Pre GE2025 Huenda sababu ya Askofu Machumu kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"

Pre GE2025 Huenda sababu ya Askofu Machumu kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu naye ni boga tu, anapewa umaarufu wa bure.....

Huyu alikuwa anakaanga samaki sokoni, akajua vifungu viwili vya biblia kawa askofu.

Na ile misuti yake ya kushona kwa fundi mwanzalima chini ya muembe, hovyo kabisa
Jibu Basi hoja zake
Sifa ya kuwa ni mtanzania tu inatosha kuhoji maslahi ya nchi yake
Ata Kama ni fundi viatu

Usiwe mjinga kiasi hicho
 
Tutaona idadi ya maskofu wakipanda majukwaani inaongezeka, wakishaona hijab wanaumia, wakati wa Magufuli , Mkapa hatukuona haya, tulianza wakati wa mwinyi
Wewe ni mpumbavu
Unajua ni maaskofu wangapi walikemea makosa ya Magufuli

Wakati baadhi ya mashehe wakijengewa misikiti na Magufuli
Na kutokukemee lolote
Unajua ni maaskofu wangapi walikemea mapungufu ya mkapa bila uoga

Dini isikufanye robot na mnafiki
 
Tafuta uelewa mpana wa kinachoendelea kwenye sekta ya bandari duniani pote achana na ujuaji wako wa kipuuzi.
Hakuna "uelewa mpana" wowote katika jambo hili bali kuhujumu taifa letu. Kuendesha Bandari kwa ufanisi hakuna jambo lolote la kipekee hapo. Ni watu wenye ufinyu wa akili kama wewe na mama yako, mkisukumwa na ufisadi na tamaduni zenu ndizo zinazotupeleka kwenye matatizo. Kuna siku mtalipa hujuma hizi.
Kuhusu "ujuaji", sina shaka yoyote akilini mwangu kuhusu ujuaji nilio nao kuulinganisha na wako. Hili lipo wazi kabisa.
 
Mwarabu anaendesha bandari za London na Southampton tafuta taarifa za teknolojia anazotumia huko.

Anaendesha bandari ya India Tafuta taarifa za Kina za nini anafanya huko kuliko kufura humu jukwaani na kujaza seva kwa kuandika ujinga mtupu.
Ninapokwambia huna uwezo wa kusoma na kuelewa yaliyo andikwa, sina shaka tena na kutokuwa na uwezo huo kwa upande wako.
Unataka nikueleze mara ngapi ndipo uelewe juu ya swala hili tu, la kulinganisha hizo nchi nyingine, zenye bandari nyingi, kuzilinganisha na Tanzania inayotegemea bandari yake kubwa moja!
Nimekueleza pia mara kadhaa kwamba nchi hizo hazitowi bandari zao kwa mikataba ya kishenzi kabisa kama mliyoiingiza Tanzania. Lakini kwa vile huna akili, huwezi kuelewa hayo yote, hata nikirudia mara hamsini na zaidi.
 
Tanzania sekta ya bandari hakuna kitu bado, Haya maneno mengi mnayoandika humu Hayafanani hata robo na uhalisia wa uendeshaji wa pale TPA.

Na tunapoendesha sekta tunaendekeza wizi na ufisadi hakuna tija yoyote ya maana tunayoipata.
Kuna wizi zaidi ya huu mnaotuingiza nyinyi huko bandarini?
Si ni kheri wezi wetu wenyewe hapa waibe mradi wawe na ujuzi wa kuendesha bandari yao kwa ufanisi?

Nyinyi mnaiba, halafu mnahakikisha kamwe hata siku moja hatutakuwa na uwezo wa kuendesha bandari zetu sisi wenyewe.
Kuna siku mtalipa tu hujuma hizi mnazolifanyia taifa hili.
 
Dunia haikusubiri wewe uamke ukiwa unaendekeza usingizi.

Bahati nzuri Samia na wasaidizi wake wamefunguka macho na kuachana na fikra za kizamani za kijamaa pale TPA.
Kufunguka macho kwa kuwa tegemezi kwa kila kitu, huko ni kufunguka macho kwa namna gani?
Sasa umebaki kuandika maneno tu bila hata ya kuelewa unaandika kitu gani?
 
Dunia haikusubiri wewe uamke ukiwa unaendekeza usingizi.
Angalia kama hili ulilo andika hapa. Ni wazi kabisa hujui unacho andika ni nini hasa.

Kwa hiyo, kwa mawazo yako kuuza bandari yetu ndiko kunakotupatia uwezo wa kuendesha bandari?
Nani yupo kwenye usingizi, huyo anaye uza mali yake kwa watu wengine au huyo anayepigania haki yake ya kumudu kuendesha mali aliyo nayo kwa manufaa yake>

Wewe sina shaka kabisa kuwa uwezo wa kufikiri huna.
 
Hakuna "uelewa mpana" wowote katika jambo hili bali kuhujumu taifa letu. Kuendesha Bandari kwa ufanisi hakuna jambo lolote la kipekee hapo. Ni watu wenye ufinyu wa akili kama wewe na mama yako, mkisukumwa na ufisadi na tamaduni zenu ndizo zinazotupeleka kwenye matatizo. Kuna siku mtalipa hujuma hizi.
Kuhusu "ujuaji", sina shaka yoyote akilini mwangu kuhusu ujuaji nilio nao kuulinganisha na wako. Hili lipo wazi kabisa.
Tafuta elimu za shipping utafahamu serikali kwanini imechagua aina mojawapo kuendeshea bandari yetu.

Na sio mwisho kwa hapa Dar tu mpaka hizo nyingine na zenyewe wataletwa waendeshaji mahiri ili Tija iongezeke.
 
Angalia kama hili ulilo andika hapa. Ni wazi kabisa hujui unacho andika ni nini hasa.

Kwa hiyo, kwa mawazo yako kuuza bandari yetu ndiko kunakotupatia uwezo wa kuendesha bandari?
Nani yupo kwenye usingizi, huyo anaye uza mali yake kwa watu wengine au huyo anayepigania haki yake ya kumudu kuendesha mali aliyo nayo kwa manufaa yake>

Wewe sina shaka kabisa kuwa uwezo wa kufikiri huna.
Hakuna anayeuza bandari ni mikataba ya kibiashara imeingiwa, unasumbuliwa na akili za kijamaa pole sana.
 
Kufunguka macho kwa kuwa tegemezi kwa kila kitu, huko ni kufunguka macho kwa namna gani?
Sasa umebaki kuandika maneno tu bila hata ya kuelewa unaandika kitu gani?
Tija kuongezeka ndio lengo la partnership ya DP na serikali yetu.

Sisi wenyewe tunapoendesha ni uzembe na ufisadi unaopatikana badala ya bandari kusaidia uchumi inakuwa sekta mzigo kwa uchumi.

Mtapiga kelele mpaka mvi zitawajaa vichwani lakini pale TPA kuna waendeshaji watatu muda huu.
 
Kuna wizi zaidi ya huu mnaotuingiza nyinyi huko bandarini?
Si ni kheri wezi wetu wenyewe hapa waibe mradi wawe na ujuzi wa kuendesha bandari yao kwa ufanisi?

Nyinyi mnaiba, halafu mnahakikisha kamwe hata siku moja hatutakuwa na uwezo wa kuendesha bandari zetu sisi wenyewe.
Kuna siku mtalipa tu hujuma hizi mnazolifanyia taifa hili.
Pole sana ndio mambo yashabadilika tena.
 
Tafuta elimu za shipping utafahamu serikali kwanini imechagua aina mojawapo kuendeshea bandari yetu.

Na sio mwisho kwa hapa Dar tu mpaka hizo nyingine na zenyewe wataletwa waendeshaji mahiri ili Tija iongezeke.
Mimi tokea nikusome humu, sijaona elimu yoyote uliyonayo wewe ya kuhimiza watu waitafute. Kinachokusumbua ni mambo mawili tu. Ufisadi, na uchawa, basi!
Huko kwenye 'shipping' wenye uwezo huo ni hao waarabu tu basi, wengine wote hawawezi kuwa na elimu ya namna hiyo! Akili ya hovyo sana hii kuwa nayo binaadam.
 
Hakuna anayeuza bandari ni mikataba ya kibiashara imeingiwa, unasumbuliwa na akili za kijamaa pole sana.
Kama ni akili za 'kijamaa' kutaka waTanzania tuwe na uwezo wa kuendesha bandari zetu, huo ujamaa siuonei haya yoyote ile; na siishii kwenye bandari pekee, bali kila sehemu ya uchumi wetu nataka tuwe na uwezo nako.
Na kwa kuwa elimu yako na upeo ni mdogo, utasahau kwamba sijatamka popote waTanzania kuwa na uwezo ni lazima serikali yenyewe ihusike huko; na wala sija andika popote kuwakataa wawekezaji toka nje. Ninachokataa ni huu upuuzi wenu wa kutufanya sisi kuwa wategemezi kwa hao wajomba zenu milele, bila ya mikakati yoyote ya kutusaidia sisi kushika hatamu za maendeleo ya nchi yetu.
Kwa kweli wewe utakuwa ni kiazi sana, au niseme ni pandikizi toka nchi hizo za nje, kama huwezi kuelewa ninachokueleza humu, toka siku ya kwanza ulipoingia JF.
Samia atakuwa ni pandikizi mwenzako, anaye hujumu nchi yetu.
 
Sisi wenyewe tunapoendesha ni uzembe na ufisadi unaopatikana badala ya bandari kusaidia uchumi inakuwa sekta mzigo kwa uchumi.
Wewe kwa hakika ni punguani hasa!
Samia na serikali yake wapo kwa sababu gani, kama wanashindwa kupambana na hivi vijizi vya kuku; na badala yake anatuuza moja kwa moja kwa hao wajomba zake?

Samia anayo faida gani katika taifa hili iwapo serikali yake haiwezi kutimiza mipango yake kwa vile vifisadi anavyo vilea mwenyewe vinakwamisha mipango hiyo.

Sasa nataka tokea leo, uwatafute waarabu waje wachukue nafasi ya huyo Samia na serikali yake, kwa sababu tatizo linaanzia huko.
 
Pale bandarini kuna waendeshaji watatu na faida ya gawio la pesa kwa hazina imeanza kuongezeka.

Pigeni makelele JF mheshimiwa Samia anasonga mbele.
Huna hata aibu kusema uongo!
WaTanzania wameendesha kwa ufanisi bandari yao baada ya ukarabati, na kabla ya kuigawa kwa hao wajomba zenu, halafu unakuja hapa kutaka kupotosha watu, kama alivyo fanya huyo huyo mlisha uchafu wako!
 
Mimi tokea nikusome humu, sijaona elimu yoyote uliyonayo wewe ya kuhimiza watu waitafute. Kinachokusumbua ni mambo mawili tu. Ufisadi, na uchawa, basi!
Huko kwenye 'shipping' wenye uwezo huo ni hao waarabu tu basi, wengine wote hawawezi kuwa na elimu ya namna hiyo! Akili ya hovyo sana hii kuwa nayo binaadam.
Nitakuwa napoteza muda kuanza kukueleza Samia kwanini kaamua kufuata kanuni ya shipping aliyoamua kuitumia.

Ni darasa pana ambalo kwako ni kupoteza muda iwapo nitaamua kukupatia.
 
Kama ni akili za 'kijamaa' kutaka waTanzania tuwe na uwezo wa kuendesha bandari zetu, huo ujamaa siuonei haya yoyote ile; na siishii kwenye bandari pekee, bali kila sehemu ya uchumi wetu nataka tuwe na uwezo nako.
Na kwa kuwa elimu yako na upeo ni mdogo, utasahau kwamba sijatamka popote waTanzania kuwa na uwezo ni lazima serikali yenyewe ihusike huko; na wala sija andika popote kuwakataa wawekezaji toka nje. Ninachokataa ni huu upuuzi wenu wa kutufanya sisi kuwa wategemezi kwa hao wajomba zenu milele, bila ya mikakati yoyote ya kutusaidia sisi kushika hatamu za maendeleo ya nchi yetu.
Kwa kweli wewe utakuwa ni kiazi sana, au niseme ni pandikizi toka nchi hizo za nje, kama huwezi kuelewa ninachokueleza humu, toka siku ya kwanza ulipoingia JF.
Samia atakuwa ni pandikizi mwenzako, anaye hujumu nchi yetu.
Hakuna anayekufanya tegemezi kwa yoyote yule ni mahitaji ya bandari ya muda huu katika mazingira ya ushindani wa shoroba uliopo muda huu ndio unaoifanya biashara ya TPA na DP iwe na umuhimu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom