Sasa hivi unafikiri unakimbizwa kwa gharama za nani?Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi unafikiri unakimbizwa kwa gharama za nani?Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Tena wanafunzi unachanga 20 na wazazi wanachanga ingawa nilikuwa sijui wanachanga sh ngapi.Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Siyo waziri tu Mkuu hata mwenyekiti Wa CCM wilaya,ikifika tarehe 5/2 wanatusomba kwenye malori ya maembe tunaenda kupiga kwata kwenye jua enzi hizo tunaita chipukizi,CCM Mungu anawaona mlichokuwa mnatufanyia sawa IPO siku yenu.Nyerere alikuwa fisadi wa mawazo ,hata mimi nakumbuka kusema zidumu fikra za mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.shule ya msingi miaka ya tisini na sita tuliimba Naapa Naahidi mbele ya chama ,mapinduzi nitakulinda mpaka kufa.Yaani walihakikisha wanafisadi mpaka akili za watoto shule za msingi.Yaani akija waziri siku hiyo hakuna masomo ni kuimba nyimbo za kusifia chama.
Hela za public,una bajeti yake.Siyo ile watoto wetu watumwe pesa za kuchangia mafuta ya mwenge ilhali kuna bajeti.Sasa hivi unafikiri unakimbizwa kwa gharama za nani?
Ma DED bado wanachamgishaHela za public,una bajeti yake.Siyo ile watoto wetu watumwe pesa za kuchangia mafuta ya mwenge ilhali kuna bajeti.
Wanamchangisha nani?Ma DED bado wanachamgisha
Dhumuni la mwenge ni kutoa ishara ya umoja na amani
Watumishi wa almashauriWanamchangisha nani?
Wewe ni mpumbavu ,unakaribia miaka 60 hujajua kwanini kuna.mbio za mwenge mpaka sasa,unategemea majibu kutoka kwa vijana walioko jukwaani ambao wengi umri wao ni kuanzia 18 mpaka 35.wakujibu nini wewe babu?Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Lazima uchange au ni ukipenda?Watumishi wa almashauri
Atueleze 1.5 trilion zilipoNakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Za wapi tena?Atueleze 1.5 trilion zilipo
Kwa mfanyakazi nakumbuka unafika dirisha LA kupokea mshahara unakutana na tangazo LA Mwenge inakatwa juu KWA juu wakati nasoma primary tulikuwa tuna changia tsh 2 shilingi mbili usipoleta viboko na unapopita mnaambiwa mkasimame barabarani na majani mkishangiliaKwamba Nyerere alikuwa fisadi???????
Okay, mwaka gani walichangishwa
Ndiyo maana mpaka Leo sisi ni masikini wakutupwaHilo ni tambiko. Soma Isaya 50:10 -11
King's request.........Lazima uchange au ni ukipenda?