Pre GE2025 Huenda sababu ya Askofu Machumu kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"

Pre GE2025 Huenda sababu ya Askofu Machumu kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao wanaojielewa ni akina nani, matapeli kama wewe?
Umejiunga humu JF, kwa jina bandia (maalum) kuhadaa watu kwa sababu moja tu, ya kutetea ujinga, na kushibishwa kwa kuihujumu nchi. Kuna sifa yoyote hapo?

Umeingia humu JF kwa kazi moja tu, nayo inaelekea ukingoni.
Bandari ina waendeshaji mahiri wawili na sio mwisho kuna ya Tanga inakuja pia.
 
Ndiyo kwanza inaanza. Na haitawaacha salama.
Unaona lakini jinsi mnavyo tapatapa na hizi teuzi za kila mara?
Huyo anayekuleta hapa, "uteuzi" wake unafikia mwisho. Tena muwashukuru sana waTanzania mkitoka salama.
Eti “watanzania”, akili zile zile za kijinga za kibaguzi.
 
Wewe wivu unakutesa hakuna wa kukusaidia,

Bandari imefanyiwa uwekezaji mpana unaoongeza tija, unataka afanye kipi kama sio ubaguzi na roho mbaya!?.

Unataka ayashushe mawingu tuweze kuyashika kwa mikono yetu?.
Unarudia maneno yale yale ya toka siku ya kwanza ulipoingia humu. Inawezekana kabisa unanakiri tu ulicho ambiwa ukaweke JF.

"Bandari inafanyiwa uwekezaji mpana"... miaka 30; na pengine zaidi kufuatana na IGA kama hatatokea kiongozi mzalendo wa kufumua uchafu huu anaofanya huyo mama yako! Miaka 30, tija gani inapatikana wakati waTanzania wanafanywa tegemezi muda wote huo? Ni tija gani kaiacha hapo bandarini TICTS baada ya miaka 25?
Vipesa, dola z250 za uwekezaji kwa miaka mitano; hii ndiyo tija unayoizungumzia?

Akili zenu mmekalia kuimba 'shipping, shipping' kama kasuku na hamuwezi kutambua kwamba miaka 30 ni muda mrefu sana mtu kushindwa kujuwa kuendesha bandari zake kwa ufanisi.
Watu vilaza kama nyinyi ni hasara kubwa kwa taifa.
 
Bandari ina waendeshaji mahiri wawili na sio mwisho kuna ya Tanga inakuja pia.
Hakuna hata sehemu moja unapo elezea kujifunza chochote. Maana yake ni kwamba akili zote zimelala. Wewe kazi ni kulala na kwenda chooni basi?
Watu wengine mmezaliwa kuwa hasara kweli
 
Eti “watanzania”, akili zile zile za kijinga za kibaguzi.
Nilishakwambia huko nyuma. Wewe unaweza kuwa wa hapa hapa kwa bahati mbaya tu, roho yako ipo mahala kwingine. Hali ni hiyo hiyo, hata kwa huyo mama yako.

hakuna chochote kinacho wafanya muijali nchi hii. Mpo tu kutimiza malengo yenu na ya hao mnaowagawia raslimali zetu.
 
Nilishakwambia huko nyuma. Wewe unaweza kuwa wa hapa hapa kwa bahati mbaya tu, roho yako ipo mahala kwingine. Hali ni hiyo hiyo, hata kwa huyo mama yako.

hakuna chochote kinacho wafanya muijali nchi hii. Mpo tu kutimiza malengo yenu na ya hao mnaowagawia raslimali zetu.
Samia anaijali nchi kwa vitendo hana uoga mwingi kama wazee wengi wenye akili za kijamaa.

Haogopi kuja kivingine eti maaskofu au wachungaji watamkemea, Keshatoka kwenye akili hizo.
 
Hakuna hata sehemu moja unapo elezea kujifunza chochote. Maana yake ni kwamba akili zote zimelala. Wewe kazi ni kulala na kwenda chooni basi?
Watu wengine mmezaliwa kuwa hasara kweli
Nenda bandarini uone ufanisi wa kazi unavyobadilika achana na hizi kelele za majukwaani.
 
Samia anaijali nchi kwa vitendo hana uoga mwingi kama wazee wengi wenye akili za kijamaa.

Haogopi kuja kivingine eti maaskofu au wachungaji watamkemea, Keshatoka kwenye akili hizo.
EEEeeeenHEEEeeeee!
Nilijuwa.

Sasa taratibu unaanza kueleweka. Mwisho utajitoa kichwa kizima na utapondwa tu!

Sijui kama ni kukosa" uoga" au ni ujinga au upumbavu kiasi kwamba anajitundika kamba mwenyewe shingoni!

Kulinda raslimali za nchi ili nchi ifaidike na raslimali hiyo kama ndio ujamaa, sioni ubaya wa ujamaa huo. Samia ni haini. Anaihujumu nchi anayotakiwa kuiongoza. Huyu hajali Tanzania, bali sasa anapambania haya mapapa anayodhani yatamlinda aendelee kuyashibisha, huku wananchi wakigeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi yao.
 
Nenda bandarini uone ufanisi wa kazi unavyobadilika achana na hizi kelele za majukwaani.
Niende bandarini kufanya nini huku tapeli mwenyewe hata huwezi kuelezea ufanisi unaouona mwenyewe.
Mnakimbilia kujisifu kwa mafanikio yaliyoletwa na waTanzania wenyewe; huoni kuwa vichwa vyenu havifanyi kazi sawasawa?
 
Niende bandarini kufanya nini huku tapeli mwenyewe hata huwezi kuelezea ufanisi unaouona mwenyewe.
Mnakimbilia kujisifu kwa mafanikio yaliyoletwa na waTanzania wenyewe; huoni kuwa vichwa vyenu havifanyi kazi sawasawa?
Vichwa visivyofanya kazi ni hiki cha kwako kinakimbilia kutukana bila hata kuutafuta ukweli wenyewe.

Gati namba 3-11 zinaendeshwa na wageni wenye vifaa na uzoefu wa kazi ni lazima kodi iongezeke na mzunguko mzima wa shughuli za bandari uwe wa kasi zaidi.
 
EEEeeeenHEEEeeeee!
Nilijuwa.

Sasa taratibu unaanza kueleweka. Mwisho utajitoa kichwa kizima na utapondwa tu!

Sijui kama ni kukosa" uoga" au ni ujinga au upumbavu kiasi kwamba anajitundika kamba mwenyewe shingoni!

Kulinda raslimali za nchi ili nchi ifaidike na raslimali hiyo kama ndio ujamaa, sioni ubaya wa ujamaa huo. Samia ni haini. Anaihujumu nchi anayotakiwa kuiongoza. Huyu hajali Tanzania, bali sasa anapambania haya mapapa anayodhani yatamlinda aendelee kuyashibisha, huku wananchi wakigeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi yao.
Walikuwepo TICTS hapo TPA na wao walikuwa wahaini?.

Pale Airport kuna swissport anapiga kazi, na waliowaleta nchini ni wahaini pia?.

Pole zikufikie.
 
Vichwa visivyofanya kazi ni hiki cha kwako kinakimbilia kutukana bila hata kuutafuta ukweli wenyewe.

Gati namba 3-11 zinaendeshwa na wageni wenye vifaa na uzoefu wa kazi ni lazima kodi iongezeke na mzunguko mzima wa shughuli za bandari uwe wa kasi zaidi.
Unaimba tu yale yale ya siku zote kama kasuku.
Dharau yangu kwako na huyo mma yako ni kudhani kuwa waTanzania hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi. Hilo nawaona nyinyi kuwa kama vikaragosi tu.
 
Walikuwepo TICTS hapo TPA na wao walikuwa wahaini?.

Pale Airport kuna swissport anapiga kazi, na waliowaleta nchini ni wahaini pia?.

Pole zikufikie.
Kwani si ndiyo hayo hayo?
Kuwepo kwa TICTS miaka zaidi ya 25 kulituongezea kitu gani?

Sasa mnaleta hawa ndugu zenu, miaka 30 au zaidi, hata hamshtuki?
Nyinyi mngekuwa waTanzania kweli kidogo akili zinge wafanya mstuke.
Mnarudia mambo yale yale, tena mabaya zaidi hata kuliko hayo ya TICTS kwa furaha zenu tu?

Wakati huo huo, mnawabeza na kuwatukana waTanzania, eti ni wezi, wavivu; kumbe wezi wakubwa kabisa ni nyinyi.
 
Kwani si ndiyo hayo hayo?
Kuwepo kwa TICTS miaka zaidi ya 25 kulituongezea kitu gani?

Sasa mnaleta hawa ndugu zenu, miaka 30 au zaidi, hata hamshtuki?
Nyinyi mngekuwa waTanzania kweli kidogo akili zinge wafanya mstuke.
Mnarudia mambo yale yale, tena mabaya zaidi hata kuliko hayo ya TICTS kwa furaha zenu tu?

Wakati huo huo, mnawabeza na kuwatukana waTanzania, eti ni wezi, wavivu; kumbe wezi wakubwa kabisa ni nyinyi.
Usikariri maisha ukiongozwa na roho mbaya yako. TICTS na DP World ni vitu tofauti japo wanafanya Shughuli ya aina moja.
 
Unaimba tu yale yale ya siku zote kama kasuku.
Dharau yangu kwako na huyo mma yako ni kudhani kuwa waTanzania hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi. Hilo nawaona nyinyi kuwa kama vikaragosi tu.
Mfumo wa uendeshaji wa bandari ni wa kisasa zaidi tofauti na miaka ile ya Nyerere, Tatizo la mtu wa aina yako ni kukaza Fuvu na kuwa mbishi ukidhani unajua kila kitu kumbe mengi tu huyafahamu.
 
Back
Top Bottom