Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

Mapenzi ni starehe, ni chakula cha mwili watu wanawake wanatakiwa kufikishwa kileleni, Mimi nimejitolea kuwafikisha ambao bado hawajafika
Kuwa na mmoja wa kumfikisha, usiwe na tamaa na wenzako unataka wakose?
 
Kaka kipo, kwani ninyi wanaume wa siku hizi kutufikisha kileleni ni mpaka mtumie K-vant, energy, kifurushi, karanga, mihogo mibichi, supu ya pweza?

Baba zenu wametufikisha pasi na kutumia kitu chochote zaidi ya ugali wa kawaida wa migogo, daga, mchicha na ulanzi.

#jitafakari acha kulia lia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…