Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Pole sana mkataba ndio unaendelea kufanya kazi hapo TPA.Utalia sana, tena hutasikika tena humu JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkataba ndio unaendelea kufanya kazi hapo TPA.Utalia sana, tena hutasikika tena humu JF.
Katafute elimu pana ya shipping vinginevyo hili gubu litakutesa mpaka uzeeni.Huna hata aibu kusema uongo!
WaTanzania wameendesha kwa ufanisi bandari yao baada ya ukarabati, na kabla ya kuigawa kwa hao wajomba zenu, halafu unakuja hapa kutaka kupotosha watu, kama alivyo fanya huyo huyo mlisha uchafu wako!
Hujui kitu, na huyo aliyekuleta humu kutetea hujuma mnazolitendea taifa hili nyote hakuna mlijualao, ila kutimiza lengo tu la kuhujumu na kufisadi, basi.Nitakuwa napoteza muda kuanza kukueleza Samia kwanini kaamua kufuata kanuni ya shipping aliyoamua kuitumia.
Ni darasa pana ambalo kwako ni kupoteza muda iwapo nitaamua kukupatia.
"Muda huu"; miaka 30 au zaidi? Hata kama ni bangi inakuondoa akili kiasi hiki, si bora uachane nayo?Hakuna anayekufanya tegemezi kwa yoyote yule ni mahitaji ya bandari ya muda huu katika mazingira ya ushindani wa shoroba uliopo muda huu ndio unaoifanya biashara ya TPA na DP iwe na umuhimu kwa sasa.
Jipe pole mwenyewe na huyo mama yako, kwani mmejikokea mkaa wenyewe.Pole sana mkataba ndio unaendelea kufanya kazi hapo TPA.
Huna elimu yoyote wewe, utanihimiza vipi nikatafute elimu mimi. Haihitaji kuwa na elimu ya hiyo unayoiita 'shipping' kujuwa uhujumu mnaofanya.Katafute elimu pana ya shipping vinginevyo hili gubu litakutesa mpaka uzeeni.
Tajiri wa kampuni ya India katua na ndege binafsi na akaonana na SSH kisha huyoo katimba zake.Hujui kitu, na huyo aliyekuleta humu kutetea hujuma mnazolitendea taifa hili nyote hakuna mlijualao, ila kutimiza lengo tu la kuhujumu na kufisadi, basi.
"...hilo darasa pana" linalowachukuwa nyinyi miaka 30 kulimudu, hiyo siyo ajabu?
Wewe piga kelele humu JF wakati huna msaada wowote kwa Tanzania halisi huko mtaani.Huna elimu yoyote wewe, utanihimiza vipi nikatafute elimu mimi. Haihitaji kuwa na elimu ya hiyo unayoiita 'shipping' kujuwa uhujumu mnaofanya.
Wewe endelea kuzeeka na maumivu ya moyo pale bandarini tija inakwenda kuongezeka.Jipe pole mwenyewe na huyo mama yako, kwani mmejikokea mkaa wenyewe.
Tajiri wa kampuni ya India katua na ndege binafsi na akaonana na SSH kisha huyoo katimba zake.
Majungu kabaki nayo Kalamu na watu wa aina yake.
Mimi naridhika sana na kukuelimisha wewe na kukueleza upuuzi mnaofanya. Sina shaka hata kidogo kwamba hata ujifanye huelewi, ukweli ni kwamba unatambua ushenzi mnaolifanyia taifa letu.Wewe piga kelele humu JF wakati huna msaada wowote kwa Tanzania halisi huko mtaani.
Mdosi keshamalizana na Rais kaondoka zake ni muda wa kuongeza tija pale bandarini.
Muulize mama yako kaomba aachiwe kiasi gani cha kununulia kura. Hata mgawe pesa mitaani, safari hii zitawatokea puani.Tajiri wa kampuni ya India katua na ndege binafsi na akaonana na SSH kisha huyoo katimba zake.
Majungu kabaki nayo Kalamu na watu wa aina yake.
Conspiracy theories, akili za udaku hizi na kibaya zaidi chuki Za kibaguzi zinakusumbua.Muulize mama yako kaomba aachiwe kiasi gani cha kununulia kura. Hata mgawe pesa mitaani, safari hii zitawatokea puani.
Utatoa msaada kwa wajinga fulani tu kwa wanaojielewa wanaishia kukuchora tu.Mimi naridhika sana na kukuelimisha wewe na kukueleza upuuzi mnaofanya. Sina shaka hata kidogo kwamba hata ujifanye huelewi, ukweli ni kwamba unatambua ushenzi mnaolifanyia taifa letu.
Utatambua msaada ninaotoa huku mtaani, hili usiwe na shaka nalo.
Biashara imekwisha hiyo.Kwa hiyo wewe hili ndilo linalokoga roho yako, kushangilia tu hata usiyo yaelewa?
Kaleta michango ya uchaguzi 2025? Haitoshi, mtazolewa tu.
Unaona sasa unavyo dhihirisha kutojuwa kitu? Hapo kuna 'conspiracy' gani unayo izungumzia. Nikikwambia elimu haitoshi, huamini!Conspiracy theories, akili za udaku hizi na kibaya zaidi chuki Za kibaguzi zinakusumbua.
Hao wanaojielewa ni akina nani, matapeli kama wewe?Utatoa msaada kwa wajinga fulani tu kwa wanaojielewa wanaishia kukuchora tu.
Ndiyo kwanza inaanza. Na haitawaacha salama.Biashara imekwisha hiyo.
Wewe wivu unakutesa hakuna wa kukusaidia,Unaona sasa unavyo dhihirisha kutojuwa kitu? Hapo kuna 'conspiracy' gani unayo izungumzia. Nikikwambia elimu haitoshi, huamini!
Chuki pekee niliyo nayo juu ya huyo mama ni kuiharibu Tanzania. Hili silionei haya hata kidogo. Angefanya vizuri kwa maslahi ya nchi hii usingesikia nasema kitu.
Sasa unakimbilia kwenye "ubaguzi", tuache kusema kwa kuogopa kuitwa wabaguzi?
Inapokuja kwa Tanzania, tumia maneno yote unayotaka, hayatatikisa kitu hapa.