Huenda sababu ya Rais Samia kukaa kimya ni hii hapa!

Huenda sababu ya Rais Samia kukaa kimya ni hii hapa!

Tofauti na watu wengine Raisi Samia akiongea lolote kuhusu mkataba wa DP world litamfikia mkuu wa wa Dubai. Sasa tatizo ni nini?

1. Kwanza akisema mazuri tu itakuwa vigumu kwenda kwao tena na kurekebisha mkataba
2. Akisema mabaya ya mkataba wazi wazi watajitoa kwenye mkataba mzima kitu ambacho hawezi kufanya.

Hivyo marekebisho yatafanya na watu wa chini yake. Dubai wana utamaduni wa kifalme na huu utamaduni unawafanya wamweke Raisi wetu kwenye level ya juu kama ufalme wao.

Hivyo ndiyo maana Rais Samia kafugwa mdomo maana akisema lolote ni tatizo.
Anaweza kuongea na kwa siri. Mikataba yote ilikuwa siri.
 
Dubai wana utamaduni wa kifalme na huu utamaduni unawafanya wamweke Raisi wetu kwenye level ya juu kama ufalme wao.
Kwa ule mkataba, wametudharau sana na kutuona hatuna thamani ya kuwepo kwenye eneo ambalo Muumba Mbingu ametupatia.
Hawawezi kututoa, ila wanatufanya walinzi na watumwa wao na watawala wanakuwa wa wanyapara.
 
Kwa ule mkataba, wametudharau sana na kutuona hatuna thamani ya kuwepo kwenye eneo ambalo Muumba Mbingu ametupatia.
Hawawezi kututoa, ila wanatufanya walinzi na watumwa wao na watawala wanakuwa wa wanyapara.
Kipaji, uwezo, utaalamu wa viongozi wetu ni kuuza nchi, kuingia mikataba mibovu, kukaa kimya.

Waarabu, wazungu, wachina wangekubali mkataba kama huu?
 
Tofauti na watu wengine Raisi Samia akiongea lolote kuhusu mkataba wa DP world litamfikia mkuu wa wa Dubai. Sasa tatizo ni nini?

1. Kwanza akisema mazuri tu itakuwa vigumu kwenda kwao tena na kurekebisha mkataba
2. Akisema mabaya ya mkataba wazi wazi watajitoa kwenye mkataba mzima kitu ambacho hawezi kufanya.

Hivyo marekebisho yatafanya na watu wa chini yake. Dubai wana utamaduni wa kifalme na huu utamaduni unawafanyai wamweke Raisi wetu kwenye level ya juu kama ufalme wao.

Hivyo ndiyo maana Rais Samia kafugwa mdomo maana akisema lolote ni tatizo.
Dubai kitu gani na nchi yetu , sie sio waarabu, wanatakiwa karibishwa kwa biashara , na hawana mamlaka ya kutupangia nini tunataka pumbavu zao hii ngoma ndo inaanza upya ,

Yani unataka kuoa binti yangu basi nikubembeleze hutaki acha basi , watakuja wengine mbona tunajidhalilisha sana kama taifa, mwekezaji hawezi tupanda kichwani, hii nchi sio mali ya kifalme kama kwao pumbavu zao, mali asili zetu haziendi popote pale , na ni swala la mda hata uko loliondo wataondoka wapende wasinde ,stupid zao,
 
Mwarabu hajawahi kuwa na heshima kwa mtu mweusi.. Na ikiwepo ni ya bandia kwa maslahi binafsi
ni kweli . Hata wengine wanapinga mkataba kutokana na bad experience ya hawa jamaa. Wako sadistic sana katika ku treat waafrika
 
Tofauti na watu wengine Raisi Samia akiongea lolote kuhusu mkataba wa DP world litamfikia mkuu wa wa Dubai. Sasa tatizo ni nini?

1. Kwanza akisema mazuri tu itakuwa vigumu kwenda kwao tena na kurekebisha mkataba
2. Akisema mabaya ya mkataba wazi wazi watajitoa kwenye mkataba mzima kitu ambacho hawezi kufanya.

Hivyo marekebisho yatafanya na watu wa chini yake. Dubai wana utamaduni wa kifalme na huu utamaduni unawafanya wamweke Raisi wetu kwenye level ya juu kama ufalme wao.

Hivyo ndiyo maana Rais Samia kafugwa mdomo maana akisema lolote ni tatizo.


Who cares?
 
Hivi unawajuwa Dubai au unawasikia tu?

View attachment 2729596
Kweli kabisaaa
JamiiForums1574589568.jpg
 
Mwarabu hajawahi kuwa na heshima kwa mtu mweusi.. Na ikiwepo ni ya bandia kwa maslahi binafsi
Sio mwarabu pekee hata mzungu hana heshima kwa mtu mweusi bora japo kidogo wachina
 
Ukitaka kuona vita vya Mwarabu Wewe mweusi jaribu kuoa kamwarabu,,unaweza fanikiwa Lakini hutavumilia kunyanyapaliwa..
 
Mwarabu hajawahi kuwa na heshima kwa mtu mweusi.. Na ikiwepo ni ya bandia kwa maslahi binafsi
Kiukweli mwarabu anaheshima kubwa kwa kiongozi mkubwa mwenye hadhi kama ya Rais wetu
 

Attachments

  • 20230826_214108.jpg
    20230826_214108.jpg
    107.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230827-141905.png
    Screenshot_20230827-141905.png
    231.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom