Kiu ya kugawahamjui tuh watanzania walivyo na kiu ya uwekezaji
Hakuna anayekataa uwekezaji bali ni aina ya makubaliano kuhusiana na huo uwekezajihamjui tuh watanzania walivyo na kiu ya uwekezaji
kwa nini mnakubali kudanganyika kirahisi namna hii.Kiu ya kugawa
nguvu kubwa inayotumika ni kutaka kuua dhana ya uwekezaji kwenye vichwa vya watanzania jambo ambalo si sawaHakuna anayekataa uwekezaji bali ni aina ya makubaliano kuhusiana na huo uwekezaji
Hivi unawajuwa Dubai au unawasikia tu?
View attachment 2729596rais anashikwa mkono na kwa namna hiyo?
Ya mama na mwanawe.tamaduni gani hii
Ehee ebu tuambie wakoje koje?
Wanatisha sana!
hivi MTU asiwaamini Tec amwamini mwijakunguvu kubwa inayotumika ni kutaka kuua dhana ya uwekezaji kwenye vichwa vya watanzania jambo ambalo si sawa
Takataka. Hajakaa kimya on a purely bona fide basis. Kwani yeye ni nani? Mungu wa Watanzania wote hadi kimya chake kiwe chanzo cha tafsiri tofauti na mbalimbali? Kuna pesa ndefu imetembea na CCM watanufaika 2024-2025 kwenye chaguzi .Tofauti na watu wengine Raisi Samia akiongea lolote kuhusu mkataba wa DP world litamfikia mkuu wa wa Dubai. Sasa tatizo ni nini?
1. Kwanza akisema mazuri tu itakuwa vigumu kwenda kwao tena na kurekebisha mkataba
2. Akisema mabaya ya mkataba wazi wazi watajitoa kwenye mkataba mzima kitu ambacho hawezi kufanya.
Hivyo marekebisho yatafanya na watu wa chini yake. Dubai wana utamaduni wa kifalme na huu utamaduni unawafanya wamweke Raisi wetu kwenye level ya juu kama ufalme wao.
Hivyo ndiyo maana Rais Samia kafugwa mdomo maana akisema lolote ni tatizo.
Kwani wewe hauoni tunavyodaiwa mabilioni ya fedha kwa kuingia mikataba kibubusa??kwa nini mnakubali kudanganyika kirahisi namna hii.
hivi mnafikiri ccm hawana nia njema kwa taifa sijui akili naziweka wapi kwa kweli
Umeambiwa hakuna mtanzania anayekataa uwekezaji. Tatizo ni aina ya mkataba na mapungufu yake, au wewe huoni mapungufu?.nguvu kubwa inayotumika ni kutaka kuua dhana ya uwekezaji kwenye vichwa vya watanzania jambo ambalo si sawa
Kwanini wasianze kuwekeza kwenye magereza zetu?.hamjui tuh watanzania walivyo na kiu ya uwekezaji
nilidhani hivyo hivyo kumbe nimepatiaYa mama na mwanawe.