shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,333
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kaukimbize utaona utofauti wake na kibatariHadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Nyerere alikuwa fisadi wa mawazo ,hata mimi nakumbuka kusema zidumu fikra za mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.shule ya msingi miaka ya tisini na sita tuliimba Naapa Naahidi mbele ya chama ,mapinduzi nitakulinda mpaka kufa.Yaani walihakikisha wanafisadi mpaka akili za watoto shule za msingi.Yaani akija waziri siku hiyo hakuna masomo ni kuimba nyimbo za kusifia chama.Kwamba Nyerere alikuwa fisadi???????
Okay, mwaka gani walichangishwa
Haijalishi kama ni ushirikina au vinginevyo, lakini ukweli ni kwamba, Mwenge umeficha siri mzito sana ambayo si ya kawaida! Just imagine Magu alivyoingia madarakani na mbwembwe za kubana matumizi! Kwanza akaanza kufuta sheria ya kupongezana kule bungeni, siku chache baadae akafuta sherehe za Uhuru! In no time, sherehe za Mwenge zikawadia na Magu akasanda!!!Hii dhana ya kishirikana kwamba Mwenge unawapumbaza watanzania naikataa kwa nguvu zote. Ila aina ya ulazimishaji watanzania kuuheshimu huo mwenge nayo pia sikubaliani nayo!!
Mpaka sasa zinachangishwa kwa wananchi Wa kada mbalimbali....Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Dhumuni la mwenge ni kutoa ishara ya umoja na amaniHadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Kama hujui na umeshastaafu jua ulipoteza muda hapa duniani sasa rudi shuleHadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Hilo ni tambiko. Soma Isaya 50:10 -11Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141