Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unaongea kama teja ?Wewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?
Endelea kupiga nyeto kunywa gongo na kuvuta bangi mixer na nyota ,ndio.maisha uliyochagua
MmmmmhNakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Duh! Kumbe tunabadilishana mawazo na watoto wetu humu. Nashangaa kusikia mpaka miaka ya tisini mliimba hizo nyimbo. Wahenga wa umri wangu tuliziimba miaka ya sabini na mwanzoni mwa themanini.Nyerere alikuwa fisadi wa mawazo ,hata mimi nakumbuka kusema zidumu fikra za mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.shule ya msingi miaka ya tisini na sita tuliimba Naapa Naahidi mbele ya chama ,mapinduzi nitakulinda mpaka kufa.Yaani walihakikisha wanafisadi mpaka akili za watoto shule za msingi.Yaani akija waziri siku hiyo hakuna masomo ni kuimba nyimbo za kusifia chama.
Balaaaa ziiitoWewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?
Endelea kupiga nyeto kunywa gongo na kuvuta bangi mixer na nyota ,ndio.maisha uliyochagua
Unashangaa nini?Mmmmmh
Nakumbuka kuimba wimbo wa naapa naahidi,tena hapo mageuzi yalikuwa tayari.Mwalimu alipofariki kidogo mageuzi yakajikita.Duh! Kumbe tunabadilishana mawazo na watoto wetu humu. Nashangaa kusikia mpaka miaka ya tisini mliimba hizo nyimbo. Wahenga wa umri wangu tuliziimba miaka ya sabini na mwanzoni mwa themanini.
Haikugharimu kitu kukaa kimyaa ikiwa huna jibu aisee. Sasa hizi kejeli zako za nn?Wewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?
Endelea kupiga nyeto kunywa gongo na kuvuta bangi mixer na nyota ,ndio.maisha uliyochagua
Acha kudhalilisha kibatari kukifananisha na upuuzi(mwenge), mwenge ni laana na ndiyo kiini cha nchi kuwa ya gundu la kudumu.Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Vipi fikra za mwenyekiti wa sasa?Nyerere alikuwa fisadi wa mawazo ,hata mimi nakumbuka kusema zidumu fikra za mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.shule ya msingi miaka ya tisini na sita tuliimba Naapa Naahidi mbele ya chama ,mapinduzi nitakulinda mpaka kufa.Yaani walihakikisha wanafisadi mpaka akili za watoto shule za msingi.Yaani akija waziri siku hiyo hakuna masomo ni kuimba nyimbo za kusifia chama.
Mkuu
Ndiyo maana mpaka Leo sisi ni masikini wakutupwa
Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Hasa hasa walimu! The punching bag of CCMWatumishi wa almashauri
Wewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?
Endelea kupiga nyeto kunywa gongo na kuvuta bangi mixer na nyota ,ndio.maisha uliyochagua
Aisee mbona povu kiasi hiki,Wewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?
Endelea kupiga nyeto kunywa gongo na kuvuta bangi mixer na nyota ,ndio.maisha uliyochagua
Hadi leo wanachangishwa hasa vijijini tena ni lazima utoe. Kuna kijiji walichangishwa na kuambiwa mwenge utalala hapo kijijini matokeo yake ukaenda kijiji kingine.Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.