Huenda Tanzania ikawa inauza data kwa bei ndogo kuliko nchi zote Afrika

Huenda Tanzania ikawa inauza data kwa bei ndogo kuliko nchi zote Afrika

Data is data! hakuna data kwa ajili ya watu maskini na kwa ajili ya matajiri its the same resource.
Nafurahi kuona umenielewa point yangu. Kumbe unakubali kuwa kwa mfano raia wa Marekani akiuziwa gb 1 kwa $2 ambayo ni kama TZS 4,600 kwakwe itakuwa ni bei nafuu sana, lakini kwa mtanzania itakuwa ni ghali sana. Kwa rate hiyo ukiitizama ukiwa Tanzania itaonekana hiyo bei ni kubwa sana ila kwa wamarekani hiyo bei ni ndogo sana kulingana na kipato chao. Hiyo bei hata embe hununui ukiwa Marekani ila kwa Tanzania unanunua maembe ya kula familia nzima na chenji inabaki.
Sasa hebu leta hoja yako tena, tueleze unatumia kigezo gani cha kusema data hapa Tanzania ni bei ndogo?
 
kitu kingine cha kuongezea: haya mambo ya kuiweka tanzania kama exception ya umaskini iwe mwisho, hii ndo inaofanya watanzania wengi kila sku kelele zao ni serikali, sjui ajira amna, serikali, data sjui imekuaje serikali, hii miundo mbinu ya data za internet, computer, simu inatengenezwa na raia wa kwaida kabisa, (wakina steve jobs, bilgates na wengineo wengi).sasa hii nchi kila kitu serikali ebu tue civilized aiseee (japokua serikali ina umuhimu sana lakini this is too much)
Kifupi haueleweki unachoongea ila ninachokiona ni kwamba wewe ni miongoni mwa watanzania wachache wenye kipato kikubwa ambao shopping zenu mnafanyia mlimani city na sehemu zingine za upper class ambao data hata ikiuzwa TZS 10,000 kwa 1GB sio kesi ila kwa raia wa Mbagala na Buza wasioweza kununua soda kwa TZS 2,000 hapo mlimani city hawezi kumudu gharama ya 1GB kwa 10,000 maana kipato chao ni kidogo.
 
Bei rahisi kwa "mabwanyenye📱💻"lakini kwa sisi akina"tafadhali nipigie🖥"😶😶
 
Kifupi haueleweki unachoongea ila ninachokiona ni kwamba wewe ni miongoni mwa watanzania wachache wenye kipato kikubwa ambao shopping zenu mnafanyia mlimani city na sehemu zingine za upper class ambao data hata ikiuzwa TZS 10,000 kwa 1GB sio kesi ila kwa raia wa Mbagala na Buza wasioweza kununua soda kwa TZS 2,000 hapo mlimani city hawezi kumudu gharama ya 1GB kwa 10,000 maana kipato chao ni kidogo.

tatizo lako ni 1 dogo tu!
You lack authenticity
Elewa kwamba we are in capitalism, sio tanzania tu kuna maskini but everywhere else on earth, but whats important is everything else has to run
 
Nafurahi kuona umenielewa point yangu. Kumbe unakubali kuwa kwa mfano raia wa Marekani akiuziwa gb 1 kwa $2 ambayo ni kama TZS 4,600 kwakwe itakuwa ni bei nafuu sana, lakini kwa mtanzania itakuwa ni ghali sana. Kwa rate hiyo ukiitizama ukiwa Tanzania itaonekana hiyo bei ni kubwa sana ila kwa wamarekani hiyo bei ni ndogo sana kulingana na kipato chao. Hiyo bei hata embe hununui ukiwa Marekani ila kwa Tanzania unanunua maembe ya kula familia nzima na chenji inabaki.
Sasa hebu leta hoja yako tena, tueleze unatumia kigezo gani cha kusema data hapa Tanzania ni bei ndogo?
😂 we dogo miyeyusho kweli, 1 usd = 2280tsh, uwe tajiri ama uwe maskini hi ni global resource!
ukirudi kwenye data, the same google and youtube you use kwa buku gb moja is the same anaotumia kwa $30 kwa gb moja!

Then if thats so, ni halali kutoa ripoti ya data prices kama dollar inavotolewa ripoti, Tatizo lenu nyie kila kitu sjui kuna watanzania maskini sasa bro tutaendelea lini? meanwhile kuna wengine wanawaza kuhama sayari kupata makazi mapya na bado wakiwa na matatizo mengi nyie kila kitu kuna watanzania maskini, aisee
 
One gigabyte (1GB) of data costs $0.26 in India, compared to an average $6.66 in the UK and $12.37 in the US, finds a global analysis of mobile data prices by UK-based price comparison portal Cable.
- so United states Gb moja ni kama 25,oooTsh, but cha ajab united states has the best internet enterprenuers while tanzania has no internet enterprenuers! Hii nchi kiukweli inabidi turudi kwenye utumwa tu
Unajua vipato vya wananchi wa hizo nchi au unaandika tu kufurahisha watu?

Nchi maskini kama Tanzania hata 1GB ikiuzwa tsh.500 bado ni ghali.
 
😂 we dogo miyeyusho kweli, 1 usd = 2280tsh, uwe tajiri ama uwe maskini hi ni global resource!


Then if thats so, ni halali kutoa ripoti ya data prices kama dollar inavotolewa ripoti, Tatizo lenu nyie kila kitu sjui kuna watanzania maskini sasa bro tutaendelea lini? meanwhile kuna wengine wanawaza kuhama sayari kupata makazi mapya na bado wakiwa na matatizo mengi nyie kila kitu kuna watanzania maskini, aisee
Wewe mkuu nadhani hata swala la uchumi hulijui. Bei za bidhaa kuwa ghali au nafuu inategemea na kipato cha watu, please get that right in your head. Nimekutolea mfano wa bei of the same commodity in the US and Tanzania. Narudia tena usilinganishe bei ya data kati ya nchi na nchi, kimahesabu unakosea pakubwa sana linganisha kipato cha watu wa hizo nchi mbili halafu ufanye mahesabu ya cross multiplication ndio utajua wapi bei ni ndogo. Kuna kitu kinaitwa "purchasing power parity" sijui unakijua? Kama unakijua hebu fanya hizo hesabu halafu ndio utajua kama Tanzania data ni cheap au la. Mimi nimeshafanya hizo computation kwa kutumia PPP na nimeona Tanzania bei ya data ipo juu ukilinganisha na nchi zingine. Kama hujui hesabu naomba usiendelee kubisha, utakuwa utakuwa unanichosha bure, ila kama unajua hesabu njoo tufanye computation nikuonyeshe kimahesabu kuwa data kwa Tanzania sio cheap.
 
Unajua vipato vya wananchi wa hizo nchi au unaandika tu kufurahisha mabwana zako?

Nchi maskini kama Tanzania hata 1GB ikiuzwa tsh.500 bado ni ghali.
Huyo jamaa hajui hesabu. Analinganisha bei ya data badala ya kulinganisha vipato vya watu kutoka hayo mataifa. Kuna kitu kinaitwa "purchasing power parity" ndio kinaamua kama bei iko juu au chini kama unalinganisha price of the same commodity between two countries. Ni sawa na embe kuuzwa dolar 2 Marekani ambayo ni roughly TZS 4,600. So kwa marekani kununua embe kwa dolar mbili ni very cheap lakini kwa Tanzania ni ghali sana. Kwa hiyo gb 1 ikiuzwa dolar 2 itaonekana ghali kwa Tanzania lakini kwa Marekani itaonekana very cheap. Huyu mleta mada inaonekana anatoka familia ya waziri au mkurugenzi wa TPA hivyo kwao hawana shida ya hela.
 
Huyo jamaa hajui hesabu. Analinganisha bei ya data badala ya kulinganisha vipato vya watu kutoka hayo mataifa. Kuna kitu kinaitwa "purchasing power parity" ndio kinaamua kama bei iko juu au chini. Ni sawa na embe kuuzwa dolar 2 Marekani ambayo ni roughly TZS 4,600. So kwa marekani kununua embe kwa dolar mbili ni very cheap lakini kwa Tanzania ni ghali sana. Kwa hiyo gb 1 ikiuzwa dolar 2 itaonekana ghali kwa Tanzania lakini kwa Marekani itaonekana very cheap. Huyu mleta mada inaonekana anatoka familia ya Magufuli hivyo kwao hawana shida ya hela.

Wewe mkuu nadhani hata swala la uchumi hulijui. Bei za bidhaa kuwa ghali au nafuu inategemea na kipato cha watu, please get that right in your head. Nimekutolea mfano wa bei of the same commodity in the US and Tanzania. Narudia tena usilinganishe bei ya data kati ya nchi na nchi, kimahesabu unakosea pakubwa sana linganisha kipato cha watu wa hizo nchi mbili halafu ufanye mahesabu ya cross multiplication ndio utajua wapi bei ni ndogo. Kuna kitu kinaitwa "purchasing power parity" sijui unakijua. Kama unakijua hebu fanya hizo hesabu halafu ndio utajua kama Tanzania data ni cheap au la. Mimi nimeshafanya hizo computation kwa kutumia PPP na nimeona Tanzania bei ya data ipo juu ukilinganisha na nchi zingine. Kama hujui hesabu naomba usiendelee kubisha, utakuwa utakuwa unanichosha bure, ila kama unajua hesabu njoo tufanye computation nikuonyeshe kimahesabu kuwa data kwa Tanzania sio cheap.

😂 😂 😂 😂
Ningetumia mda wangu kukuelewesha sema sasa tatizo lenu mnajifanya mnajua kumbe hopeless tu! kama unataka battle za uchumi wala usijali ndo umefika mahali pake, ila kabla hatujaenda uko jibu maswali haya kadhaa

1) Mitandao ya simu inanunua internet kwa nan? na wanauziwa bei gan kwa kila packets
2) How many cables are used as alternative and how much do they cost per packet
3) Msafirishaji wa internet Tanzania nzima anaitwa nan?
4) Ni nchi ngap wanauziwa internet kwa tanzania na kwa bei gan
5) Entrace ya internet cables tanzania zpo mkoa gan na nani ndo mwendeshaji
 
hicho "kidhungu"mbona ni shida.....
as long as you are............
anyway...kwa sisi wenye"LOWER MIDDLE INCOME "Bei ya data bado iko juu😶😶

kuna kingine unataka kurekebisha mkuu?
 
Unajua vipato vya wananchi wa hizo nchi au unaandika tu kufurahisha mabwana zako?

Nchi maskini kama Tanzania hata 1GB ikiuzwa tsh.500 bado ni ghali.
Huyo jamaa hajui hesabu. Analinganisha bei ya data badala ya kulinganisha vipato vya watu kutoka hayo mataifa. Kuna kitwa kinaitwa "purchasing power parity" ndio kinaamua kama bei iko juu au chini. Ni sawa na embe kuuzwa dolar 2 Marekani ambayo ni roughly TZS 4,600. So kw marekani kununua embe kwa dolar mbili ni very cheap lakini kwa Tanzania ni ghali sana. Kwa hiyo gb 1 ikiuzwa dolar 2 kwa itaonekana ghali kwa Tanzania lakini kwa Marekani itaonekana very cheap. Huyu mleta mada inaonekana anatoka familia ya Magufuli hivyo kwao hawana shida ya hela
😂 😂 😂 😂
Ningetumia mda wangu kukuelewesha sema sasa tatizo lenu mnajifanya mnajua kumbe hopeless tu! kama unataka battle za uchumi wala usijali ndo umefika mahali pake, ila kabla hatujaenda uko jibu maswali haya kadhaa

1) Mitandao ya simu inanunua internet kwa nan? na wanauziwa bei gan kwa kila packets
2) How many cables are used as alternative and how much do they cost per packet
3) Msafirishaji wa internet Tanzania nzima anaitwa nan?
4) Ni nchi ngap wanauziwa internet na tanzania na kwa bei gan
5) Entrace ya internet cables tanzania zpo mkoa gan na nani ndo mwendeshaji
Yaani wewe mkuu ni wale watu ambao wanaongea maneno mengi ili kuwatoa watu wenye hoja ya msingi relini. Ila hapa andika umenoa. Hata uje na maneno mengi ukidhani utanichanganya na kunitoa relini andika maumivu. Nilishadeal na watu dizaini yako wengi sana. Hapa nilipo nina mchepuko wangu ana tabia kama yako, akifanya kosa atajifanya kuwa yeye ndio victim, kwanza ataanza kujilalamisha eti simpendi, pili ukianza kumuuliza maswali anaanza kuongea maneno mengi ya kujifanya yeye ndio mhanga ili akutoe kwenye reli. So huwa namsikilizaaa, akimaliza namwambia hunitoi kwenye reli, jibu swali langu. Kwa nini umefanya a,bc?

Sasa nirudi kwako. Umeuliza maswali mengi kwa kudhani utanifanya nishindwe kusimamia hoja yangu. Hayo maswali ni brah brah tu, point inabaki data kuwa juu inategemea na kipato cha wanunuzi. Swala la makampuni kuuziwa hizo data sijui na billgate or whoever ni irrelevant. Hiyo miuondo mbinu ya mawasiliano kama minara haiishi wala kuharibika kisa watu wanatumia data. Hayo maminara ya simu yakishasimikwa haijalishi watu wengi wanatumia data au hawatumii yataendelea kuwepo hadi yatakapochakaa menyewe due to depreciation au kuzeeka, au kuoza kwa kunyeshewa na mvua ila si kwamba watu wanapopiga simu au kutumia data.
Halafu haya makampuni ya simu hayanunui data kama unavodai wewe. Sisi wateja ndio tunaonunua data, wao (kampuni za simu) wanapata commision kutokana na sisi kutumia internet, kwa hiyo kadri wanavyotupiga sisi kwenye data ndio wanavyopata commision kubwa kutoka kwa hao wa kina Billgate na hao wakina Markzuburg.

Kwa kuhitimisha, jikite kwenye hoja uliyoileta mwenyewe. Bei ya data kuwa kubwa haipimwi kwa bei ya data kati inchi na nchi bali inapimwa kwa uwezo wa watu wa kununua data.
 
Huyo jamaa hajui hesabu. Analinganisha bei ya data badala ya kulinganisha vipato vya watu kutoka hayo mataifa. Kuna kitwa kinaitwa "purchasing power parity" ndio kinaamua kama bei iko juu au chini. Ni sawa na embe kuuzwa dolar 2 Marekani ambayo ni roughly TZS 4,600. So kw marekani kununua embe kwa dolar mbili ni very cheap lakini kwa Tanzania ni ghali sana. Kwa hiyo gb 1 ikiuzwa dolar 2 kwa itaonekana ghali kwa Tanzania lakini kwa Marekani itaonekana very cheap. Huyu mleta mada inaonekana anatoka familia ya Magufuli hivyo kwao hawana shida ya hela

Yaani wewe mkuu ni wale watu ambao wanaongea maneno mengi ili kuwatoa watu wenye hoja ya msingi relini. Ila hapa andika umenoa. Hata uje na maneno mengi ukidhani utanichanganya na kunitoa relini andika maumivu. Nilishadeal na watu dizaini yako wengi sana. Hapa nilipo nina mchepuko wangu ana tabia kama yako, akifanya kosa atajifanya kuwa yeye ndio victim, kwanza ataanza kujilalamisha eti simpendi, pili ukianza kumuuliza maswali anaanza kuongea maneno mengi ya kujifanya yeye ndio mhanga ili akutoe kwenye reli. So huwa namsikilizaaa, akimaliza namwambia hunitoi kwenye reli, jibu swali langu. Kwa nini umefanya a,bc?

Sasa nirudi kwako. Umeuliza maswali mengi kwa kudhani utanifanya nishindwe kusimamia hoja yangu. Hayo maswali ni brah brah tu, point inabaki data kuwa juu inategemea na kipato cha wanunuzi. Swala la makampuni kuuziwa hizo data sijui na billgate or whoever ni irrelevant. Hiyo miuondo mbinu ya mawasiliano kama minara haiishi wala kuharibika kisa watu wanatumia data. Hayo maminara ya simu yakishasimikwa haijalishi watu wengi wanatumia data au hawatumii yataendelea kuwepo hadi yatakapochakaa menyewe due to depreciation au kuzeeka, au kuoza kwa kunyeshewa na mvua ila si kwamba watu wanapopiga simu au kutumia data.
Halafu haya makampuni ya simu hayanunui data kama unavodai wewe. Sisi wateja ndio tunaonunua data, wao (kampuni za simu) wanapata commision kutokana na sisi kutumia internet, kwa hiyo kadri wanavyotupiga sisi kwenye data ndio wanavyopata commision kubwa kutoka kwa hao wa kina Billgate na hao wakina Markzuburg.

Kwa kuhitimisha, jikite kwenye hoja uliyoileta mwenyewe. Bei ya data kuwa kubwa haipimwi kwa bei ya data kati inchi na nchi bali inapimwa kwa uwezo wa watu wa kununua data.

sikulaumu! yote uliyoongea ndo yanaonyesha ubongo wako ulivo, tafuta mtu mwingine mjazane huu ujinga wenu wa commision! nlitaka kukuelemisha mwanzoni ila nkajua tu ni famba lipo apa
 
ofcoz zambia airtel ni tsh18,000/- unapata 2gb..sijajua kuhusu pesa yao kule kama inathaman ukilinganisha na kwtu.. i stand to be corrected
 
sikulaumu! yote uliyoongea ndo yanaonyesha ubongo wako ulivo, tafuta mtu mwingine mjazane huu ujinga wenu wa commision! nlitaka kukuelemisha mwanzoni ila nkajua tu ni famba lipo apa
Swala la commision usilichukulie ndio kama angle ya kuchomokea. Swala la commision nimekuchomekea kwa maksudi tu kukupima na kweli umeingia mzimamzima, nilijua tu huyu tayari hii hoja aliyoileta kaibeba nzima nzima kutoka kule alikoitolea ila hajui chochote kwa hiyo nikimtega kidogo tu lazima aingie mzima mzima. Sasa ona ulivyoifanya commision ndio kichaka cha kujifichia na kuitelekeza hoja uliyoileta mwenyewe.

Wewe stick kwenye hoja uliyoileta acha blah blah. Tatizo la watu kama ninyi hamjua kitu lakini much know hatari. Hivi hata unaelewa consumption ya data inakuwaje? Hivi unajua kwa nini data za mitandao mingine zinaisha mapema ilihali mitandao mingine unatumia mpaka unasahau? Hivi unajua boss wa facebook, instagram anapataje hela yake unapotumia hizo App? Hivi unajua nani anafaidika pale unapotumia data kwa kufungua website yeyote? Hivi unajua nani unamlipa unapokuwa au unapomiliki website? Anyway haya yote niliyoyataja ni irrelevant kwenye hii hoja yako, nimeyataja tu ili kukuweka sawa. Tafadhali tueleze kigezo cha data kuwa bei nafuu hapa Tanzania, hizo zingine unazozileta ni kichaka cha kutaka kuhalalisha kuwaibia watanzania.
 
Back
Top Bottom