Huenda hotuba hii ya Askofu Mwanamapinduzi ndio chanzo cha yeye kukamatwa na Polisi.
Your browser is not able to display this video.
=======
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Tutaona idadi ya maskofu wakipanda majukwaani inaongezeka, wakishaona hijab wanaumia, wakati wa Magufuli , Mkapa hatukuona haya, tulianza wakati wa mwinyi
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza Tanganyika, naomba iwe wazi hiyo. Yeye ameamua rasmi kuiuza Tanganyika kuanzia bandari zake, misitu, mapori yake tena ameuza kwa waarabu.
Kama wanadai nimesema uongo, watuambie ile mikataba waliofanya kule Dubai, mikataba 39 inahusu nini?
Tumewekewa mikataba miwili, mkataba wa kwanza, mkataba wa bandari. Ule mkataba wa bandari ukiusoma, unasema kwamba bandari zinakabidhiwa kwa waarabu mpaka shughuli za bandari zitakapoisha maana yake ni kwamba mpaka Yesu arudi.
Tunauliza, ni kwa shilingi ngapi hatuambiwi. Magufuli alipoingia madarakani alikuta mkataba mmoja wa kuuza bandari ya Bagamoyo. Bandari ile ilikuwa inakabidhiwa kwa wachina kwa miaka 99 ila watajenga wenyewe.
Akasema mkataba huu, mtu yeyote anayetaka kuingia mkataba huu lazima kwanza awe chizi na mwendawazimu.
Sasa mama Samia nitafutieni jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo. Ameuza bandari sio moja, ameuza bandari 54 za Tanganyika za kwenye bahari mpaka maziwa, kwa miaka mingapi hatujui, kwa shilingi ngapi hatujui!
Mimi nawaambia ukweli, mama huyu tumalizane naye safari hii, tumalizanane naye Serikali za mtaa, msichague chama chake. Mkichagua CCM atapata nguvu ya kugombea, kama amewauza kwenye awamu yake ya kwanza, awamu ya pili atawafanyaje!
Hata hivyo, kwangu mimi, ukweli unaposemwa kunihusu, hunifanya nikae chini ili kuboresha mienendo yangu
Ukijikuta umekuwa mtu wa kutoa hukumu tu ingawa kweli kunayanayouma yakisemwa, utajikuta umefika kwenye cheyo cha Lusifa bule!
Upendo ukolee kwa watu wote, bado kifo kitaendelea kutuweka udongoni, tutendeane mema tutakutana huko bandarini siku tumeitwa, sielewi tutatazamanaje huko?
Mama Yao awe makini sana. Maana hadi watumishi wa Mungu hawaitaki hii mikataba ya kihuni. Mtumishi wa Mungu ameoneshwa na Mungu haya madudu ya hii serikali. Kila akisafiri na dege letu Dreamliner peke yake kuelekea huko Ulaya lazima auze sehemu ya Tanganyika. Hii haikubaliki hata kidogo.