AMBAO WEWE KWENYE DUDU YAKO UNAO NDIO UKAJUA NI SPECIAL THING? nyie ndio mnaibiwa na kupigiwa wanawake maana mnadhani mnajua sana , mmewafikisha paleee. ...were shauri lenu.Mkojo gani una uteute na utelezi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe! Kwahiyo kwa sasaivi unapatikana wapi ? Yani namaanisha Uko wapi ?
Kwa akili hizi hata ukisema binadamu wakwanza alikuwa kuku nisawa tu.
Mitano tena kwa mama.
Mtoa mada ni mshangaziBro namie jina langu liweke kwa waliofika kileleni.....
Jf wanawake ni watatu tu....wengine wote ma broMtoa mada ni mshangazi
Wewe je ni ke au me?Jf wanawake ni watatu tu....wengine wote ma bro
Kidume cha mbegu, rijali matataWewe je ni ke au me?
Kwani dar kuna mlima?Kufika kileleni kwa baadh ya wanawake huambatana na kurushwa kwa maji maji ukeni yakiruka kama bomba kupitia njia ya uke lakini si haja ndogo.Majimaji hutoka karibu na uke, kwenye tezi inayoitwa "skene".
Kwa wanaume wakifika kileleni hukakamaa, hutoa mlio kama simba, kumkumbatia mwenza na kupata usinizi mzito sana.
Wapo wanaume wachache wanaweza kuunganisha bao la kwanza la la pili, wachache sana na wengi ni wa Mikoa ya Kaskazini kwa tafiti zinaonyesha Arusha na Kilimanjaro.
Tatizo kubwa katika hili ni kwamba ukienda kwenye tendo la ndoa kwa ajili ya kujifurahisha na kuishia kughushi, unachopata ni kuchanganyikiwa na kupungua kwa hamu.
Wakati mwingine kufika kileleni haionekani, kwa sababu tuna wasiwasi, tumechoka, kwenye lishe, na kazi nyingi ... Lakini hii lazima iwe kitu maalum. Ikiwa hufikii mara saba kati ya 10, nenda moja kwa moja kwenye mtaalam wa ngono.
Wanandoa wengi , yaani wanaume na wanawake wana tabia ya kuighushi ikiwa wanapoteza ugumu wa uume au wanapata shida kuitunza, ama kwa sababu ya wasiwasi au kwa sababu wanatumia dawa za mfadhaiko (dawa hizi hupunguza kasi ya kufika kileleni).
Kuna mtu ana ndoa ya miaka 30 na hajawahi kufikishwa kileleni.
SWALI KWA WANAWAKE: Je, Mama mwenzangu , kuwa mkweli, umewahi kufikishwa kileleni? Umewahi kurusha maji? Squitting?
SWALI KWA WANAUME: Mkeo/mchumba kama hujawahi kumfikisha kileleni, au kama hujawahi kumtoa hayo maji siku ikitokea akakutana na dereva boda-boda akamfikisha kileleni basi ndoa imekufa.!
GEN -Z na WANAUME: Mkiona mwanaume mwenye ndoa anakula chips au ice cream au kuku wa kisasa mwambie atasaidiwa kazi na dereva bodaboda.
NOTE: Wanawake wengi wanaofungua talaka pale Mahakama ya Temeke-kituo jumuishi , wanaleta visingizio vingi ila kikubwa ni kutofikishwa kilwlwni na wao wakiona uzi kama hu ndio hasira kabisa.