Tetesi: Huenda ni ujinga wangu ila huenda nikielimishwa nitaelewa

Mambo yanayofanyika sehemsehemu mwenge unapolala wala hayaelezeki
 
Mkuu mbona unaongea kama teja ?
 
“Sisi tumekwishauwasha Mwenge,
tumekwisha uwasha Mwenge.
Na kuuweka juu ya mlima, Mlima Kilimanjaro.
Kuwasha Mwenge, Kuwasha Mwenge na kuuweka Kilimanjaro;
Kuwasha Mwenge, Kuwasha Mwenge na kuuweka Kilimanjaro.”

Umulike ndani na nje ya mipaka yetu,
ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini,
ulete upendo mahali penye chuki na heshima mahali palipojaa dharau”.
 
Duh! Kumbe tunabadilishana mawazo na watoto wetu humu. Nashangaa kusikia mpaka miaka ya tisini mliimba hizo nyimbo. Wahenga wa umri wangu tuliziimba miaka ya sabini na mwanzoni mwa themanini.
 
Balaaaa ziiito
 
Duh! Kumbe tunabadilishana mawazo na watoto wetu humu. Nashangaa kusikia mpaka miaka ya tisini mliimba hizo nyimbo. Wahenga wa umri wangu tuliziimba miaka ya sabini na mwanzoni mwa themanini.
Nakumbuka kuimba wimbo wa naapa naahidi,tena hapo mageuzi yalikuwa tayari.Mwalimu alipofariki kidogo mageuzi yakajikita.
 
Haikugharimu kitu kukaa kimyaa ikiwa huna jibu aisee. Sasa hizi kejeli zako za nn?
 
Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?View attachment 1183141
Acha kudhalilisha kibatari kukifananisha na upuuzi(mwenge), mwenge ni laana na ndiyo kiini cha nchi kuwa ya gundu la kudumu.
 
Madhumuni na sababu za kuanzishwa mwenge kwa Tanzania yetu ya sasa ni kama hakuna mashiko au yamepitwa na wakati. Uliitwa mwenge wa uhuru...... kwa sasa tuko huru, afrika nzima iko huru. Tunapoteza muda na resources kushikilia vitu visivyo na maana.
 
Vipi fikra za mwenyekiti wa sasa?
 
Mkuu
Ndiyo maana mpaka Leo sisi ni masikini wakutupwa

Ni vizuri hili jambo litafutiwe namna ya kuliondoa ili kuondoa laana katika nchi. Tunafanya matambiko na kuwekeana maagano bila kujua.
Kuna kipindi nilisikia viongozi wa mbio za mwenge hawaishi muda mrefu baada ya kumaliza mbio hizo, sijui ni kweli?
 
Are you serious? Nyerere fisadi? Kawaulize vizuri dada zako
Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
 
Huyu Mzee ndiye alikuwa anakuchapia mamako?
 
Aisee mbona povu kiasi hiki,
Mbona kuna kiongozi mkubwa nchi fulani hajui Sadam alikuwa raisi wa nchi gani wakati hili swali hata mtoto wa darasa la pili anajibu
 
Nakumbuka dada zangu waliniambia walikuwa wanachangishwa shilingi 20 ,20 za mafuta ya Mwenge.Nyerere alikuwa fisadi jamani.Kuwachangisha wananchi masikini mafuta ya mwenge hapana kabisa aisee.
Hadi leo wanachangishwa hasa vijijini tena ni lazima utoe. Kuna kijiji walichangishwa na kuambiwa mwenge utalala hapo kijijini matokeo yake ukaenda kijiji kingine.
 
Siasa za kijima zimejaa ushirikina. Mwenge ni hirizi ya taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…